The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
ndio maana nawashangaa hao wajinga,ukute huwa wanalala Gesti za buku Tano,hotel wanaziona kwenye mtandao tuu.Wakati bongo kuna hoteli kwa siku $20000
Hiyo 700$ mbona ya kawaida sana
Ova
Zitaje majina nipeleke shemeji yakoMbona gharama za kawaida Sana, kuna hotel hapa hapa bongo ni mara 5-10 ya hiyo bei!
Kuna camps za kitalii, kuna beach resorts mtanzania WA kawaida! Miaka 100 huendi!
Walitaka akafikie kwenye 'project' neighborhoods za Bronx au Harlem[emoji1787][emoji1787], wa Tz ni shida sana na wanaona 700$ ni bei ya ajabu sana.Ninyi exposure yenu ndogo hadhi ya Rais anapaswa kukaa maeneo yenye security!
Unataka abanane na Roma manzese za Marekani?
Pia in Order to earn you must first inject something!
Hizo ni operating costs ambazo tunasubiri a faida
Tunaomba majina ya hizo hotel za $ 20,000 twende na sie na familia zetu..Wakati bongo kuna hoteli kwa siku $20000
Hiyo 700$ mbona ya kawaida sana
Ova
Humu nikimpeleka mtoto mkali nanjunjaaa hadi rahaa eeh.. mazingira hake yanasema tuu
Acha uongoUsisahau walikodi ndege nzima ya Qatar mpaka USA, isitoshe ukiona msafara una Waziri wa fedha ujue wamekomba hazina!
Ukishajua ni kinafuata? Mnajitia simanzi bure tu kwa li serekale la kichizi hili!Wananchi tunahaki ya kujua namna kodi yetu inavyotumika.
Siku hizi umejiunga na MATAGA? Hueleweki. Wacha upopo.Wewe unaandikia/ una type wapi? Kwenye Sinia/
Mpeleke Grumeti Kwanza kama utapata chumba JulyZitaje majina nipeleke shemeji yako
Lipeni tozo na vei za mafuta zipande ili Mwigulu akale raha. Mchumi namba mojaTufanyaje sasa?
Wanasemaga we kaa umezubaa wenzio tunakula Nchi !! Salaaleeh !! Lakini sasa utashangaa Unaweza usipate usingizi mpaka kunakucha humo chumbani lakini nje Receptionist anasinzia kwenye kiti chake !!!Msafara wa Royal Tour ulibahatika kufika New York Marekani katika hoteli ya the Ritza Carlton.
Gharama kwa chumba cha kawaida kama ukikaa kwa siku zaidi ya moja ni dola mia saba sawa na shilingi za kitanzania milioni moja na laki saba.
Ila kama ni usiku mmoja tu ni sawa na dola mia tisa ambazo zinakaribia milioni mbili za kitanzania.
Ndugu zetu hao walijaza floor tatu za hoteli hiyo.
View attachment 2227124View attachment 2227125View attachment 2227127View attachment 2227126
Na inajengwa na wenye moyo !!Nchi inaliwa na wenye meno kwa zamu.
Chato kuna gharama gani ww panzi!!Gharama ya serikali kukaa Chato miezi mitatu ni bei gani vile?
Haa haa zile night allowance za msafara!! Na mafuta ya safari.Chato kuna gharama gani ww panzi!!
Ugumu wa maisha bongo umeanza leo kwani?Lipa wewe kwa pesa yako hujakatazwa.
Ila kama ni fedha za umma tunyo haki ya kuuliza.
Ukizingatia ugumu wa maisha tulionao na utaratibu wa kukopa kwenye mambo ya msingi lakini kwenye bata kama hizi fedha zipo za kutumbua.
Kwani alikuwa na ulazima wa kwenda huko?Ninyi exposure yenu ndogo hadhi ya Rais anapaswa kukaa maeneo yenye security!
Unataka abanane na Roma manzese za Marekani?
Pia in Order to earn you must first inject something!
Hizo ni operating costs ambazo tunasubiri a faida
Shida iko wapi? Kwani $900 ndo inakutisha? Acha roho ya umaskini!Tufanyaje sasa?
Yule aliyekuwa akitembea na mabegi ya hela akigawa minoti, alitulemaza akili, watu wakiamini na wao wanagaiwa hela za mtu binafsi, kumbe ni pesa za Kodi tokea bajeti ya ofisi ya raisi, ambazo alihakikisha CAG hazi audit!Tuache gubu kidogo na tusiwe tunadandia mada tu, sasa budget ya Rais ilipitishwa na nani? sio wabunge ambao ndio wawikilishi au mnadhani bunge la budget kazi yake ni nini? pesa imepitishwa kwa ajili ya matumizi ya ofisi ya Rais pale ndio kuuliza sio budget ikishapita unataka maelezo ili iweje? fuatilieni budget mjue misingi yake nini sio kusubiri hotuba ya mwisho kujuwa nini kimezidi nini kimepungua.