Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Kwangu hii ni nyuzi bora ya mwaka....achana na mambo yale ya jukwaa letu pendwa la kimasikhara!!
Tatizo tuna wajinga choka mbaya wenye kujidhania wao ni werevu, wao ndiyo wenye bima na kuwa wengine bima hawana, hawawezi kuyaona wala kuyaongelea madhila ya wengine ila yao. Ubinafsi uliopitiliza.
 
Usipokuwa na Bima kwasasa ni changamoto kubwa,nawashauri kateni Bima hata ya peke yako laki 2 na chenji kidogo itakusaidia kuliko kwenda kavukavu
Hayupo anayekataa bima ila break down ya gharama ni vyema vikajulikana ni kwa vigezo gani.

Kwanini MRI CT, scan, dialysis, operation nk ni bei kubwa hizi? Je ni majengo, ugonjwa, vifaa, dawa nk?

IMG_20230215_122840.jpg


10m/- mgonjwa huyu angetibiwa bora zaidi India na labda asingekufa.

Zingatia kwa malipo haya kwa mgonjwa mmoja sI mtu binafsi si bima, watafilisika tu.
 
Umevuta bangi ya wapi
Hakuna bangi fanya kazi kata bima lipia familia Yako , Kodi yangu imekuwekea infrastructure, imekusomeshea wataalam , imekuwekea vifaa
Running cost lipia

Kuna operation kwa serekali ni laki 4 ila private ni million 3

Kuna huduma umelipiwa na wanaume , HIV service, TB clinic, RCH, maternity, watoto n.k
 
Hayupo anayekataa bima ila break down ya gharama ni vyema vikajulikana ni kwa vigezo gani.

Kwanini MRI CT, scan, dialysis, operation nk ni bei kubwa hizi? Je ni majengo, ugonjwa, vifaa, dawa nk?

View attachment 2518950

10m/- mgonjwa huyu angetibiwa bora zaidi India na labda asingekufa.

Zingatia kwa malipo haya kwa mgonjwa mmoja sI mtu binafsi si bima, watafilisika tu.
Je umepata kulinganisha CT, MRI, Dialysis kwa hospitali binafsi?

Unafahamu alifanya sessions ngapi kwa wiki na kwa muda gani?

Vipimo kiasi gani hapo kati ya dialysis?

Dawa kiasi gani?

Alikuwa na tatizo gani/yapi mengine?

Angekuwa hospitali ya level hiyo huko binafsi ingekuwa kiasi gani?

Huko India session moja ni kiasi gani/ na huko India watu hawapotezi maisha?

NB: Just a process of denial to acceptance take it slowly, tusiwaumize watu zaidi kisaikolojia.
 
Bei hupangwa na bodi za hospitali husika kwa kuhusisha wadau na kuzingatia uliyoyataja pia levels/daraja la kituo au hospitali husika na hali ya uchumi wa eneo husika.

Ingawa pia ungekuja na mifano ya huduma husika ikiwa na gharama yake na useme hii kwa serikalini level hiyo ni shilingi ngapi na private kwa level hiyo ni shilingi ngapi.

Wakati mwingine twaweza kushituka na limbikizo la gharama bila kujua mgonjwa alikaa/hudumiwa hospitalini kwa muda gani na ni nini kilifanyika kuanzia alipopokelewa mpaka anatoka.

Kuhusu uwazi, kwa kila malipo huja na kinacholipiwa, kama kuna kutokuelewa au kutokukubaliana kuna nafasi ya kutoa hoja ili kuangalia uhalali wa vilivyotajwa.

Bei hupangwa na bodi za hospitali na mteja anawasilishwa na nani? Nani anaangalia maslahi ya mteja kwamba hanyonywi na wajanja?

Kwanini MRI, CT scan, dialysis, operation nk ni bei kubwa hizi tunazozifahamu? Ni dawa, majengo, ujuzi, ugonjwa au ni nini?

Kwanini dialysis kwa mfano kuwa huko kwenye bei zilizopo? Bei zilizopo zimezingatia nini? Kwanini si 5,000/-, 20,000/-, 50,000/-, 100,000/- 1,000,000/-, 10,000,000/- au hata zaidi?

Kwanini siyo haki bin haki?

Tafadhali tambua maswali haya ni ya msingi bila kujali mlipaji ni nani.

Zaidi sana tambua wagonjwa wengi na hasa Muhimbili wanabambikiwa sana kwenye list na hasa dawa.

Siyaandiki haya tokea hewani.

Changamoto Kwa wagonjwa na wanaowauguza zinawaweka kwenye nafasi kubwa ya exploitation.

Zingatia nani analipa ni bima au binafsi siyo suala linaloongelewa hapa.
 
