Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

Daah inawezekana nmetaka mzigo kipindi bei ipo juu?sure nataka iwe customized. Sema 760,000 parefu sana ndugu yangu. Kama una jamaa unamfahamu ashushe bei na pia kama akifanya bei nzuri mi naweza nikawa hata wakala wake huki Dar.najua wengi wanahitaji.tena umesema vyema kipindi hiki cha uchaguzi watu wanaweza tumiana hata kwenye kampeni.

Subiri uchaguzi uishe, sasa hivi vifaa vya kazi pia vimepanda sana bei.

Uchaguzi ukiisha hata kwa 100,000 utapata. Usipofanya biashara sasa hivi unasubiri miaka mitano mingine.
 
Huyu jamaa amekuwa akinifuatilia muda mrefu sana. Jumamosi kidogo nimchane na risasi pajani.but tukayamaliza. Leo nmekuta anaendelea kunipikia majungu.

Ni muda mrefu nlimwambia majungu si mtaji.lakini naona kawekeza sana kwenye hayo. Jamaa ana roho ya kichawi kabisa.yaani hivi mnacheka naye lakini ukigeuka tu anakusema vibaya sana.baadaye atakupigia simu akikuita bro n.k

Nlishamwambia apite kushoto nipite kulia ila naona haelewi.nmeona tusigawane majengo ya serikali.nirudi kwenye asili yetu.

Rukwa aka Sumbawanga nasikia wanatengeneza RADI. Radi zao hazitegemei msimu wa mvua. Je kuna mtu anafahamu gharama zake? Mi staki ile radi grade 1 ya kuua kabisa.

Hapana. Nataka ya kumchania chania nguo zote mbele za watu na kumgaragaza chini kinyama...kumpa michubuko mwili mzima.je kwa radi hiyo itakuwa tsh ngapi?

Pia nataka nijue kama nikinunua ni lazima niifate kiwandani au wanaweza ituma kwenye magari ya mikoani au posta?

Ushauri wangu pia. Kama wanaweza wangefungua vituo huku kuwe na agents wao ili tuwe tunapata hizo radi kirahisi tu kuwatumia watesi wetu.hii itatuondolea hbr ya kufuatilia kesi na kuwekwa ndani.

WALIOKO SUMBAWANGA/RUKWA MKOA. PLEASE NAOMBA MSAADA WENU.MNIPE BEI NA PIA NAMNA YA KUPATA HIYO BIDHAA.ASANTENI.
Nenda Sumbawanga kijiji cha Chipu . Luna mzee nimemsahau jina radi zake kali sana
 
Huyu jamaa amekuwa akinifuatilia muda mrefu sana. Jumamosi kidogo nimchane na risasi pajani.but tukayamaliza. Leo nmekuta anaendelea kunipikia majungu.

Ni muda mrefu nlimwambia majungu si mtaji.lakini naona kawekeza sana kwenye hayo. Jamaa ana roho ya kichawi kabisa.yaani hivi mnacheka naye lakini ukigeuka tu anakusema vibaya sana.baadaye atakupigia simu akikuita bro n.k

Nlishamwambia apite kushoto nipite kulia ila naona haelewi.nmeona tusigawane majengo ya serikali.nirudi kwenye asili yetu.

Rukwa aka Sumbawanga nasikia wanatengeneza RADI. Radi zao hazitegemei msimu wa mvua. Je kuna mtu anafahamu gharama zake? Mi staki ile radi grade 1 ya kuua kabisa.

Hapana. Nataka ya kumchania chania nguo zote mbele za watu na kumgaragaza chini kinyama...kumpa michubuko mwili mzima.je kwa radi hiyo itakuwa tsh ngapi?

Pia nataka nijue kama nikinunua ni lazima niifate kiwandani au wanaweza ituma kwenye magari ya mikoani au posta?

Ushauri wangu pia. Kama wanaweza wangefungua vituo huku kuwe na agents wao ili tuwe tunapata hizo radi kirahisi tu kuwatumia watesi wetu.hii itatuondolea hbr ya kufuatilia kesi na kuwekwa ndani.

WALIOKO SUMBAWANGA/RUKWA MKOA. PLEASE NAOMBA MSAADA WENU.MNIPE BEI NA PIA NAMNA YA KUPATA HIYO BIDHAA.ASANTENI.
Nenda kijiji cha Chipu , Sumbawanga kuna mzee nimemsahsu jina radi zake ni Kali sana
 
Mi kuna mzee aliniuziaga kipande cha jua nikakizika kwenye shamba la jirani yangu muhaya alikuwa anapenda sana kumega mipaka ya eneo langu, ngoja ntaongea nae nijue kama ana huduma ya radi pia then ntakujulisha
 
Hii bei angalau nasi wa uchumi wa kati tunaweza imudu. Na hii sera nimeipenda.kazi inafanyika kwanza ndo unalipa.so haina utapeli. Unasubiria simu tu kuwa tayari radi imepiga sehemu. Unalipa unaondoka zako home....safi.na je anaweja weka hata branch huku dar?

Kwa upande wa Kigoma,bei ni 45,000/= unalipia baada ya kazi kufanyika.
 
Alikuuzia kwa tsh ngapi?

Mi kuna mzee aliniuziaga kipande cha jua nikakizika kwenye shamba la jirani yangu muhaya alikuwa anapenda sana kumega mipaka ya eneo langu, ngoja ntaongea nae nijue kama ana huduma ya radi pia then ntakujulisha
 
Hii bei angalau nasi wa uchumi wa kati tunaweza imudu. Na hii sera nimeipenda.kazi inafanyika kwanza ndo unalipa.so haina utapeli. Unasubiria simu tu kuwa tayari radi imepiga sehemu. Unalipa unaondoka zako home....safi.na je anaweja weka hata branch huku dar?
Mganga anafatwa.
 
Hawa jamaa waliokuwa wananambia tsh 70,000 ni madalali? Daaahh.... Jamaa walitaka kunipiga hapa hapa. Nashukuru sana mkuu. Kumbe kwa 30,000 tu napata? Na je nikitaka nyingi hamna punguzo? Kuna baadhi ya wanasiasa nao wanastahili wapate.

bei ya radi ni elfu kumi na tano kama inapiga pale pale sumbawanga ila kama ya mbali elfu 30 nakumbuka niliwahi soma hii habari kwenye gazeti la mwananchi
 
Hakuna radi huku, ni stori za kusogezea muda tu, na pengine wanaokuambia hivyo wana nia ya kukutapeli. Kimbilio pekee ni MUNGU, achana na ushirikina, utaabika duniani na mbinguni
Mungu na hizo radi zote ni imani,Itafanya kazi kadri mhusika anavyoamini.binafsi yangu nilishuhudia huko njombe vijijini sehemu panaitwa kidegembye mwaka Jana kuna jamaa alitumiwa hiyo radi akiwa saloon na kulikuwa Hanma mvua na ilikufa peke take.
Mkuu haya mambo yapo haijalishi unayaamini au huyaamini.
 
FB_IMG_1595700532134.jpg
 
Back
Top Bottom