Gharama ya kununua Radi huko Rukwa ni Tsh ngapi? Je, naweza fanyiwa Delivery?

Hii wanauza wapi ninunue moja kwa ajili ya lissu maana kazidi kuwashwa huko nyuma. Wamam naniliu huko ubelgiji kaja siku ya kwanza tu maandamano
 
Tupo ileje ..Tunahamisha mimba kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanamke Aliyeikataa..
Tunafanya delivari mikoani....
Wahi sasa
 
Hii shughuli hainaga branch na inabidi uonane na mtoa hudma LIVE ili akupime Kama utastahimili na una ubumilivu na huna huruma. Pesa unalipa baada ya kazi. Angalizo... Kama utakua huna hiyo pesa utakua kitoweo Cha kiboko ziwa rukwa
 
Tupo ileje ..Tunahamisha mimba kutoka kwa mwanamke kwenda kwa mwanamke Aliyeikataa..
Tunafanya delivari mikoani....
Wahi sasa
Kwa mwanamke aliye ikataa. Hebu rekebisha usemi wako Kisha tufanye biashara. Kuna mtu kampiga mimba mpwa wangu halafu analeta za kuleta
 
Kwa mwanamke aliye ikataa. Hebu rekebisha usemi wako Kisha tufanye biashara. Kuna mtu kampiga mimba mpwa wangu halafu analeta za kuleta
taipin era mkuu NI kwenda kwa mwanaume Aliyeikataa
 
Hahahah chief unataka ununue radi la kimataifa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…