Tatizo tuna wajinga choka mbaya wenye kujidhania wao ni werevu, wao ndiyo wenye bima na kuwa wengine bima hawana, hawawezi kuyaona wala kuyaongelea madhila ya wengine ila yao. Ubinafsi uliopitiliza.
Hakuna binadamu yupo duniani Kwa ajili ya kuilipia huduma zako binafsi , tupo kulipia huduma za ku share (Barbara, na infrastructure zingine )

Kuna huduma zinagusa uma , kama mama wajawazito , watoto tunalipia kulinda kizazi chetu Cha baadae
 
Bei hupangwa na bodi za hospitali na mteja anawasilishwa na nani? Nani anaangalia maslahi ya mteja kwamba hanyonywi na wajanja?

Kwanini MRI, CT scan, dialysis, operation nk ni bei kubwa hizi tunazozifahamu? Ni dawa, majengo, ujuzi, ugonjwa au ni nini?

Kwanini dialysis kwa mfano kuwa huko kwenye bei zilizopo? Bei zilizopo zimezingatia nini? Kwanini si 5,000/-, 20,000/-, 50,000/-, 100,000/- 1,000,000/-, 10,000,000/- au hata zaidi?

Kwanini siyo haki bin haki?

Tafadhali tambua maswali haya ni ya msingi bila kujali mlipaji ni nani.

Zaidi sana tambua wagonjwa wengi na hasa Muhimbili wanabambikiwa sana kwenye list na hasa dawa.

Siyaandiki haya tokea hewani.

Changamoto Kwa wagonjwa na wanaowauguza zinawaweka kwenye nafasi kubwa ya exploitation.

Zingatia nani analipa ni bima au binafsi siyo suala linaloongelewa hapa.
Bei zinazingatia yaliyotajwa hapo juu mwanzo.

Pia, huweza kuongezwa kama ni bima kulingana na uhalisia kuwa si cash immediate.

Suala la kubambikiwa ni la mwenye gharama kukagua na kuridhika na gharama au kutoa maelezo pingamizi.

Njoo na gharama ukisema kwa level husika :
1: CT Gov. vs Private
2: MRI Gov. Vs Private
3: Dialysisi Gov. vs Private
4: Inpatient: Gov. Vs Private
 
Je umepata kulinganisha CT, MRI, Dialysis kwa hospitali binafsi?

Unafahamu alifanya sessions ngapi kwa wiki na kwa muda gani?

Vipimo kiasi gani hapo kati ya dialysis?

Dawa kiasi gani?

Alikuwa na tatizo gani/yapi mengine?

Angekuwa hospitali ya level hiyo huko binafsi ingekuwa kiasi gani?

Huko India session moja ni kiasi gani/ na huko India watu hawapotezi maisha?

NB: Just a process of denial to acceptance take it slowly, tusiwaumize watu zaidi kisaikolojia.

Yote uliyoandika hapa ni maneno matupu. Suala la kulinganisha na hospitali binafsi linatoka wapi?

Si tumeambiwa vyakula vya wakulima si Mali ya umma? Tuheshimu visivyo umma kulipisha wanavyotaka.

Tujikite kwenye vya umma ambako pesa za umma zimewekezwa 100%. Hakuna aliyekwenda na chochote kama hisani au mtaji kwenye mali ya umma.

Chukua dialysis weka mahitaji tuone gharama yake kwa Mwananchi kama ni halali.

As simple as that.

Kwa nini ni vigumu kufanya hivyo?
 
Yote uliyoandika hapa ni maneno matupu. Suala la kulinganisha na hospitali binafsi linatoka wapi?

Si tumeambiwa vyakula vya wakulima si Mali ya umma? Tuheshimu visivyo umma kulipisha wanavyotaka.

Tujikite kwenye vya umma ambako pesa za umma zimewekezwa 100%. Hakuna aliyekwenda na chochote kama hisani au mtaji kwenye malu ya umma.

Chukua dialysis weka mahitaj tuone gharama yake kwa Mwananchi kama ni halali.

As simple as that.

Kwa nini ni vigumu kufanya hivyo?
Neno ghali umelitoa wapi?

Unalinganisha na nini?

What is ur reference?

Umeambiwa cost sharing, unasema ghali kwa kulinganisha na nini?

Weka data?
 
Yote uliyoandika hapa ni maneno matupu. Suala la kulinganisha na hospitali binafsi linatoka wapi?

Si tumeambiwa vyakula vya wakulima si Mali ya umma? Tuheshimu visivyo umma kulipisha wanavyotaka.

Tujikite kwenye vya umma ambako pesa za umma zimewekezwa 100%. Hakuna aliyekwenda na chochote kama hisani au mtaji kwenye mali ya umma.

Chukua dialysis weka mahitaji tuone gharama yake kwa Mwananchi kama ni halali.

As simple as that.

Kwa nini ni vigumu kufanya hivyo?
Wewe unajua gharama halisi ya dialysis set up kabla ya hela ya serikali?
 
Bei zinazingatia yaliyotajwa hapo juu mwanzo.

Pia, huweza kuongezwa kama ni bima kulingana na uhalisia kuwa si cash immediate.

