Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Room hazifanani bei na pengine miaka mitatu iliyopita kuna tofauti sana na sasa.Bei ndio hizo hapo mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Room hazifanani bei na pengine miaka mitatu iliyopita kuna tofauti sana na sasa.Bei ndio hizo hapo mkuu.
Leo akili imekurudia ndio umelitambua ili?Wananchi tunahaki ya kujua namna kodi yetu inavyotumika.
Ushamba Mzigo kwa kweli hapa Tanzania tuna hoteli za Gharama kuliko hata Ritz. HAYT REGENCY WANA VYUMBA VYA VIONGOZI KWA VYA USD 10000. nenda. Singita Grumet USD 1500 chumba cha chini,Nenda Gran Melia Arusha vipo hadi Usd 900.Hiyo ni bei ya chumba cha kawaida tu.
Achana na hizo presidential suit.
Na bado jamaa wakajaza floor tatu.
Kwa nchi ambayo bado tupo kwenye level za mikopo.
Hiyo ni hoteli huko MarekaniRITZ..?
Ni Rizmoko?
Amekuja kushtaki...🤣🤣Tufanyaje sasa ?
Huku ni kupungukiwa akili kukubwa sana.Gharama ya serikali kukaa Chato miezi mitatu ni bei gani vile?
Umeleta mashtaka au imekushangaza...!!!!!Msafara wa Royal Tour ulibahatika kufika New York Marekani katika hoteli ya the Ritza Carlton.
Gharama kwa chumba cha kawaida kama ukikaa kwa siku zaidi ya moja ni dola mia saba sawa na shilingi za kitanzania milioni moja na laki saba.
Ila kama ni usiku mmoja tu ni sawa na dola mia tisa ambazo zinakaribia milioni mbili za kitanzania.
Ndugu zetu hao walijaza floor tatu za hoteli hiyo.
View attachment 2227124View attachment 2227125View attachment 2227127View attachment 2227126
Fanya hesabu ya vyumba kwa floor tatu.Mbona Bei ndogo Sana hiyo,kuna camp kule ngorongoro ni expensive kuliko hiyo
Shitaki wale wanaokula posho za vikao bila uhalali wake...Kwenye mahakama ya wananchi.
Pesa ndogo Sana hiyoFanya hesabu ya vyumba kwa floor tatu.
Halafu na kwa siku walizokaa huko.
Halafu toa na gharama za kujengea madarasa na vyoo.
Atuambie hao waliochanga hizo fedha NI akina Nani !Ninyi exposure yenu ndogo hadhi ya Rais anapaswa kukaa maeneo yenye security!
Unataka abanane na Roma manzese za Marekani?
Pia in Order to earn you must first inject something!
Hizo ni operating costs ambazo tunasubiri a faida
Pengine kampuni iliyokulipia wanapewa special rates hata hivyo kwa nchi masikini hayo matumizi ni ufujaji wa kodi za wananchi!Sio kweli mkuu, nimewahi kulala hapo kwa $450 kwa night. Kampuni ndio ililipia.