Msafara wa Royal Tour ulibahatika kufika New York Marekani katika hoteli ya the Ritza Carlton.
Gharama kwa chumba cha kawaida kama ukikaa kwa siku zaidi ya moja ni dola mia saba sawa na shilingi za kitanzania milioni moja na laki saba.
Ila kama ni usiku mmoja tu ni sawa na dola mia tisa ambazo zinakaribia milioni mbili za kitanzania.
Ndugu zetu hao walijaza floor tatu za hoteli hiyo.
View attachment 2227124View attachment 2227125View attachment 2227127View attachment 2227126
Pesa ya wafanyabiashara ina tuhusu nini? Yaani wakupe pesa ya tour halafu uwapangie sehemu ya kulala?😂