Suala la kubambikiwa ni la mwenye gharama kukagua na kuridhika na gharama au kutoa maelezo pingamizi.

Njoo na gharama ukisema kwa level husika :
1: CT Gov. vs Private
2: MRI Gov. Vs Private
3: Dialysisi Gov. vs Private
4: Inpatient: Gov. Vs Private

Private hizo ni mali binafsi ambako umma haukuwekeza lolote 100%.

Hispitali za umma umma umewekeza 100%.

Bado unataka mlinganisho upi?

Kwanini hutaki tuangalie operation costs? Hudhani hapo ndipo tungejikita kuona uhalali wa bei?
 
Private hizo ni mali binafsi ambako umma haukuwekeza lolote 100%.

Hispitali za umma umma umewekeza 100%.

Bado unataka mlinganisho upi?

Kwanini hutaki tuangalie operation costs? Hudhani hapo ndipo tungejikita kuona uhalali wa bei?
Ndo maana nimekwambia, leta gharama halisi ya dialysis/CT bila cost sharing. BURE ALISHAKUFA.

Then, niambie serikali imechukua percent ngapi kwenye malipo dhidi ya mgonjwa. Tuanzie hapo, ili kauli yako ya ghali uitetee.
 
Neno ghali umelitoa wapi?

Unalinganisha na nini?

What is ur reference?

Umeambiwa cost sharing, unasema ghali kwa kulinganisha na nini?

Weka data?

Wapi nimesema ghali? Nimekuwa ninauliza uhalali wa bei. Kuuliza uhalali, ni kuuliza vigezo ambako ni kuuliza reference ndugu.

Mara kadhaa nimeandika haya:

"Hayupo anayekataa cost sharing ila break down ya gharama ni vyema vikajulikana, nani anaweka bei na vigezo gani.

Vinginevyo hapa ni ujanja ujanja tu."


Huko ni kuuliza reference.

Mbona unaruka ruka tu?
 
Wapi nimesema ghali? Nimekuwa ninauliza uhalali wa bei. Kuuliza uhalali, ni kuuliza vigezo ambako ni kuuliza reference ndugu.

Mara kadhaa nimeandika haya:

"Hayupo anayekataa cost sharing ila break down ya gharama ni vyema vikajulikana, nani anaweka bei na vigezo gani.

Vinginevyo hapa ni ujanja ujanja tu."


Huko ni kuuliza reference.

Mbona unaruka ruka tu?
Unahoji gharama ziko chini sana??

Breakdown kamwombe mgonjwa, utazikuta.
 
Wapi nimesema ghali? Nimekuwa ninauliza uhalali wa bei. Kuuliza uhalali, ni kuuliza vigezo ambako ni kuuliza reference ndugu.

Mara kadhaa nimeandika haya:

"Hayupo anayekataa cost sharing ila break down ya gharama ni vyema vikajulikana, nani anaweka bei na vigezo gani.

Vinginevyo hapa ni ujanja ujanja tu."


Huko ni kuuliza reference.

Mbona unaruka ruka tu?
Fanya home work yako.
Mimi sijui. Ndiyo maana ninauliza.

Wewe unajua? Au ni siri?
Simple:
Jua viambata vya huduma husika na gharama. Ingia kwenye mtandao wa manunuzi. Jumlisha gharama. Njoo na ushahidi.
 
Unahoji gharama ziko chini sana??

Breakdown kamwombe mgonjwa, utazikuta.

Umeona naulizia breakdown za mgonjwa mmoja?

Ninaulizia breakdown za dialysis 1, MRI 1, CT Scan 1, operation 1 nk.

Hizo hazimhusu mgonjwa hizo zinamhusu anayelipwa!
 
Mkuu ni huduma ipi uliwai ipata kwa gharama nafuu ukilinganisha na hospital ambayo unasema ni kubwa?gharama za matibabu kubwa Duniani,tena waweza ona kwetu tuna nafuu,...ukikata Bima 1.5M utapata huduma ya wewe,mkeo na watoto 4 kwa mwaka,pia NHIF wameleta vifurushi kwa sasa ambavyo unakata vya mtu mmoja..kifupi TIBA ni gharama, waweza lalamika kwa sababu hujui ghrama za uendeshaji wa vituo,..mbali na majengo na mishahara,kuna magari,watumishi wanahitaji kulipwa calls,na mambo mengi ndani ya kituo...pitia gharama za matibabu kwa nchi za SA,Ulaya na Marekani.
 
Umeona naulizia breakdown za mgonjwa mmoja?

Ninaulizia breakdown za dialysis 1, MRI 1, CT Scan 1, operation 1 nk.

Hizo hazimhusu mgonjwa hizo zinamhusu anayelipwa!
Ni rahisi pia:
Fika kituo husika omba gharama ya huduma zitolewazo pia utapewa.

Ukitaka breakdown pia utapewa.

Ila kuwa genuine ingia kwenye mtandao pia.
 
Back
Top Bottom