Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Hiyo ni tekniki ya kusafirisha ngada Mzee
 
Simba hawqjakwenda Dubai kuweka kambi, timu inatumiwa na wauza unga kusafirishwa Dawa za kulevya, za Mwizi ni arobaini.
Sema nyie mko bize kushoot video za uchi pale avic town na kufuga misukule wakina kambole
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
hii timu ni mbovu,ni muhimu ipewe motisha walau itaji boost.
 
Ile timu sasa iv haina viongozi ina watu ambayo sijui wana malengo gani na simba kuna muda unaweza kuwaza elimu yao na uwezo wao wa kuongoza taasisi ni kiwango gani kuna mambo wanayafanya ata hakina mzee dalali pamoja na kukosa elimu hawawezi kuyafanya ,,timu ina shida ya wachezaji badala ya kuongeza bajet katika usajili ikiwa na pamoja na kuangalia namna gani kuna baadhi ya wachezaji kuwavunjia mikataba wao ili kupisha wengine wao wanatoa pesa kwenda kutalii ,najiulza walikua na sababu gani kumleta kocha mpya uku ligi inaenda mzunguko wa pili , angalia sasa iv wana lundo la makocha ambayo kimsingi kaz yao moja iv gharama ya makocha ambao hawana la ziada si unamlpa mchezaji wa maana ,ni bora ukawa ata na wachezaji 25 ambao unawaona viwango vyao vinasaidia timu kuliko kuwa na lundo la wachezaji ambao wengine inapita ata miezi 2 hawajacheza na siku wakicheza hawana jipya ,simba wana kazi kubwa ya kufanya warudi katika ubora kuanzia uongozi mpaka ndani ya uwanja ,,, kwa sasa mpaka idara ya digatal sasa iv imeanza kuyumba ,mchezaji hakiwa na kiwango duni camp ata iwe wap ni kupga mark time tu , waache kujizungusha wafanye reform ya timu
 
Ile timu sasa iv haina viongozi ina watu ambayo sijui wana malengo gani na simba kuna muda unaweza kuwaza elimu yao na uwezo wao wa kuongoza taasisi ni kiwango gani kuna mambo wanayafanya ata hakina mzee dalali pamoja na kukosa elimu hawawezi kuyafanya ,,timu ina shida ya wachezaji badala ya kuongeza bajet katika usajili ikiwa na pamoja na kuangalia namna gani kuna baadhi ya wachezaji kuwavunjia mikataba wao ili kupisha wengine wao wanatoa pesa kwenda kutalii ,najiulza walikua na sababu gani kumleta kocha mpya uku ligi inaenda mzunguko wa pili , angalia sasa iv wana lundo la makocha ambayo kimsingi kaz yao moja iv gharama ya makocha ambao hawana la ziada si unamlpa mchezaji wa maana ,ni bora ukawa ata na wachezaji 25 ambao unawaona viwango vyao vinasaidia timu kuliko kuwa na lundo la wachezaji ambao wengine inapita ata miezi 2 hawajacheza na siku wakicheza hawana jipya ,simba wana kazi kubwa ya kufanya warudi katika ubora kuanzia uongozi mpaka ndani ya uwanja ,,, kwa sasa mpaka idara ya digatal sasa iv imeanza kuyumba ,mchezaji hakiwa na kiwango duni camp ata iwe wap ni kupga mark time tu , waache kujizungusha wafanye reform ya timu
Mkuu Kwa mawazo haya sio ajabu utaitwa utopolo
 
free agent huyo. Pia hamna timu yoyote duniani inayojivunia kusajili mchezaji miaka 38

Uzuri alikuwa kwenu kabla ya kuja kuwa star simba,mchezaji hajawahi kufunga hat trick huko ila huku siku ya kwanza tu kaweka tatu na assist khaaaah.....[emoji2957]
 
Kuna mengi nyuma ya kambi imekua ghafla sana ntaprove endapo wakisajili mchezaji wa pesa ndefu ntasema safari imezaa matunda tukumbuke kulikua na mapambano ya Ngumi kwa mabondia toka Mekiko na Argentina.

Siku zote wafanyabiashara wakubwa haramu wanawekeza kwenye vitu vinavyopendwa ili likitokea na kutokea wategemea huruma za watu/mashabiki.

