DOKEZO Gharama mpya ambazo Aga Khan wanataka walipwe kwa wateja wa NHIF ni kuhujumu nchi. Haikubaliki

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwenda Agha khan na hauna hela ni kutafutia watu waonekane wabaya tuu...Si kuna Hizi Kairuki, Kitemgule, Bochi na zipo vizuri tuu
Unajua watz wana matatizo ya akili , hao Bochi tu wenyewe wa hapo kimara hawataki kuiona hiyo bima ya NHIF ,anayebisha aende na hiyo takataka ya NHIF pale aone na alete mrejesho hapa
 
Ni Bima tu inawapeleka hapo,Mbona shule watoto wenu mnawapeleka wanakochezaga 😂😂😂😂
 
Hapo kuna wakati fulani mgonjwa wetu alikaa jengo la pavilion
Na alilazwa week 3 huo mkeka ulivyotoka syo poa
Pale waende wenye kibunda,ila all in all mm binafsi napakubali sana muhimbili

Ova
Kweli hapo lazima uwe na kibunda au bima kubwa ,ila kwa sisi mpeche mpeche ,pangu pa kavu hapatufai.

Yes muhimbili kuna vifaa vingi sema inahujumiwa na wala rushwa tu.
 
Propaganda hizi ujue...hiyo hospitali mliyoiingiza ya Saifee, gharama ya uzazi kwa kisu ni tsh 4,000,000

Sasa hiyo tsh 700,000 ni ya wapi?
Kuna mdau amenifungua macho hapo juu, kama kweli Aga Khan wana MoU na serikali, wanafaidi msamaha wa kodi kuliko taasisi nyingine yeyote hapa TZN, basi hawastahili kufanya haya...

Mwenye MoU nao achukue hatua zaidi ya hiyo!
 
Hii ni crisis katika utoaji wa huduma za afya nchi nzima na issue ni kwamba raia wengi ni masikini na hawawezi kumudu gharama za matibabu , wanategemea hivyo visenti vya NHIF (shirika linaloekea kufirisika kutokana na mismanagement ) ,na malipo hayawafikii hao watoa huduma kwa wakati , na matokeo ndio hayo hospitali zinaanza kupunguza vituo vya huduma kama kufunga baadhi ya hospitali na kukataa kupokea wagonjwa wa bima za NHIF .

Sasa spinning ya wanasiasa wa ccm na majitu yasiyokuwa kufanya analysis yanaona kosa ni la watoa huduma ,wakati failure ni ya serikali yenyewe
 
Hao wenye NIHIF wanaotibiwa aghakhan unawaambia serekali iwaambie unawajua mkuu
 
Unajua watz wana matatizo ya akili , hao Bochi tu wenyewe wa hapo kimara hawataki kuiona hiyo bima ya NHIF ,anayebisha aende na hiyo takataka ya NHIF pale aone na alete mrejesho hapa
Uende ukatibiwe kairuki na takataka yako hiyo ya NHIF ,una wazimu au ?
Suala ni lile lile ufisadi na incompetence ya uendeshaji wa hilo shirika la bima ambalo walikuwa wanakopeshsna bilioni kumi na tano wafanyakazi wa NHIF , ambazo ni ( senti za raia masikini wa Tz ) as if ni saccos
 
Kama huko serikalini tu ambapo wanapata ruzuku kila siku toka wizara , unaenda unaambiwa hii dawa hamna mara sijui upuuzi gani na huduma mbovu ,uchafu ,negligence na kero nyingine .
Jiulize watoa huduma binafsi wemebeba mzigo kiasi gani
 
Sasa kama Utrasound inaonesha mtoto ni mkubwa, solution ni nini kama sio upasuaji?
Mtu afe ?
 
Hawa wanasiasa wenyewe wakiugua hata malaria hawaendi hospitali za serikali , kama huko ni kuzuri mbona hawaendi ?
 
Cha muhimu serikali iboreshe huduma kwenye hospitali zake. Hayo mabilioni ya kulipa wapuuzi Aga Khan ayatumie kuajiri wafanyakazi wa kutosha mahospitalini. Serikali ikifanya hivyo hao kina Aga Khan na wahuni wengine wataufyata.
 
Mbongo kwa mhindi unafuata nn
Si wahindi tu hata hospitali za binafsi nyingi za wabongo wakikuona na hicho kikadi chako cha NHIF watakufukuza kama mbwa na hautaamini .
Wamechoka na utapeli wa NHIF , watu wamewekeza pesa ndefu kwenye hizo hospitali , sio charity hiyo
 
Hospitali hizo ni private enterprises ni lazima waingize pesa ili kuweza kusustain kutoa huduma
 
Hawa biashara yao kubwa ni upasuaji.
Mzazi pale hatoki bila upasuaji.
Na pia nawachukia kwa sababu walitaka kuua jamaa yangu kwa vipimo vya uongo.
Kumbe ni malaria tu ndio tatizo. Wao walisema hakuna malaria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…