Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 484
- 178
Mkuu hiyo sahau zaidi ya miezi miwili,hao jamaa ni wasumbufu sana mwanzo wanasema baada ya wiki mbili baada ya hapo utasikia fundi ni mmoja hvy anafunguo nyingi na maneno mengi ya kuudhi tu na usiombe ukapelekwa kule Sokoine Drive kuna jamaa mmoja bonge hivi bingwa wa kuahidi.
Aisee magomeni nimejaribu nimeshindwa vipi maeneo mengine?Ulikwenda kufungua box maeneo gani? Pale magomeni ni wasumbufu lakini posta niliipata Kwa wiki moja tuu
Mkuu kama uko dar hata kesho nione nikupeleke upatiwe
Kupata sanduku la Posta ni rahisi sana. Ukiwa Posta mpya nenda chumba namba 7. Vaa miwani myeusi. Waambie wahudumu una biashara ndogo. Utalipa shs 35400/+17000/+2000 /. =54400/nenda na picha kabisa stamp size. Ukiona unazinguliwa jifanye unaulizia 'Hivi boss wenu yupo?' Jamaa ni waoga sana. Utapata faster.Asante sana aise sintolichezea tena walah, huweziamini kila mwaka huwa nalilipia mwezi wa kwanza ila naweza extend mpaka mwezi wa pili nikalikuta lipo tu, du asante sana maana sikuwa najua kama ni kitu adimu, next year ntalipia tarehe mbili mwezi wa kwanza kabisa du ebwana ee
Naomba kujua gharama za kufungua sanduku la barua Posta no shilingi ngapi na kwa hapa Dar masanduku yanapatikana?
Aisee magomeni nimejaribu nimeshindwa vipi maeneo mengine?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hujielewi,unadhani ni kwa ajili ya kutumiwa barua na mchumba wako wa kigoma tu.
nenda posta utapata taratibu zote