Gharama ya kutuma fedha kupitia mitandao kwa sasa ni ghali mno na inatukatisha tamaa. Kutuma mathalani Tshs.1m/= kwa anayetuma anakatwa Tshs.16,000 na anayepokea anakatwa Tshs.14,000.
Hivi kweli ni haki?. Kwa Mtanzania wa kawaida kiasi hicho anaweza kununua madebe matatu ya mahindi kwa ajili ya familia au kilo 4 za nyama kwa ajili ya familia. Nina imani watu wengi watahamia Benki na kuanzia sasa mimi binafsi nimeacha kutumia mitandao kwa ajili ya kutuma fedha.
Uamuzi uliofanywa na Serikali ulikuwa uamuzi ambao hauna manufaa kwa wananchi.
Hivi kweli ni haki?. Kwa Mtanzania wa kawaida kiasi hicho anaweza kununua madebe matatu ya mahindi kwa ajili ya familia au kilo 4 za nyama kwa ajili ya familia. Nina imani watu wengi watahamia Benki na kuanzia sasa mimi binafsi nimeacha kutumia mitandao kwa ajili ya kutuma fedha.
Uamuzi uliofanywa na Serikali ulikuwa uamuzi ambao hauna manufaa kwa wananchi.