Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

Kupanga ni kuchagua. Nyie sajilini kisha wekeni ksmbi avic town, kirafiki chezeni na friends rangers
Hivi Simba si aliweka Kambi mwezi mzima Egypt na akacheza mechi za kirafiki na kina Ismailia na zamalek?? Halafu alipokuja mechi ya kwanza tu ya mashindani akapigwa goli 2 na Yanga akabeba kombe??
Watu kama nyie wenye akili mgando ndio wanasababisha Simba inazidi kuzorota siku baada ya siku. Mada kama hii Ulitakiwa kuisapoti na kuuamsha uongozi uliolala kuwekeza zaidi kwenye kusajili wachezaji bora
 
Hivi Simba si aliweka Kambi mwezi mzima Egypt na akacheza mechi za kirafiki na kina Ismailia na zamalek?? Halafu alipokuja mechi ya kwanza tu ya mashindani akapigwa goli 2 na Yanga akabeba kombe??
Watu kama nyie wenye akili mgando ndio wanasababisha Simba inazidi kuzorota siku baada ya siku. Mada kama hii Ulitakiwa kuisapoti na kuuamsha uongozi uliolala kuwekeza zaidi kwenye kusajili wachezaji bora
Kwa akili yako ndogo unaona Simba wakiweka kambi misri wakacheza mechi za kirafiki na timu za nje ili waje kubeba ngao ya jamii.
Tumia akili hata hiyo kidogo basi ndugu yangu. Wangekuwa wametarget ligi kuu peke yake basi wangecheza na timu za hapa nyumbani tu.
Pre season camp ya Simba ililenga kuwaandaa wachezaji kimataifa na hilo limeonekana wazi baada ya timu kufuzu kuongia Makundi ya Klabu bingwa.
Huyo aliyeweka kambi Dar na akabeba ngao mwisho wa siku alifurushwa Klabu bingwa na hata huko alikoangukia bado ana mashaka kama ataweza kutoboa.
 
Kwa akili yako ndogo unaona Simba wakiweka kambi misri wakacheza mechi za kirafiki na timu za nje ili waje kubeba ngao ya jamii.
Tumia akili hata hiyo kidogo basi ndugu yangu. Wangekuwa wametarget ligi kuu peke yake basi wangecheza na timu za hapa nyumbani tu.
Pre season camp ya Simba ililenga kuwaandaa wachezaji kimataifa na hilo limeonekana wazi baada ya timu kufuzu kuongia Makundi ya Klabu bingwa.
Huyo aliyeweka kambi Dar na akabeba ngao mwisho wa siku alifurushwa Klabu bingwa na hata huko alikoangukia bado ana mashaka kama ataweza kutoboa.
Kwaio tumekubaliana kuwa Kwa Sasa Simba A.C haiitaji Tena makombe ya nchi hii ya Tanzania kuanzia ngao ya jamii, ligi ya Nbc ,Azam federation cup, mapinduzi cup??
 
Hivi Simba si aliweka Kambi mwezi mzima Egypt na akacheza mechi za kirafiki na kina Ismailia na zamalek?? Halafu alipokuja mechi ya kwanza tu ya mashindani akapigwa goli 2 na Yanga akabeba kombe??
Watu kama nyie wenye akili mgando ndio wanasababisha Simba inazidi kuzorota siku baada ya siku. Mada kama hii Ulitakiwa kuisapoti na kuuamsha uongozi uliolala kuwekeza zaidi kwenye kusajili wachezaji bora
Hebu tuambie Simba imezorota kwenye lipi?
1. Inashiriki hatua ya makundi klabu bingwa
2. Iko nafasi ya pili kwenye ligi na ina uwezekano wa kubeba kombe.
3. Ndio timu iliyofunga magoli mengi kuliko timu yoyote Tanzania
4. Ndio timu yenye uwiano mzuri wa wafungaji wa magoli kwa wachezaji tofauti na siyo mchezaji mmoja ana magoli 14 anayefuatia ana magoli 6.
5. Imepanda toka nafasi ya 12 hadi ya 10 kwa timu bora Africa.
6. Ndio timu yenye udhamini mkubwa kuliko timu zote Tanzania.
Hebu tuambie imezorota kivipi ukianzia na suala la basi.
 
Kwaio tumekubaliana kuwa Kwa Sasa Simba A.C haiitaji Tena makombe ya nchi hii ya Tanzania kuanzia ngao ya jamii, ligi ya Nbc ,Azam federation cup, mapinduzi cup??
Unaendelea kudhihirisha ni kwann Manara alisema wenye akili ni wawili tu. Sasa timu itashiriki vipi mashindano ya kimataifa kama haiwezi kubeba makombe kwenye ligi za nyumbani?
 
