Gharama za kujiburudisha kimapenzi zapaa

Tuna solve vipi hili swala au tuchukue Sheria mkonon?😁
 
Izo ni gharama za simps wanaofikiri kudate na mwanamke ni kufanyiwa favor.
 
Mnatuchafulia uwanja wetu wa Mazoezi Makulu hapa kwa zinaa zenu msitupe vitendea kazi vyenu hovyo.
 
Braza umesahau AZUMA na Paracetamol
 
Kumbe mkuu unakula pisi zetu za udom na ist yako,kisa unawapa ten na ac ya Bure,ndo maana kila nikimpigia huyu mdada anasema Leo kashinda chuo,kumbe anagawa tunda kwa wana
 
150,000/= mifuko mingapi ya saruji?
Mama yako ukimpa hata 20,000/= bila ya kutolea anafurahi na kukubariki.
 
Bei juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…