Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Naona umenunua red oil ya west africa. Red oil noma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila nyma Wal kuku duh ila pesa ziko kule mzungu mmoja allinipa Dola 200 alinimbia kbsa hz pesa kwako hata kwa siku haitoshi. Kula wee na mtotMarekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Babu usifikirie Kam mtu ambaye ajaenda shule kbsa uchumi wa marakeni Ni mkubwa kwamba sis kuufikia Ni miaka 400 net ndio tufike angalau 40 % ya uchumi wakeNdio hapo mimi huwa nashindwa kuelewa ni wapi wenye uchumi mzuri kati yetu na wao..ikiwa kwa hapa Bongo bidhaa zote hizo sio zaidi ya elfu 50 -80.
Kajipime akiliNdio hapo mimi huwa nashindwa kuelewa ni wapi wenye uchumi mzuri kati yetu na wao..ikiwa kwa hapa Bongo bidhaa zote hizo sio zaidi ya elfu 50 -80.
Uzuri wake kuipata hiyo dola 118 ni kazi ya saa 1 mpaka 2 mshahara huu hapa
Watakwambia Marekani Wana vipato vikubwa 😆😆Marekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Nikajua huko hakuna mfumuko wa bei maana huwa mnatoa mapovu Sana hapa TznKuna mfumuko wa bei
Marekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Na mishahara yao ipoje?Marekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Ni kama laki moja na sitini na nane kwa sikuMarekani kwa Siku unauwezo wa kuingiza $72 kwa mtu wa kawaida kabisa, ukiwa mfanyaji kazi.
Super loaf [emoji506] dollar [emoji385] Moja MkuuUkifananisha na ukukwetu utateseka kuna mzungu aliniambia Norway vitu bei chini sana mkate Euro 3 mimi nikamshangaa ukiigeuza hiyo Euro 3 kwa shilingi ni zaidi ya elfu 6 nikabaki kuduwaa maana Bongo mkate ni nusu dollar
Hakuna ulinganifu wa thamani, yaani Tsh vs Dollar labda kwenye kubadilisha tu kwenye maduka ya bereau de change.Aiseeeeeee laki 2 kwa vutu hivyo! mbona sio mchezo ,hapo hamna hata nyama!!!!duh kasheshe!
Exchange rate gani unatumia ..yani euro tatu ni elf 6😁 mkate nusu dola,,😁 inamaana dola ni elf mbili sasaUkifananisha na ukukwetu utateseka kuna mzungu aliniambia Norway vitu bei chini sana mkate Euro 3 mimi nikamshangaa ukiigeuza hiyo Euro 3 kwa shilingi ni zaidi ya elfu 6 nikabaki kuduwaa maana Bongo mkate ni nusu dollar
Bahati kubwa sana kuzaliwa bongo.
Noma sana.Ni kama laki moja na sitini na nane kwa siku
Kibongo bongo ww milionea
Hapa Bongo kwa bidhaa hizo ukitoa Tshs 40,000 na chenji inarudi.Marekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Kwa wajinga wasiofuatilia Mambo,petrol ulaya na marekani juu kuliko tzNikajua huko hakuna mfumuko wa bei maana huwa mnatoa mapovu Sana hapa Tzn