Unaendelea kudhihirisha ni kwann Manara alisema wenye akili ni wawili tu. Sasa timu itashiriki vipi mashindano ya kimataifa kama haiwezi kubeba makombe kwenye ligi za nyumbani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe ni kilaza sana na nadhani usiwe unani quote maana kichwani uko empty sana.
Hujui unasimamia nini na Kila mara Unajicontradict mwenyewe, Umesema Simba haikuweka Kambi misri ili ije ishindane na Yanga makombe ya ndani ikiwemo iyo ngao ya jamii, ililenga kimataifa zaidi, saiv tena unasema ili ishiriki kimataifa inaitaji makombe ya ndani...

Nimefunga mjadala na wewe, na ukini quote Tena ntaamini maneno ya ndugu Aden Rage kuwa wanasimba wote ni mbumbumbu ukiwemo na ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe ni kilaza sana na nadhani usiwe unani quote maana kichwani uko empty sana.
Hujui unasimamia nini na Kila mara Unajicontradict mwenyewe, Umesema Simba haikuweka Kambi misri ili ije ishindane na Yanga makombe ya ndani ikiwemo iyo ngao ya jamii, ililenga kimataifa zaidi, saiv tena unasema ili ishiriki kimataifa inaitaji makombe ya ndani...

Nimefunga mjadala na wewe, na ukini quote Tena ntaamini maneno ya ndugu Aden Rage kuwa wanasimba wote ni mbumbumbu ukiwemo na ww[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karia alisema mna kinyesi na kweli umeprove hilo.
Usinitishe kuwa nisiku-quote na unaweza ukaniita majina yote unayotaka kuniita.
Kwa usivyo na akili timu inaweza kushiriki mashindano ya kimataifa bila kushiriki ligi za ndani?
Akili sio kitu cha kukosa
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!

hao wachezaji wazuri inatakiwa pesa ya kuwasajili na kuwalipa mishara yao na kuvunja mikaba yao huko wanakotoka

sasa kwenda dubai ni ela ya mara moja tu, inaweza kuwa milion 200 tu au tatu ela ambayo uwez kumpata mchezaji mzuri sokoni
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Sisi walalahoi tuko vizuri sana linakuja suala la kupangia bajeti pesa za wengine.
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
madunduka fc wameona manara anafaidi ndo wamemjibu
 
Umaskini wenu usitupe shida . Endeleeni na kambi yenu huko kimbiji , ya simba mwachie simba mwenyewe.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Kambi yenyewe ya siku ngapi iyo wazee, unaondoka trh 7 na unatakiwa trh 16 uwe Tanzania kwa mechi ya trh 17, Kwa maana iyo ni kambi ya siku 8 ukitoa siku za safari, Inawezekana wameenda picnic tu but sio kambi ya kusema ipo kiufundi
 
Hivi kuweka kambi Bora huku ukiwa na wachezaji magarasa inaweza kusaidia kuboresha performance ya timu kweli?
Unashindwa kusajili wachezaji wazuri, unakimbilia kusajili kocha mzuri na kuweka kambi nzuri halafu unategemea ufanye vizuri?

Kuweka Kambi mahala pazuri au kuwa na kocha mzuri huku ukiwa na wachezaji wabovu ni ukosefu wa akili. Viongozi wa Simba ni mbumbumbu sana!
Hawa hawahaenda kuweka kambi Bali wamebeba biashara km kina kocha wa makipa
 
Hawa hawahaenda kuweka kambi Bali wamebeba biashara km kina kocha wa makipa
Hiyo biashara anaifanya GSM sasa wewe endelea kulopokwa afurushwe kama Manji mrudi kutembeza bakuli.
 
Kuna mengi nyuma ya kambi imekua ghafla sana ntaprove endapo wakisajili mchezaji wa pesa ndefu ntasema safari imezaa matunda tukumbuke kulikua na mapambano ya Ngumi kwa mabondia toka Mekiko na Argentina.

Siku zote wafanyabiashara wakubwa haramu wanawekeza kwenye vitu vinavyopendwa ili likitokea na kutokea wategemea huruma za watu/mashabiki.

Kwa hisani ya Dubai
 
Kambi yenyewe ya siku ngapi iyo wazee, unaondoka trh 7 na unatakiwa trh 16 uwe Tanzania kwa mechi ya trh 17, Kwa maana iyo ni kambi ya siku 8 ukitoa siku za safari, Inawezekana wameenda picnic tu but sio kambi ya kusema ipo kiufundi
Itakuwa sio picnic. Kuna mzigo wa aliekuwa kocha wao wa magolikipa wanahisi unaweza ku expire wameona bora wauwahishe.
 
Back
Top Bottom