Lukonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,469
- 2,086
Kubwa unalinganisha na nini?Mkuu hIzi bei hazitoki Kwa Mungu bali zinapangwa hapa hapa na watu kama sisi.
Kwanini bei hIzi ziwe kubwa hivi kwenye hospitali za umma?
Zingatia kwenye hospitali hizo wadau ni sisi kupitia kodi na tozo mbalimbali.
Wafanyakazi wanalipwa mishahara na serikali na pia Kuna allocation ya bajeti Kila mwaka.
Kwanini ICU ni laki 5 kwa siku Kwa mtu? Kwenye laki 5 tufahamishane kimoja kimoja isiwe mbuzi kwenye gunia.
Huo ndiyo msingi wa hoja mkuu.
Nenda kaione ICU na mahitaji yake, siyo isolation.
Ponga wote hao wanatukwamisha sisi wazalendo wa kweli.Ni vizuri kuwa tuko.pamoja kwenye kwamba hatupingi bima wala kulipa.
Tunapinga ujanja ujanja.
Mjini wanasema "bongo nyoso."
Panq harufu kubwa ya upigaji.
"Tuungane kuwakataa wahuni. Wahuni SI watu wazuri."
Bahati mbaya wahuni wanaweza kuwa wapo Hadi ikulu.