KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Duh
 
Watu wajifunze kulipia gharama za afya, hasa kwa vitu vya kawaida kama kujifungua. Mkuu ulitaka mkeo alazwe mlagonzira na ajifungue bure?
 
Nitaifatilia hiyo Jubilee
Hiyo bima ukilazwa kila asubuhi unaletewa maua na mratibu wa hiyo bima kwa hospital husika.

Nililazwa ward ya peke yangu, kuna sofa TV imeungwa na DSTV package ya juu zaidi, friji wanakuletea fresh juice na maziwa, breakfast kila asubuhi na button ya kengele ya kumuita nesi muda wowote.

Washroom classic hata hiyo breakfast unaweza kula humo. Upande wenu wa hizo ward mtu haingii kama hana id kuonyesha anaenda kwa nani.

Changamoto ni kwamba hospital wanataka wakae na wewe muda mrefu ila mratibu wa bima hataki ukae sana 😅 kwa siku nne za kua pale kwa kuumwa malaria ikaonekana nimetumia zaidi ya 3M.

Kuna bima ukizionyesha tu hospital cha kwanza ni kulazwa hata kama 😅 umejikata
 
Hahaha yani Malaria wanataka wakulaze🤣
 
Mkuu, ulikuwa unajipinda tu kwa shemeji huku mnashangilia, ulitakiwa kujiandaa mapema, yaani unaona mavifaa ya kisasa yamejaaa humo yanang'weka mataa, unaware unachekelea tu
Chiembe Hkauna aliyetaka Bure shida ni gharama Kubwa. Wewe ni Mtanznaia unaelewa uhalisia wa amisha yetu Mtu unaandaa 500k Kwaa ajili ya Kujifungulia unaletewa Bil ya 1m+ Plus na munawaaminisha watu hizo Huduma ni Bure kabisa.

Hoja Kubwa gharama zipunguzwe kuzaa sio anasa.

Matozo na Kodi kibao lakini Huduma za afya bado zipo juu.
 
Umeandika ujinga, uliposema wizara ya afya itazame, watazame nini unadhani hawajui hawa kenge, adui wa mtanzania wa kwanza ni viongozi wetu..
Wanaishi kwenye ule usemi mwenye shibe hamjui mwenye njaa.. Wao wanapata huduma zote bure, maji bure, umeme bure, makazi bure, afya bure tena daraja la juu kabisa, usafiri na mafuta bure Na bado wanapiga dili za kuiumiza nchi.
Sasa mtu kama huyo ataumia akisikia mafuta lita 2900 ama hata ikiwa 4000, atalalamika gharama za umeme, ama ukosefu wa maji. Atahisi huduma za afya ni mbovu na ghali?
 
Kam alisomea ualimu alipaswa kujal zaid kwakuw aliwah kuishi maish magumu
Sio ishu ya kujali tu. Ungekua kwenye sekta ya afya ungenielewa.

Ukiingia mikoani ndanindani maisha ya watu n magumu na hali ya chini ambao hata hawawezi ku afford bima ya afya.
Akija hospitali hanakuwa hana pesa cash bali snasema ana mazao ambayo akiuza ndo ataleta pesa na hspo huwezi kumtibu mtu ukampa dawa pamoja na vipimo bure
Sasa yeye kasomea ualimu ana experience na sekta ya afya na yanayotendeka on the ground. Kwanini wasiwe wanamchagua Daktari ambae kasha kaa hospitalin na anaexperience ya bima inavyofanya kazi, malalamiko ya wagonjwa na ugonjwa kwa ujumla.

Kuna watu wanakuja hospitalin wanaumwa figo au figo zimefeli ukimuhoji anasema kameza panadol miezi miwili alizo kuw ananunua duka l dawa kwa sababu lalosa hela ya kutibiwa hospital. Ayo kama ujasomea afya na kukaa hospotal huwez kuya jua na kukutan nayo

Kuna watu wana hali ngumu kiuchumi. Unakuta bodaboda kapata ajali akavunjika mguu. Kakaa hopital mwezi bila pesa na ata ndugu wa kumsaidia mpaka mguu unaoza. Ayo ukisomea ualimu utayajua au kukutan n scenario za hivyo. .

Kupitisha Bima ya afya ni furaha kwa asiyeijua . Ila kwa sisi wazoefu wa hio sekta
Kuna dawa zinakuwa hazitolewi kupitia bima kisa bei yake ni ghali, kwa bima tu uwezi kuafanyiwa upasuaji mpaka utoe na cash,
Kwa bima tu huwezi kupata vofaa kama miwani na magongo kwa wanaohotaji.
Kama umesoma afya na una experience na hivyo vitu huwezi kaka kimya bungeni mswaada wa afya ukipitishwa kwani unajua effect yake kwenye jamii na hospitali lwani experince na scenario za huko unazifahamu.
 
Mkuu umeandika Point sana, wachache watakuelewa
 
Yeah nakuelewa
Gyno huwa anafanya kazi hospital kubwa na analipwa kwa saa. She spent five hours kumfanyia operation mama mtoto.

Na kama nilivyosema presha yake mama haikuwa sawa ilikuwa ni kazi kubwa sana

I was hanging out on this chance bro. Ungekuwa hapo ungeelewa. Kikubwa mtoto yuko salama mama yuko salama...
 
Nakuelewa bro I have been through hali hii ambayo huwezi kwepa ghalama ili kuokoa uhai
 
ni muhimu ila watu walio na bima wanateseka sana. Utaambiwa karibu dawa zote kanunue nje unaanza kuhangaika afadhali hataambao hawana bima wanakujazia tu huko unakuja kulipia kwenye Bill
Mimi Nina bima na sijawahi kuteseka kabisa! Hao wanaoteseka sijui wanateseka vipi!
 
Mimi Nina bima na sijawahi kuteseka kabisa! Hao wanaoteseka sijui wanateseka vipi!
Hayajakukuta.
Miwani, magongo, kuna dawa ambazo hazilipiw kwa bima.. ambulance nayo hailipiwi kwa bima inabidi ns ww uchangie ya mafuta.

Ni vizuri tukae kimya. Maana yasemwayo yapo
Au tembelea uo uzi uone shida iko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…