CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Gharama ni kubwa mno.
Nadhani tungehailisha Kila kitu na kujadili hili suala.
Nadhani tungehailisha Kila kitu na kujadili hili suala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Board za hospitali ndiyo zinapanga bei
NHIF wameifanya kichaka cha kupiga pesa kwa hizi hospitali kuweka gharama kubwa za vipimo na matibabu zisizo na uhalisia. Ndo maana ili NHIF iweze kuwa sustainable itabidi wafungue hospitali zao wenyewe....Mwaka jana september nilikuwa namuuguza mama pale Muhimbili ikafika mahali akahitajika afanyiwe MRI unfortunately bima niliyomkatia NHIF iliyoni-cost Tsh 360,000/= ikawa haiwezi ku-cover hicho kipimo nikaambiwa nitalipa cash.
Nikawauliza bei gani nikaambiwa kwa mgonjwa wa cash ni 210K nikasema aipitishe ili mama apewe huduma kuingiza jina la mgonjwa wakasema huyu ameingia hapa kwa bima so itabidi ilipwe 450K,nilipata mfadhaiko sana nikaona kama napigwa wakanielekeza kwa msimamizi wa kitengo nikaenda akanionyesha ipo kabisa kwenye system zao.
Mpaka namaliza matibabu ya mgonjwa wangu sikuwahi kupata jibu kwanini mtu akiwa na bima na asiyekuwa na bima kipimo kile kile kinatofautiana bei kwa ukubwa ule?kama kawaida yetu wabongo nikanung'unika tu moyoni huku nikishukuru mzazi kupona.
Kwenye hospital kama zile za mikoa na rufaa kuna kitu kinaitwa HMT(Hospital Mgt Team) hupendekeza na board baada ya kulipwa posho hubariki bila kuangalia maslahi mapana kwa wananchi, upande wa council bei hupangwa na baraza la madiwaniBodi za hospitali ni kwa maslahi ya hospitali. Sisi wateja tunawakilishwa na nani au vipi huko?
Kigezo cha bei hIzi ni nini?
Inaweza kuwa muda muafaka kumtaka mtu kuachia ngazi.
Huu mbona unaoonekana kuwa ni wizi wa wazi?
Kodi zetu, bajeti wizara ya afya na malipo yetu hospitali vinahusiana vipi?
Kwa hakika ni haki yetu kujua.
Mwaka jana september nilikuwa namuuguza mama pale Muhimbili ikafika mahali akahitajika afanyiwe MRI unfortunately bima niliyomkatia NHIF iliyoni-cost Tsh 360,000/= ikawa haiwezi ku-cover hicho kipimo nikaambiwa nitalipa cash.
Nikawauliza bei gani nikaambiwa kwa mgonjwa wa cash ni 210K nikasema aipitishe ili mama apewe huduma kuingiza jina la mgonjwa wakasema huyu ameingia hapa kwa bima so itabidi ilipwe 450K,nilipata mfadhaiko sana nikaona kama napigwa wakanielekeza kwa msimamizi wa kitengo nikaenda akanionyesha ipo kabisa kwenye system zao.
Mpaka namaliza matibabu ya mgonjwa wangu sikuwahi kupata jibu kwanini mtu akiwa na bima na asiyekuwa na bima kipimo kile kile kinatofautiana bei kwa ukubwa ule?kama kawaida yetu wabongo nikanung'unika tu moyoni huku nikishukuru mzazi kupona.
Wanyonge oyeeeeeImekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.
Nani anayepanga bei hIzi na kwa vigezo gani?
Je ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?
Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?
Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?
Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
pamoja na uzalendo na kila kitu lkn lazima ifaamike pi akuwa gharama za matibabu ni kubwa dunia nzima ni sio kwetu hapa. Sasa ndio maaan kuepuka dhahma kama hii srikali ikaja na mpango wa bima kwa wote ili hizi ghrama ziwe shared kupitia bima na kuleta unafuu na uhakika wa huduma pia. Hakuna namna hizi taasisi za afya ziaweza kujiendesha bila pesa, maana zinahitaji pesa kufanya tafiti , kulipa hao wataalamu na kuwekeza kwenye vifaaa na majengo ilio hizo tiba tunazifuata nje zipatikane hapa ndaniImekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.
Nani anayepanga bei hIzi na kwa vigezo gani?
Je ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?
Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?
Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?
Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
Kwenye hospital kama zile za mikoa na rufaa kuna kitu kinaitwa HMT(Hospital Mgt Team) hupendekeza na board baada ya kulipwa posho hubariki bila kuangalia maslahi mapana kwa wananchi, upande wa council bei hupangwa na baraza la madiwani
pamoja na uzalendo na kila kitu lkn lazima ifaamike pi akuwa gharama za matibabu ni kubwa dunia nzima ni sio kwetu hapa. Sasa ndio maaan kuepuka dhahma kama hii srikali ikaja na mpango wa bima kwa wote ili hizi ghrama ziwe shared kupitia bima na kuleta unafuu na uhakika wa huduma pia. Hakuna namna hizi taasisi za afya ziaweza kujiendesha bila pesa, maana zinahitaji pesa kufanya tafiti , kulipa hao wataalamu na kuwekeza kwenye vifaaa na majengo ilio hizo tiba tunazifuata nje zipatikane hapa ndani
Gharama ni kubwa mno.
Nadhani tughlehailisha Kila kitu na kujadili hili suala.
Pamoja na kukusanya tozo nadhani pia kuwatisha wananchi waione bima si chochote si lolote kwamba uwe na bima usiwe na bima lazima hela utatoa tena za kutosha.Mkuu sote tumeshuhudia mifadhaiko ya namna hii. Binafsi nimekuwa ninajiuliza vigezo vinavyotumika:
Ni ujuzi, majengo, vifaa, dawa, au ni ugonjwa?
Mhimbili ukifika ukisema una bima tegemea MRI, CT Scan na makorokoro kibao na bei juu zaidi. Ukisema unalipa mwenyewe hali inakuwa tofauti japo bei bado juu.
Hata hivyo bei za kufuru hizi hazina lengo la kukusanya tozo kwa mgongo wa chupa?
Pamoja na kukusanya tozo nadhani pia kuwatisha wananchi waione bima si chochote si lolote kwamba uwe na bima usiwe na bima lazima hela utatoa tena za kutosha.
Mfano kwa kilichonikuta mimi ikitokea bahati mbaya nikauguza tena siwezi kuthubutu kuonyesha card ya bima itabidi niingie kichwa kichwa wajipigie wanavyotaka maana kama mtu bima unalipa zaidi ya 300K haikusaidii kwenye vitu vya msingi kama vipimo and still wakishirikiana na m'bia wake wanakukaba shingo tusemeje?
Na ni namna serikali inafanya kui-escape NHIF kwenye issue ya malipo inaona bora mwananchi aumie hela iingie kwake kuliko kwenye mfuko,hovyo kabisa hii serikali sijui wanaotunga hizi sheria huwa wanawaza nini!
mkuu mada yako ina mashiko sana ila serikali ya ccm inajua jinsi gani inawanyonya wananchi ilo uwezi kuwafundisha, kwanza hawakomi kudhulumu, ili la afya ndio sehemu zao pendwa kuwapiga walalahoiImekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.
Nani anayepanga bei hIzi na kwa vigezo gani?
Je, ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?
Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?
Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?
Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
mkuu mada yako ina mashiko sana ila serikali ya ccm inajua jinsi gani inawanyonya wananchi ilo uwezi kuwafundisha, kwanza hawakomi kudhulumu, ili la afya ndio sehemu zao pendwa kuwapiga walalahoi
Hivi hiyo bima ya afya kwa wote ita-cover kila kipimo katika matibabu, kuna mdau juu hapo, amezungumza juu ya kadhia iliyompata kwa kipimo ilhali alikua amemkatia mgonjwa bima.pamoja na uzalendo na kila kitu lkn lazima ifaamike pi akuwa gharama za matibabu ni kubwa dunia nzima ni sio kwetu hapa. Sasa ndio maaan kuepuka dhahma kama hii srikali ikaja na mpango wa bima kwa wote ili hizi ghrama ziwe shared kupitia bima na kuleta unafuu na uhakika wa huduma pia. Hakuna namna hizi taasisi za afya ziaweza kujiendesha bila pesa, maana zinahitaji pesa kufanya tafiti , kulipa hao wataalamu na kuwekeza kwenye vifaaa na majengo ilio hizo tiba tunazifuata nje zipatikane hapa ndani
Hali kama hizi ndizo zinazotuweka kwenye kuchukulia poa.
Mtanzania mjinga akisha aminishwa jambo hubakia kukenua kama huyo ndugu.
Ndiyo maana waziri anadiriki kusema tukalime vyetu na watu bado wanakenua badala ya kumwajibisha.
Kwani vipaumbele vya hii nchi ni vipi? huwa naona tunabangaiza kote tu.
Siku tukiamua kuwa serious, tuainishe vipaumbele vyetu, tujue tuanze na vipi, ndio tutaanza kupiga hatua kama taifa kwenda mbele, lakini kwa sasa, wacha tuendelee kubangaiza tu.