Wale makahaba wale bwana!mwanamke anaejielewa haezi kata mauno live pale!wale wako sokoni kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan had aibu kwa kweli.
Divaglam kamharibia mwenzie jamani make up za mtu mweupe Kampaka mtu mweusi![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make up ya bibi harus imechunda, pesa hakna au mpambaji ana kisirani nae, yaan bora Mrs prof J kawaka,
Yaan full vituko, kuja, mavazi mie hoi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ye pia kalipiwa baada kuimba microfone check one two one mic check.Na utakuta Hana kazi yoyote mjini daslamu
Ingawa wengi wanamuona chawa wa Fredy na Nasibu but yake yanamuendea...Sana ni mtu wa watu na anajichanganya sana alafu huwezi mchukia maana anavituko sana[emoji38]
Sherehe yake ilikua live Wasafi TV jana...Sana ni mtu wa watu na anajichanganya sana alafu huwezi mchukia maana anavituko sana[emoji38]
Foreigner anajifanya mzawaHuyo forena tu sema kwa kuwa kashakuwa maarufu watu hawamzingatii ni kama dokii tu
Eeh foreinger tuForeigner anajifanya mzawa
Ova
Nyuchi ni zile zile mkuu kama zetu, hamnaga za gold wala tanzanite 😂Wanaenda kut. Ombana kama sisi au tofauti?[emoji23][emoji23][emoji23]
Na wataachana tu[emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upo mkuu? Comment yako imenifurahishaNyuchi ni zile zile mkuu kama zetu, hamnaga za gold wala tanzanite [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyuchi ni zile zile mkuu kama zetu, hamnaga za gold wala tanzanite [emoji23]
Wajinga tu hao. Kukuza mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] make up ya bibi harus imechunda, pesa hakna au mpambaji ana kisirani nae, yaan bora Mrs prof J kawaka,
Yaan full vituko, kuja, mavazi mie hoi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wtf? Ni divaglam?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Divaglam kamharibia mwenzie jamani make up za mtu mweupe Kampaka mtu mweusi!
Kaahh!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Gara b harusi ya machawa hata hajaenjoy kuhost maana kila mtu anaongea kama kafungwa motaNgoja nikimbie kwa gara kubwa..nikaona yaliyoendelea
Mbona unanicheka Lyse?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu weusi so tricky kuwapodoa sasa ukikuta na sherehe yenye mihemko kama hii basi MUA naye anavurugwa. Angalia harusi nyingi za mihemko bi. Harusi make up huwa haziwakai.Divaglam kamharibia mwenzie jamani make up za mtu mweupe Kampaka mtu mweusi!
Kaahh!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nafurahi kama umefurahi mkuu wangu, nipoo😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upo mkuu? Comment yako imenifurahisha
Nadhani wadada uwa wanapenda..Wengine wanaenda pale kwa sababu hiyo..Saluni yake unanunua Wigi unakatishwa maunooo!!wadada jamani mtihani sana!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo namkumbka mwanangu A.kileoEeh foreinger tu