The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Mpwa posa tena? Sie tulikutana na mshua...mshua akaniuliza umempenda binti yangu kwa dhati...nikamwambia ndio mzee....akasema haya kaishi salama na binti yangu sitaki umtie makovu......wazazi wakatupa baraka sie haoo...Kwani kwao tayari posa umemwaga?