KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
No alitolewa Kimara HC
Angetoka kwenye hospital ya mkoa rafiki yangu ungelipa gharama nafuu, kimara HC angeenda ngazi inayofuata hata kwa kuandikiwa tuuu tena huko ipo Hospital ya Kimkoa Ubungo, kuna ngazi za refferal rafk ndio maana wamekugonga hela ndefu. Ila mshukuru Mungu umepata watoto safi na Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa afya njema na hekima ndani yake
 
Mtoto wangu wa kwanza wa kike alijifungua nilitumia million 5, ilikuwa kama movie.

Hospital nilikupa 2 million private, mtoto alikuwa amekaa vibaya mno na pia kajifunga na umblical cord.

Madaktari waliangaika 4 hours kuweka sawa afya ya mama kabla hawajamfungulisha. Anesthesia alidai sijui presha imecanyaje akifanyi2a operation lazima mama aende

Nilitoka fasta baada ya kupewa akili, kumtafuta dokta bingwa gyno, naye alitaka 2.5 million ili atoke kwenye kazi yake. Analipwa kwa saa

Niliona bora nimpe tu hapo sijui kama mtoto ama mama atapona. Gyno na wenzake walifanya juhudi, operation ilikuja fanyika ndani kuna madaktari saba, gyno wawili, manesi na anesthesiologist, acha tu

Naambiwa mkeo kajifungua mtoto wa kike kwa kisu, nililia kama fala. Huwa silii na sijawahi lia hata msibani, siku anayokufa bibi kwanz usiku wake nilikul mzigo, yan kifup hata misib ikitokea nakula mzig. Inawezekana nina shida sehemu kwan hata majonzi haya yanaendelea nchin bado siku zote hizi nimekul mzigo, niombeen nina shida sehemu, thanks

Nisitoke nje ya mada, mtoto alizaliw, nilitumia gharama nyingine hapo kati. Sasa nina binti mtundu sana, mke wangu yuko salama mishono tu huwa inamuuma


Hii kulalamika ni kwa sababu hatuna hela. Gharama za kuzalisha tanzania ni nafuu compared to states. Serikaii ibireshe na indelee kupunguza jwa kulipia asilimia kubwa zaidi

Tutafute hela ndugu zangu, umaskini mbaya sana
Mjinga mmoja mwenye majivuno, unalinganisha uchumi wa TZ na state unamaana gani?
 
Angetoka kwenye hospital ya mkoa rafiki yangu ungelipa gharama nafuu, kimara HC angeenda ngazi inayofuata hata kwa kuandikiwa tuuu tena huko ipo Hospital ya Kimkoa Ubungo, kuna ngazi za refferal rafk ndio maana wamekugonga hela ndefu. Ila mshukuru Mungu umepata watoto safi na Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa afya njema na hekima ndani yake
Wanaofanya maamuzi ya Rufaa sio mimi Mkuu. Mimi niliambiwa tu amehamishiwa Mloganzila mfuate huko
 
Muhimbili watu hujifungua kwa Tsh 200,000/

Ukute umeenda private afu unatupigia kelele hapa
Mkuu kwamba Mimi sina akili au sijui hata nilipoenda? ndio maana nimesema Docs zote ninazo za kuanzia Hospitali ya Chini, Rufaa hadi mloganzila. Receipt zote pia mimi sio mjinga mkuu.
 
Mh? Mbona wanawawe choka mbaya mitaani kutoka familia tiamajitiamaji naona wanajifungulia hospitali za serikali? Wanawezaje kumudu hizo gharama au kuna jinsi nyingine?

Kuna hospital za serikali, na kuna hospital zenye ubia wa aina Fulani na serikali, ukiingia hospital angalia facility ( Hasa malazi) Kama yana hadhi ya Guest ya 30,000 mfano, nothing will be cheap hata Kama ni ya serikali!
 
Niliambiwa Hiyo sera ya mama wajawazito wanajifungua Bure haipo ni Siasa na Propaganda Tu.
Lakini kwa Kifupi Gharama Za Hospitali ya Mloganzila Ni kufuru kule ndani nilikuta akina mama waliojifungua wana Daiwa Wengine Millioni tatu, tano na kuendelea wameshikiliwa wakae pale hadi fedha ipatikane.
Dah, hatari sana
Na hiyo ndiyo kazi wanayofanya ma CHAWA kudanganya wadau humu daily kuwa wanyonge wamefiikiwa, na blah blah nyingi...
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom