Anakula kwa urefu wa kamba yake!Tufanyaje sasa ?
Basi tumepigwa na kitu kizito sana chenye ncha kali kichwani..Anakula kwa urefu wa kamba yake!
Tatizo urefu wa hiyo kamba hakuna aujuaye!
Huenda ina urefu wa kuzunguka dunia nzima!
Naam, kamba ya mama ni kitanzi cha taifa,
Hiyo ni bei ya chumba cha kawaida tu.Ninyi exposure yenu ndogo hadhi ya Rais anapaswa kukaa maeneo yenye security!
Unataka abanane na Roma manzese za Marekani?
Pia in Order to earn you must first inject something!
Hizo ni operating costs ambazo tunasubiri a faida
Kwanini mlielie nyuma ya key board? Jitokezeni hadharani enyi wananchi.Wananchi tunahaki ya kujua namna kodi yetu inavyotumika.
Dah!.. ndio kulamba asali huko.Msafara wa Royal Tour ulibahatika kufika New York Marekani katika hoteli ya the Ritza Carlton.
Gharama kwa chumba cha kawaida kama ukikaa kwa siku zaidi ya moja ni dola mia saba sawa na shilingi za kitanzania milioni moja na laki saba.
Ila kama ni usiku mmoja tu ni sawa na dola mia tisa ambazo zinakaribia milioni mbili za kitanzania.
Ndugu zetu hao walijaza floor tatu za hoteli hiyo.
View attachment 2227124View attachment 2227125View attachment 2227127View attachment 2227126
Si mnasemaga tupo uchumi wa Kati? Hiyo mikopo inatoka wapi? Msijisahaulishe kuwa hii nchi ni tajiri kwa kadri ya mahubiri ya mzilankende Na akaifikikisha kwenye uchumi wa kati ghafla.Hiyo ni bei ya chumba cha kawaida tu.
Achana na hizo presidential suit.
Na bado jamaa wakajaza floor tatu.
Kwa nchi ambayo bado tupo kwenye level za mikopo.