Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

Hakuna radi huku, ni stori za kusogezea muda tu, na pengine wanaokuambia hivyo wana nia ya kukutapeli. Kimbilio pekee ni MUNGU, achana na ushirikina, utaabika duniani na mbinguni
Mkuu, kama huna uhakika na kinachoongelewa sio lazima kuchangia mada. Nimekaa mikoa tofauti tofauti yenye mambo hayo. Radi za kishirikina zipo. Kama unaamini Mungu yupo, amini na kwamba ushirikina UPO. Kuna watu wanazuia mvua kunyesha mahali fulani, na hainyeshi. Uliza watu wa Kakonko ama Kibondo mkoani Kigoma. Hayan ni mambo ya kawaida sana kwao. Kwenye maeneo wanapofyatulia matofali, huwa wanazuia mvua isinyeshe iwapo matanuri hayajaiva ama iwapo matofali hayajakauka vizuri. Kama hujafanya utafiti USIBISHE bro.
 
Ulifuata nini Kidegembye mazee? Mie nimefika Matembwe na Image 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Mimi nauza mamba, atamtokea kwenye beseni la maji akiwa bafuni anaoga, au atatoka ndani ya bilauri anayonywea maji..mamba atampa adhabu ndogo tu ataondoka na mkono wake mmoja. Kama uko tayari karibu hapa hapa kibarazani tuyajenge.
Member from ukerewe utajua tu sifa zao
 
Hata mimi nadhani hukusoma vizuri post yangu ukaielewa. Nimemwambia aachane na ushirikina, sijamwambia hakuna ushirikina. Kama nimesema aachane na ushirikina, obvious ni kwamba najua upo
 
Ukifanikiwa mkuu tupe connection, tuna ukoo wa ibilisi unawatesa sana watanzania, ukoo ukiongozwa na jiwe, bashite, aspirin misiba, shotii ndugyai, na wengineo

Tutajichanga tu na ndugu zangu Salary Slip , Erythrocyte , jmushi1 , PNC , na wanafamilia wengine.
 
Mimi nauza mamba, atamtokea kwenye beseni la maji akiwa bafuni anaoga, au atatoka ndani ya bilauri anayonywea maji..mamba atampa adhabu ndogo tu ataondoka na mkono wake mmoja. Kama uko tayari karibu hapa hapa kibarazani tuyajenge.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sumbawanga wako vizuri, mwewe alishawah mbeba ng'ombe huko. Sema hawapendi show off tu kama naniliu...
 
Imeandikwa mpende jirani yako kama nafsi yako.
Msamehe binadamu mwenzio hata 7 mara sabini 70.
Mwenzio akikupiga kofi mgeuzie na upande wa pili.
Akikunyang'anya kanzu yako mpe na ya pili pia.
 
Huyu jamaa si jirani yangu.so sina sababu ya kumpenda.
But pia nafsi yangu siipendi so namfanyia inavyofaa

Kwa jinsi ambavyo nmemsamehe imeshazidi mara 490

Yeye hajanipiga kofi kanipiga mtama.hapo sijui neno linasemaje.

Kanzu sina so sina cha kumpa zaidi ya RADI TU.



Imeandikwa mpende jirani yako kama nafsi yako.
Msamehe binadamu mwenzio hata 7 mara sabini 70.
Mwenzio akikupiga kofi mgeuzie na upande wa pili.
Akikunyang'anya kanzu yako mpe na ya pili pia.
 
Muombe Mungu akusamehe. Waoga na wasiojiamini ndo wenye mawazo kama ya kwako
 
Wewe jamaa!
Mi kuna mzee aliniuziaga kipande cha jua nikakizika kwenye shamba la jirani yangu muhaya alikuwa anapenda sana kumega mipaka ya eneo langu, ngoja ntaongea nae nijue kama ana huduma ya radi pia then ntakujulisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…