- Thread starter
- #81
Ndiyo maana tunataka break down.Bingwa gani kasomeshwa na umma ? Si tunalipa kodi? Vifaa kuwa vya umma havihalalishi kutolipiwa mkuu , Mwendokasi ni ya Umma ila tunalipa
Usilete siasa hapo mkuu
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Tunavilipia kiasi gani? Malipo hayo yanazingatia mchango wetu kama umma?
Kama unajua tuwekee hapa.
Bila hivyo tuna mashaka tunapigwa Kwa kuuziwa mbuzi kwenye magunia.