utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Na ndiyo ilikuwa lengo kuuLabda walipanga wakafanye mazoezi Dubai kwa kujumuika na mchezaji wao tarajiwa Feitoto, Hasara ni kwamba TFF wameshamrudisha Bongo
Kwahyo feisal kwenda azam zilikuwa ni tetesi2, au unyamani wametoa ofa kubwa kuliko azam?Na ndiyo ilikuwa lengo kuu
Simba hawqjakwenda Dubai kuweka kambi, timu inatumiwa na wauza unga kusafirishwa Dawa za kulevya, za Mwizi ni arobaini.Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?
Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Wewe Uto unaifahamu saikolojia ya akili?Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?
Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Pamoja na kumtukana brother Kibu humu JF ,il ndio hivyo kishakwea pipa Dubai anakula upepo.Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?
Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Tatizo lako ni kuwashwa....Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?
Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Ni ajabu sana mchezaji mbovu kumpeleka Kambi nzuri anageuka kuwa boraPamoja na kumtukana brother Kibu humu JF ,il ndio hivyo kishakwea pipa Dubai anakula upepo.
Nilitaka kusema hvSimba hawqjakwenda Dubai kuweka kambi, timu inatumiwa na wauza unga kusafirishwa Dawa za kulevya, za Mwizi ni arobaini.
Wewe unaifahamu?? Kambi ya Egypt ilitoa picha kuwa haikuwa na mafanikio sasa uongozi sijui unawaza nini kurudia makosa yaleyaleWewe Uto unaifahamu saikolojia ya akili?
Yule ni tapeli tu mkuu.. ana ajenda binafsi na hii safari ya Dubai, Nashauri kkosi Cha kupambana na dawa za kulevya kiwe makini sana na hawa SimbaWanasema ni hela binafsi ya gabacholi
Kupanga ni kuchagua. Nyie sajilini kisha wekeni ksmbi avic town, kirafiki chezeni na friends rangersHivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?
Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Tajili gani huyo ponjoro??? Ameshindwa kununua mchezaji yeyote wa maana hapo simbaUmasikini mbaya mnooo. Tajiri hapangiwi. Tafuta pesa zako