Kwa hisani ya Dubai
Umasikini na roho mbaya ni hatari kwa afya. Halafu hii takataka yako inaishia humu humu. Endeleza povu tu! [emoji23]
 
Ile timu sasa iv haina viongozi ina watu ambayo sijui wana malengo gani na simba kuna muda unaweza kuwaza elimu yao na uwezo wao wa kuongoza taasisi ni kiwango gani kuna mambo wanayafanya ata hakina mzee dalali pamoja na kukosa elimu hawawezi kuyafanya ,,timu ina shida ya wachezaji badala ya kuongeza bajet katika usajili ikiwa na pamoja na kuangalia namna gani kuna baadhi ya wachezaji kuwavunjia mikataba wao ili kupisha wengine wao wanatoa pesa kwenda kutalii ,najiulza walikua na sababu gani kumleta kocha mpya uku ligi inaenda mzunguko wa pili , angalia sasa iv wana lundo la makocha ambayo kimsingi kaz yao moja iv gharama ya makocha ambao hawana la ziada si unamlpa mchezaji wa maana ,ni bora ukawa ata na wachezaji 25 ambao unawaona viwango vyao vinasaidia timu kuliko kuwa na lundo la wachezaji ambao wengine inapita ata miezi 2 hawajacheza na siku wakicheza hawana jipya ,simba wana kazi kubwa ya kufanya warudi katika ubora kuanzia uongozi mpaka ndani ya uwanja ,,, kwa sasa mpaka idara ya digatal sasa iv imeanza kuyumba ,mchezaji hakiwa na kiwango duni camp ata iwe wap ni kupga mark time tu , waache kujizungusha wafanye reform ya timu
Trash
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Tuacheee
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
January hii wachezaji wazuri utawapata wapi
 
Tajili gani huyo ponjoro??? Ameshindwa kununua mchezaji yeyote wa maana hapo simba
Wivu unakusumbua.mtu anatumia ela zake wewe unawashwa.Wale wachezaji wote niwamaana.Huyo mchezahi unayemtaka kanunue wewe.
 
Simba hawqjakwenda Dubai kuweka kambi, timu inatumiwa na wauza unga kusafirishwa Dawa za kulevya, za Mwizi ni arobaini.
Ukiambiwa thibitisha utaweza??? Acheni umbea watoto was kiume tafuta fedha.


Kwahiyo mamlaka za Dubai ni dhaifu sana kwenye ufuatiliaji madawa ya kulevya??

Swali langu umewahi safiri hats kwenda Malawi tu????
 
Hivi Simba si aliweka Kambi mwezi mzima Egypt na akacheza mechi za kirafiki na kina Ismailia na zamalek?? Halafu alipokuja mechi ya kwanza tu ya mashindani akapigwa goli 2 na Yanga akabeba kombe??
Watu kama nyie wenye akili mgando ndio wanasababisha Simba inazidi kuzorota siku baada ya siku. Mada kama hii Ulitakiwa kuisapoti na kuuamsha uongozi uliolala kuwekeza zaidi kwenye kusajili wachezaji bora
Mpira una njiabzake simba wanafuata njia matokeo ya ligi zetu kuna mambo mengi...kambi ya egypt ililipa ndomana wameingia CAFCL group stage kwa ushindi wa 100% timu nyingine iliyoku nyumbani tuliona ilivyofeli vibaya....ligi yetu sio kipimo ndomana kuna matokeo yenye utata mechi nyingi za simba na yanga ligi yetu ukijipanga vizuri nje ya uwanja unakua bingwa,kipimo kipo kule kimataifa ndio tunaona timu ilivyonyepesi simba hii ina wastani wakufunga magoli mengi na ni bora kuliko ile yakina miguissone katika mechi 19 wamefunga goli 47 anaefuata ana goli 37 sba hii ni hatari shida kwakua haiongozi ligi tuu, simba kambi ya misri imefanikiwa na simba bado inafuata njia za mpira tukiacha ushabiki inabidi timu ziige simba kufanya vizuri au kutokufanya vizuri kwenye derby sio kigezo cha kukata tamaa,mwaka huu simba akifika nusu au final watu hawatoshangaa kwa jinsi wanavyofuata njia za mpira ila Yanga akifika nusu au final itakua story kubwa maan bado wamejifungia kigamboni kigezo kikiwa kuchukua NBC na kushinda derby
 
Back
Top Bottom