Gharama ya chumba kwa siku ni Milioni 1.7 kwa Hoteli ya the Ritz Carlton iliyotumika na Msafara wa Royal Tour Marekani


Pesa ya wafanyabiashara ina tuhusu nini? Yaani wakupe pesa ya tour halafu uwapangie sehemu ya kulala?😂
 
Uko sahihi mkuu, serikali lazima ijitahidi kubana matumizi.
 
Ule ulikuwa msafara wa Rais, una hadhi yake na vivyo hivyo gharama zake, usitegemee uwe sawa na raia anayebana matumizi.
 
Mm pmj na ubahili wangu Wala cjashtuka kwa Bei hzo walitaka rais alale Dola 123 jmn. CDM wameona wamepoteza ktk kesi za kina mdee wanakuja kuanza kujadili garam za hoteli HV hamjawai kusikia rais wa Cameroon Paul bia alikodi hotel uswisi mwaka mzima Flor nzima yey na maafisa wake tu twende kwa bohari wa Nigeria alikah mwak nzima London anauguza tu tumbo mwaka mzimaaa


Embu CDM acheni propaganda
 
Mangapi yamepita hujaomba investigation? Hata kampuni zina operations cost ije kua ofisi ya raisi?
 
Ana hadhi mana bado ni Raisi. Tuache kulaumu kila kitu.

Ana hadhi humu humu nchini ni kidogo Afrika kwa wasiojielewa, sio huko. Tena na hii kuingia madarakani kwa wizi wa kura ndio anakuwa bure kabisa.
 
Rais ulitaka alale kwenye hotel ya aina gani??
Kwanza hapo naona wamemdhalilisha Rais wetu kama walimlaza kwenye hotel ya milioni mbili,

Mtoa Mada nenda hapo Zanzibar tu kakutane na bei za hotel.
 
Reactions: Qwy
Rais ulitaka alale kwenye hotel ya aina gani??
Kwanza hapo naona wamemdhalilisha Rais wetu kama walimlaza kwenye hotel ya milioni mbili,

Mtoa Mada nenda hapo Zanzibar tu kakutane na bei za hotel.
Hiyo bei ni ya chumba cha kawaida.

Hapo bado hujapewa zile presidential suits madame.

Presidential suite ni Milioni 60 kwa usiku mmoja.
 
Rais ulitaka alale kwenye hotel ya aina gani??
Kwanza hapo naona wamemdhalilisha Rais wetu kama walimlaza kwenye hotel ya milioni mbili,

Mtoa Mada nenda hapo Zanzibar tu kakutane na bei za hotel.
 
Mama mpenda anasa. Halafu hakwenda na mume.
 
Crazy presidential tours
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…