Ghana wamefikia default; IMF wamesema watawadhamini. Je, tupo salama kiuchumi huko tuendako?

Uongozi wa nchi ni tofauti na uongozi wowote ule, sasa anapopewa uongozi wa nchi mtu yeyote matokeo yake ndio kama haya.

Na hakika huko tunakoenda lazima tuje tujiulize ni wapi tulipotelezea wakati huo tutakua chini tayari tumeshaanguka.
Tatizo sisi tupo kimaslahi zaidi na si uchungu wa nchi. Watu wapo tayari kuwekana kuanzia kwenye ngazi ya urais mpaka udiwani
 
Ninachokiona miaka michache sana ijayo nchi nyingi za dunia ya tatu zitaparaganyika kiuchumi Kama Sri Lanka, nawaza ni hatua gani mtu binafsi anaweza kuilinda familia yake nchi ikiingia kwenye hali hio?
Kutunza wealth katika mfumo WA non depreciating assets kama (viwanja ,mashamba )/real estates na precious metal specifically dhahabu na kiasi flani silver NK ,wengi wanaojiita matajiri uchwara kibongo ikija real inflation inasomba more than 80 percent ya utajiri wao ,hasa kama bado unaushamba WA kuhifadhi wealth katika paper money.

During inflation times ,you need inflation hedges
 
Umekuja kuongea uozo wako
 
Umekuja kuongea uozo wako
Wewe ni kubwa jinga.. Unadhani Ghana imefika hapo kwa sababu ipi?

Mikopo mingine hii hapa kwa ajili hiyo hiyo na miundombinu ambako Jiwe alikuwa anaiga 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220727-144305.png
    103.1 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220727-143941.png
    36.3 KB · Views: 7
Hawa ghana ndio wale wanaosifiwa kwamba wana rais bora kabisa hapa afrika
 
Unaongea sana huyo Samia wako hana uwezo wa kumzidiMagufuli kwa chochote hata yeye alishakiri!VETA ya Geita imejengwa na kukamilika wakati wa Magufuli hata hiyo ya Kagera imekamilika mwaka 2021! Samia anahusikaje hapo?
 
Unaongea sana huyo Samia wako hana uwezo wa kumzidiMagufuli kwa chochote hata yeye alishakiri!VETA ya Geita imejengwa na kukamilika wakati wa Magufuli hata hiyo ya Kagera imekamilika mwaka 2021! Samia anahusikaje hapo?
Uwezo sio maneno bali matendo na matokeo..

Amzidi mara ngapi? Keshamzidi Kwenye kila kitu na wewe unajua ,kilichobaki ni kujifariji tuu mbafanya nyie sukuma gang 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-115726.png
    127.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220719-115541.png
    150.9 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220720-212524.png
    125.6 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220723-205014.png
    152.2 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220724-205626.png
    125.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220724-222239.png
    145.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220726-181247.png
    131.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220726-181133.png
    174.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20220726-180947.png
    190.7 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220728-211038.png
    118.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220717-155926.png
    86.8 KB · Views: 4
Watu wana uraia pacha....sidhani kama inawahusu hii!
Mkuu, nadhani hiki ni kipindi kizuri kujifunza kuwa kumbe nchi yako ndio the best to stay. Yaani hali inayoendelea sasa duniani inaonyesha kabisa kuwa kumbe kutengeneza hapa nyumbani ni uhakika zaidi kuliko kutegemea nchi za watu.
 
Mkuu, nadhani hiki ni kipindi kizuri kujifunza kuwa kumbe nchi yako ndio the best to stay. Yaani hali inayoendelea sasa duniani inaonyesha kabisa kuwa kumbe kutengeneza hapa nyumbani ni uhakika zaidi kuliko kutegemea nchi za watu.
nikikumbuka kijana aliyeimba bongo bahati mbaya....na aliungwa mkono na watanzania wenzetu wengine wanasiasa, nasikitika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…