- Thread starter
- #481
Exactly mfano hapo Mloganzila au MOI, wanakupa bili ikionyesha kwamba kuna gharama za kila siku za madaktari, manesi etc kumbuka hiyo ni mbali na gharama za kitanda na vifaa mbalimbali na madawa. Huwa najiuliza kwanza unakuta madaktari wenyewe wanakuja mara chache most of the time ni wanafunzi ndo wako wodini, lakini kwa nini kuwe na gharama za madaktari na manesi daily? Hawa si wanalipwa mishahara? Kwa nini kusiwe na consultancy fee inayolipwa just once? Kwani hii ni private hospital? Majengo yamejengwa kwa fedha za umma, vifaa vyote ni vya umma etc etc
Staajabu ya Mussa ndugu mrejesho wa wengi waliokwenda India na South Africa Bei huko ni nafuu zaidi na cases za "wrong diagnosis" kutokea nyumbani zimekuwa zikisikika:
Mgonjwa adai fidia TMJ, Hindu Mandal