Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kampuni gani inalipa rate hizo? wakati mostly rate zipo kwenye dola 20 kwa saa.......punguza kamba.Uzuri wake kuipata hiyo dola 118 ni kazi ya saa 1 mpaka 2 mshahara huu hapa
Huku kwetu sasa...unaitwa taitaHuko marekani ukiwa na kipato cha chini ya USD 40,000 kwa mwaka unawekwa kwenye daraja la maskini...au watu wenye kazi mbovu mbovu...😁😁😁
😂😂😂Bahati kubwa sana kuzaliwa bongo.
Mkate wa nusu dola unapatikana wapi sasa hivi mkuu?Ukifananisha na ukukwetu utateseka kuna mzungu aliniambia Norway vitu bei chini sana mkate Euro 3 mimi nikamshangaa ukiigeuza hiyo Euro 3 kwa shilingi ni zaidi ya elfu 6 nikabaki kuduwaa maana Bongo mkate ni nusu dollar
Mbona kawaida sana.Marekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Ivi bodaboda ni dereva pikipiki au ni pikipiki yenyewe?Hivi america hawana bodaboda?
Naingia zangu sterio temeke sh.15k na chenchi inabaki.......Marekani sio mchezo. Hivi vyote bajeti yake ni US Dollar 118 ambayo ni sawa na Tshs 275,000 hivi.
View attachment 2261962
Bodabkda ni pikipiki kwaa jali ya kugeggedua form four B🤣🤣🤣🤣Ivi bodaboda ni dereva pikipiki au ni pikipiki yenyewe?
zipo kibao tu,Kuna nyingine Zina pita mpaka pale karib na Washington pale.Hivi america hawana bodaboda?
Hio ni hela ambayo mtu anaelipwa kiasi kidg sana cha pesa na anafanya kazi zaidi ya masaa 8 .ko ni kiasi cha kawaida tu.maana mfano mm nipo usa texas nimsaidi wa gari la taka kwa saa nalipwa dolla 20 nafanya kaz masaa 8 hadi 9 kwa siku nalipwa kama dolali 180 ambazo ni sawasawa na 414,000 kweli ntashindwa kununua hayo mazaga ambayo ntayatumia zaidi ya week maan mm sina familia.bajeti