Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
nitawai kufa, bora daladala. nitafika tu.Nunua boda mpya mafuta buku tatu unaenda na kurudi afu no foleni kuwa makini road
Daladala zitamla kichwa fastaNunua boda mpya mafuta buku tatu unaenda na kurudi afu no foleni kuwa makini road
Umakini wako tu mkuu usizoee road.nitawai kufa, bora daladala. nitafika tu.
kazi za 40k zipo ngapi hapa town?? cost ya gari unasomesha mtoto the most prestigious school bongo. na chenji ina bakiLazima uwe fisadi au udai rushwa ili ufike home.
Dar anaekaa kilometa 10 anaishi mjini wengi ni zaidi kilometa hizo,bila mafuta ya elf 40 awajafika kazini.
umakini ni both sides. boda ni kimeo sana.Umakini wako tu mkuu usizoee Road
gari ipo.ila kwa cost ya mafuta hii. ni pointless kulitumia.We nunua tu gari mafuta utapata stand,siku hizi unakuta mtu anatoka home anasanya buku 2 mbili na akirudi home usanya pia hii umsaidia mafuta
bado it's too expensive kwa distance yako. piga per month. utashangaa una Acha mshahara mtu kisa 2kMmi full tank yangu ina jaa kwa 110000.... inaweza kaa siku 12 mpaka 15.... average kwa wiki natumia mafuta ya 50k sikai mbali sana kazi zangu kariakoo naishi ubungo
Hata uwe makini. Kuna siku mchana pale Tazara trafik light nimesimama na pikipiki ikaja daladala nyuma haina breck, kelele za watu ndio zikaniokoa nikaluka nikaacha honda ikanyagwe. Sasa kama ingekuwa usiku? Hapa nilikuwa makini mimi ila umakini wa vyombo vingine ni tatizo..Umakini wako tu mkuu usizoee road.
Kwahyo jamaa walikulipaHata uwe makini. Kuna siku mchana pale Tazara trafik light nimesimama na pikipiki ikaja daladala nyuma haina breck, kelele za watu ndio zikaniokoa nikaluka nikaacha honda ikanyagwe. Sasa kama ingekuwa usiku? Hapa nilikuwa makini mimi ila umakini wa vyombo vingine ni tatizo..
Kilichotokea daladala ile inayotoka Gongo lamboto ikapanda pikipiki na kugonga gari ingine kwa nyuma. Dereva wa ile daladala kitendo cha kuipanda pikipiki akajua kamkanyaga na mtu, akachanganyikiwa kafungua mlango wake kashuka nje anakimbia. Sasa pale Tazara kama unaingia Buguruni kuna ubize flan. Watu wakaanza kumgombania kama mwizi. Kwa kuwa sikuumia popote nikasema nikamuokoe. Nikaanza kwenda muelekeo ule, nikiwa nakaribia machale yakanicheza nikageuka nyuma kuangalia pikipiki yangu. Daa... kuna masela nikawaona wanaanza kuitamani japo imekanyagwa. Mmoja kashika site mirror akaanza kufungua. Ikabidi nigeuze niende kulinda masalia ya chombo changu. Baada ya hali kutulia dereva anasema twwnde trafik mjini vikapimwe malipo bosi wake anadai bima ndio italipa. Zoezi jingine jipya likaanza.
Kwa ujumla pikipiki sio chombo cha kuingia nacho main load. Ni usafiri unaotakiwa uwe mbadala wa baiskeli huko mashambani na vichochoroni.
Niliachana nao mana taili la mbele na sterling vilipinda na shockup yake, sasa nibebe pikipiki mpaka central, na kuanza kufuatilia. Jamaa wa gari aliegongwa nyuma walipelekana. Mie nilienda kunyosha niendelee na mishe zangu mana hasara ingekuwa kwangu kukatisha ratibaKwahyo jamaa walikulipa
Tatizo la Mtu mweusi anazani akiwa anamiliki gari lazima kila siku liwe barabarani hata Kama hiyo sehemu anayokwenda miundombinu ya public transport iko vizuri sana! Mfano mtu unakaa Morocco alafu unataka kwenda Kariakoo kubadili card yako ya Bank unakula Mwendokasi kasi faster uko town! Sema kuna wengine ndiyo atakomaa na foleni kisa Yuko kwa gari yake!!Kwani ukienda na gari lako kazini mara 2 na mara nyingine ukaenda kwa mwendo kasi maisha yatasimama....?