JOHNGERVAS
JF-Expert Member
- Mar 22, 2016
- 1,011
- 1,681
- Thread starter
-
- #221
Bima gani. maana bima mimi nilikuwa na bima 2013-2021 nikaachana nayo, maana ukifika Hospitali ukiwa na bima tu huduma yake inakuwatofauti wanaona kama unatibwa Bure. Utaandikiwa dawa ukanunue nje. utasumbuliwa n.k Mimi Bima sitaki hata KuisikiaMimi Nina bima na sijawahi kuteseka kabisa! Hao wanaoteseka sijui wanateseka vipi!
Compared to states.....seriously?Mtoto wangu wa kwanza wa kike alijifungua nilitumia million 5, ilikuwa kama movie.
Hospital nilikupa 2 million private, mtoto alikuwa amekaa vibaya mno na pia kajifunga na umblical cord.
Madaktari waliangaika 4 hours kuweka sawa afya ya mama kabla hawajamfungulisha. Anesthesia alidai sijui presha imecanyaje akifanyi2a operation lazima mama aende
Nilitoka fasta baada ya kupewa akili, kumtafuta dokta bingwa gyno, naye alitaka 2.5 million ili atoke kwenye kazi yake. Analipwa kwa saa
Niliona bora nimpe tu hapo sijui kama mtoto ama mama atapona. Gyno na wenzake walifanya juhudi, operation ilikuja fanyika ndani kuna madaktari saba, gyno wawili, manesi na anesthesiologist, acha tu
Naambiwa mkeo kajifungua mtoto wa kike kwa kisu, nililia kama fala. Huwa silii na sijawahi lia hata msibani, siku anayokufa bibi kwanz usiku wake nilikul mzigo, yan kifup hata misib ikitokea nakula mzig. Inawezekana nina shida sehemu kwan hata majonzi haya yanaendelea nchin bado siku zote hizi nimekul mzigo, niombeen nina shida sehemu, thanks
Nisitoke nje ya mada, mtoto alizaliw, nilitumia gharama nyingine hapo kati. Sasa nina binti mtundu sana, mke wangu yuko salama mishono tu huwa inamuuma
Hii kulalamika ni kwa sababu hatuna hela. Gharama za kuzalisha tanzania ni nafuu compared to states. Serikaii ibireshe na indelee kupunguza jwa kulipia asilimia kubwa zaidi
Tutafute hela ndugu zangu, umaskini mbaya sana
DaahHapo ni red flag kwamba we just need to have only one trip there na Kama hatuna pesa tuachane na mambo ya kuleta Viumbe wengine duniani
Ingekuwa wanataka muendelee kujaza Dunia wasingeweka bei mlima kiasi hicho.Daah
lengo ni Idadi ya watu wasiongezeke ama vipi yaniIngekuwa wanataka muendelee kujaza Dunia wasingeweka bei mlima kiasi hicho.
Ndio maana resources ni chache sana😀😀lengo ni Idadi ya watu wasiongezeke ama vipi yani
Asee nina mpango wa kuongeza hadi wafikie watano.Ndio maana resources ni chache sana😀😀
Eeeh kila mmoja ni 750000 Kama ni huko walikosemaAsee nina mpango wa kuongeza hadi wafikie watano.
Hata uwe na bima v.i.p bado bill itakuhusu tu na hawana maelezo ya kujitoshelezaBima ya Afya ulikuwa nayo?
hakuna shida kamakuna ambao wanalipia hadi Million kumi kwa mganga wacha nami niweke moja nipate.Eeeh kila mmoja ni 750000 Kama ni huko walikosema
Sijakuelewa
si kuna misaada inatolewa Huko nje kwa ajili ya kusaidia au kulipia hizo Huduma. au zinaliwa wanwadanganya wahisani?Hivi mkuu kwa nchi hii masikini gharama ikiwa bure ,unazani nani atailipia?
Tatizo tunawaamini sana wanasiasa.
Poahuyo Gily Gru anajua Hospitali nzuri za Private.
Rabinsia Tegeta.Hivi hospital gani nzuri kwa dar private unaweza ukapeleka mjamzito akajifungulia huko?