Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Hakuna mtu halipi Kodi

Shida ni watanzania kutaka Bure
Posho zile za maburungutu, huwa zinakatwa kodi?
Nb: ukiona maghorofa yanapanda hewani sio mshahara, ni posho ndio zinafanya kazi. Kodi imeelekezwa kwenye mshahara ambao ni mdogo sana, ila kwenye posho ambapo kuna pesa nyingi hakuna kodi.
 
Posho zile za maburungutu, huwa zinakatwa kodi?
Nb: ukiona maghorofa yanapanda hewani sio mshahara, ni posho ndio zinafanya kazi. Kodi imeelekezwa kwenye mshahara ambao ni mdogo sana, ila kwenye posho ambapo kuna pesa nyingi hakuna kodi.

Fo1QpvoWYAEstsH.jpeg
 
Imekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.

Nani anayepanga bei hizi na kwa vigezo gani?

Je, ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?

Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?

Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?

Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
Tumefika pabaya gharama ni kubwa sana.
 
Posho zile za maburungutu, huwa zinakatwa kodi?
Nb: ukiona maghorofa yanapanda hewani sio mshahara, ni posho ndio zinafanya kazi. Kodi imeelekezwa kwenye mshahara ambao ni mdogo sana, ila kwenye posho ambapo kuna pesa nyingi hakuna kodi.
VAT inalipiwaje ?
 
Gharama hIzi siyo halali zimewekwa vile kwa malengo maalumu.
Siku ya tatu Leo nimewataka mmlete gharama halisi na zisizo halisi mmeshindwa

Acheni kupotosha

Tafuta pesa lipia gharama za afya there is no Free lunch
 
Swali jepesi Sana
VAT inalipiwaje , na ni njia gani ya kuikwepa
Ulishawahi kujiuliza swali, kwa nini wengine wanatumia mamilioni kwa siku kwa ajili ya pombe; huku wengine wakitafuta hela ya kununua kilo moja ya maharage? ingawa wote wanalipa VAT?
 
Gharama hIzi siyo halali zimewekwa vile kwa malengo maalumu.
Kwanini mmeshindwa Kuweka za halali na zisizo halali ?

Weka huduma kadhaa linganisha na nchi nyingine tuone kwetu zipo juu
 
Ulishawahi kujiuliza swali, kwa nini wengine wanatumia mamilioni kwa siku kwa ajili ya pombe; huku wengine wakitafuta hela ya kununua kilo moja ya maharage? ingawa wote wanalipa VAT?
Jibu swali langu kwanza

VAT inalipiwaje , na ni njia gani ya kuikwepa
 
Jibu swali langu kwanza

VAT inalipiwaje , na ni njia gani ya kuikwepa
Ukijibu swali langu, utakuwa umepata jibu la swali lako.
Swali lingine: aliyehudhuria kikao cha nusu saa akapata posho ya milioni mbili, na mama aliyeponda kokoto mwezi mzima akapata ujira wa elfu 50; kati ya hao, ni nani alitakiwa alipwe zaidi?
 
Ulishawahi kujiuliza swali, kwa nini wengine wanatumia mamilioni kwa siku kwa ajili ya pombe; huku wengine wakitafuta hela ya kununua kilo moja ya maharage? ingawa wote wanalipa VAT?
Anaekunywa pombe analipa Kodi kubwa Sana ya VAT kuliko anaeshindwa kununua maharage
 
Ukijibu swali langu, utakuwa umepata jibu la swali lako.
Swali lingine: aliyehudhuria kikao cha nusu saa akapata posho ya milioni mbili, na mama aliyeponda kokoto mwezi mzima akapata ujira wa elfu 50; kati ya hao, ni nani alitakiwa alipwe zaidi?
Aliehudhuaria kikao maana yeye ndie ataamua wapi pachimbwe kokoto na wapi pasimbwe na kuhakikisha mazingira yanatunzwa
 
Back
Top Bottom