Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

Huyu jamaa amekuwa akinifuatilia muda mrefu sana. Jumamosi kidogo nimchane na risasi pajani.but tukayamaliza. Leo nmekuta anaendelea kunipikia majungu.

Ni muda mrefu nlimwambia majungu si mtaji.lakini naona kawekeza sana kwenye hayo. Jamaa ana roho ya kichawi kabisa.yaani hivi mnacheka naye lakini ukigeuka tu anakusema vibaya sana.baadaye atakupigia simu akikuita bro n.k

Nlishamwambia apite kushoto nipite kulia ila naona haelewi.nmeona tusigawane majengo ya serikali.nirudi kwenye asili yetu.

Rukwa aka Sumbawanga nasikia wanatengeneza RADI. Radi zao hazitegemei msimu wa mvua. Je kuna mtu anafahamu gharama zake? Mi staki ile radi grade 1 ya kuua kabisa.

Hapana. Nataka ya kumchania chania nguo zote mbele za watu na kumgaragaza chini kinyama...kumpa michubuko mwili mzima.je kwa radi hiyo itakuwa Tsh. ngapi?

Pia nataka nijue kama nikinunua ni lazima niifate kiwandani au wanaweza ituma kwenye magari ya mikoani au posta?

Ushauri wangu pia. Kama wanaweza wangefungua vituo huku kuwe na agents wao ili tuwe tunapata hizo radi kirahisi tu kuwatumia watesi wetu.hii itatuondolea hbr ya kufuatilia kesi na kuwekwa ndani.

WALIOKO SUMBAWANGA/RUKWA MKOA. PLEASE NAOMBA MSAADA WENU.MNIPE BEI NA PIA NAMNA YA KUPATA HIYO BIDHAA.ASANTENI.
Nakutumia namba PM tuwasiliane
 
Huyu jamaa amekuwa akinifuatilia muda mrefu sana. Jumamosi kidogo nimchane na risasi pajani.but tukayamaliza. Leo nmekuta anaendelea kunipikia majungu.

Ni muda mrefu nlimwambia majungu si mtaji.lakini naona kawekeza sana kwenye hayo. Jamaa ana roho ya kichawi kabisa.yaani hivi mnacheka naye lakini ukigeuka tu anakusema vibaya sana.baadaye atakupigia simu akikuita bro n.k

Nlishamwambia apite kushoto nipite kulia ila naona haelewi.nmeona tusigawane majengo ya serikali.nirudi kwenye asili yetu.

Rukwa aka Sumbawanga nasikia wanatengeneza RADI. Radi zao hazitegemei msimu wa mvua. Je kuna mtu anafahamu gharama zake? Mi staki ile radi grade 1 ya kuua kabisa.

Hapana. Nataka ya kumchania chania nguo zote mbele za watu na kumgaragaza chini kinyama...kumpa michubuko mwili mzima.je kwa radi hiyo itakuwa Tsh. ngapi?

Pia nataka nijue kama nikinunua ni lazima niifate kiwandani au wanaweza ituma kwenye magari ya mikoani au posta?

Ushauri wangu pia. Kama wanaweza wangefungua vituo huku kuwe na agents wao ili tuwe tunapata hizo radi kirahisi tu kuwatumia watesi wetu.hii itatuondolea hbr ya kufuatilia kesi na kuwekwa ndani.

WALIOKO SUMBAWANGA/RUKWA MKOA. PLEASE NAOMBA MSAADA WENU.MNIPE BEI NA PIA NAMNA YA KUPATA HIYO BIDHAA.ASANTENI.
mia 2 tu mzee tunapima, yaan ni shoti ya bapa
 
Nakutumia namba PM tuwasiliane
Nami nitumie please.
Kuna Jamaa anatanua na hela zangu kama za kwake vile, kila napompeleka anahonga. Nataka impige Radi mchana wa Jua kali
 
Hawa jamaa waliokuwa wananambia tsh 70,000 ni madalali? Daaahh.... Jamaa walitaka kunipiga hapa hapa. Nashukuru sana mkuu. Kumbe kwa 30,000 tu napata? Na je nikitaka nyingi hamna punguzo? Kuna baadhi ya wanasiasa nao wanastahili wapate.
nyingi pesa yako tu we ingia sumbawanga hapo mzigo upo wa kutosha
 
Sumbawanga acha tu kuna hadithi hadi leo sijaiamini kabisa.

* Mwewe alinyanyua ng'ombe mkubwa tena mzima akapaa naye juu akaanza kumtafuna chini ikawa inadondoka mifipa tu#
 
Yoko mtu huko Mbali sana ila yule dingi atumi radi anatumiwa nyoka anamgonga mara 3 afi ilia asipokatwa mguu anakua chiba
 
Usitapeliwe,ukipata ya ghali sana ni 10,000,hata ya jero unapata integemea tu na wewe unataka kumpigaje mtu wako na mtu wako pia kajipangaje maana unaweza tuma hata ya mamilioni na ukayeyukia angani.
 
Modz inabidi waliangalie hili swala ikiwezekana watufungulie Jukwaa letu ambao tunataka kujifunza haya mambo aaaaaah emu pendekezeni jina la jukwaa
 
Radi ya Nini? We mtaje Mbowe au Tundu Lissu. Hawa wanaogopewa mpaka na mawaziri itakua huyo kibaka?
 
bei ya radi ni elfu kumi na tano kama inapiga pale pale sumbawanga ila kama ya mbali elfu 30 nakumbuka niliwahi soma hii habari kwenye gazeti la mwananchi
Kumbe Kuna hadi long range
 
Back
Top Bottom