- Thread starter
- #181
Kinacho fichwa kwani nini? Si muweke hapa?Fanya home work yako.
Simple:
Jua viambata vya huduma husika na gharama. Ingia kwenye mtandao wa manunuzi. Jumlisha gharama. Njoo na ushahidi.
Tusidanganyane acheni kuibia watu wasiojua mnafanya nini?
Bima hizi zinakufa na haitakaa idumu moja Kwa sababu lengo lenu mnalijua.