Nyikanavome
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 484
- 178
Mkuu hiyo sahau zaidi ya miezi miwili,hao jamaa ni wasumbufu sana mwanzo wanasema baada ya wiki mbili baada ya hapo utasikia fundi ni mmoja hvy anafunguo nyingi na maneno mengi ya kuudhi tu na usiombe ukapelekwa kule Sokoine Drive kuna jamaa mmoja bonge hivi bingwa wa kuahidi.
Yani, Nimesubiri mpaka nimechoka, mwanzoni waliniambia wiki mbili, lakini sasa miezi minne imeisha
Yani ili kupata kitu kwenye Box mpaka siku ya kazi tu. Naona bosi wa shirka la posta inabidi ashughulikie hili jipu