Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Acha porojo dogo. Kakate Bima ya Afya. Dunia nzima bei za matibau ziko juu. Nitajie nchi ambayo ukifanyiwa oparesheni kubwa unalipa buku au buku ten. Unafikiri Wazungu walikuwa wajinga kutumia Bima za Afya? Wanajua!!Umeshindwa kujua kinachoongelewa:
"Haijali nani analipa iwe bima au binafsi kwa mtu mmoja kufilisika ni lazima."
Zingatia NHIF tayari inapumulia mashine.
Siyo wewe peke yako ila uko na wale mburula wote wenye kuwadhania wengine ni madogo na tena kama wao, ni mabinafsi tu wenye kujiongelea wao na jamaa zao tu.
Watu kama nyie alisema shujaa mmoja, mnao mchango mdogo sana kwenye taifa hili.
Bure kabisa!
Kaa na mburura wenzako akina babaako na mamaako waendelee kukudanganya eti bei ziko juu, bei ziku juu! Nenda kwa waganga wa kienyeji! PUMBAVU!!!!