Tundazuri
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,932
- 2,525
Walitokea kwenye hizo hospital nilizotaja, Temeke, amana, Ilala, mwananyamala au kigambn?walienda kwa Rufaa pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitokea kwenye hizo hospital nilizotaja, Temeke, amana, Ilala, mwananyamala au kigambn?walienda kwa Rufaa pia.
Alipewa rufaa mkuu na hata Kutoka HC pale alipelkwa na wao wenyewe walimpeleka na ambulance yao. Sio kwamba mimi nilitoka Nyumbani kumpeleka MNH.Una uhakika ulipewa rufaa kituo cha afya kwenda hospitali ya taifa? Maana hakuna referral system ya aina hiyo, na kama ulijipeleka mwenyewe sawa
No alitolewa Kimara HCWalitokea kwenye hizo hospital nilizotaja, Temeke, amana, Ilala, mwananyamala au kigambn?
Inawezekanambona Amana hawana hizo gharama, au inategemeana ntu na ntu?
Angetoka kwenye hospital ya mkoa rafiki yangu ungelipa gharama nafuu, kimara HC angeenda ngazi inayofuata hata kwa kuandikiwa tuuu tena huko ipo Hospital ya Kimkoa Ubungo, kuna ngazi za refferal rafk ndio maana wamekugonga hela ndefu. Ila mshukuru Mungu umepata watoto safi na Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa afya njema na hekima ndani yakeNo alitolewa Kimara HC
Mjinga mmoja mwenye majivuno, unalinganisha uchumi wa TZ na state unamaana gani?Mtoto wangu wa kwanza wa kike alijifungua nilitumia million 5, ilikuwa kama movie.
Hospital nilikupa 2 million private, mtoto alikuwa amekaa vibaya mno na pia kajifunga na umblical cord.
Madaktari waliangaika 4 hours kuweka sawa afya ya mama kabla hawajamfungulisha. Anesthesia alidai sijui presha imecanyaje akifanyi2a operation lazima mama aende
Nilitoka fasta baada ya kupewa akili, kumtafuta dokta bingwa gyno, naye alitaka 2.5 million ili atoke kwenye kazi yake. Analipwa kwa saa
Niliona bora nimpe tu hapo sijui kama mtoto ama mama atapona. Gyno na wenzake walifanya juhudi, operation ilikuja fanyika ndani kuna madaktari saba, gyno wawili, manesi na anesthesiologist, acha tu
Naambiwa mkeo kajifungua mtoto wa kike kwa kisu, nililia kama fala. Huwa silii na sijawahi lia hata msibani, siku anayokufa bibi kwanz usiku wake nilikul mzigo, yan kifup hata misib ikitokea nakula mzig. Inawezekana nina shida sehemu kwan hata majonzi haya yanaendelea nchin bado siku zote hizi nimekul mzigo, niombeen nina shida sehemu, thanks
Nisitoke nje ya mada, mtoto alizaliw, nilitumia gharama nyingine hapo kati. Sasa nina binti mtundu sana, mke wangu yuko salama mishono tu huwa inamuuma
Hii kulalamika ni kwa sababu hatuna hela. Gharama za kuzalisha tanzania ni nafuu compared to states. Serikaii ibireshe na indelee kupunguza jwa kulipia asilimia kubwa zaidi
Tutafute hela ndugu zangu, umaskini mbaya sana
Ni kweli tena mzazi awe umejifungulia kawaida au kwa oparation vyote ni bure kabisaAlafu kule zenji ni bure mpaka unaondoka na watoto hutoi hata senti.
Wanaofanya maamuzi ya Rufaa sio mimi Mkuu. Mimi niliambiwa tu amehamishiwa Mloganzila mfuate hukoAngetoka kwenye hospital ya mkoa rafiki yangu ungelipa gharama nafuu, kimara HC angeenda ngazi inayofuata hata kwa kuandikiwa tuuu tena huko ipo Hospital ya Kimkoa Ubungo, kuna ngazi za refferal rafk ndio maana wamekugonga hela ndefu. Ila mshukuru Mungu umepata watoto safi na Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa afya njema na hekima ndani yake
Mkuu kwamba Mimi sina akili au sijui hata nilipoenda? ndio maana nimesema Docs zote ninazo za kuanzia Hospitali ya Chini, Rufaa hadi mloganzila. Receipt zote pia mimi sio mjinga mkuu.Muhimbili watu hujifungua kwa Tsh 200,000/
Ukute umeenda private afu unatupigia kelele hapa
Mh? Mbona wanawawe choka mbaya mitaani kutoka familia tiamajitiamaji naona wanajifungulia hospitali za serikali? Wanawezaje kumudu hizo gharama au kuna jinsi nyingine?
Duh,Ile niHopitali ya wakorea,sio ya serikali. Serikali hainachake pale gharama za pale ni rate sawa na Hospitali za private
Hiyo unapewa na tshirt ya kijani juu.Kitu rahisi nchi hii ni kadi ya ccm tu
Niliambiwa Hiyo sera ya mama wajawazito wanajifungua Bure haipo ni Siasa na Propaganda Tu.
Dah, hatari sanaLakini kwa Kifupi Gharama Za Hospitali ya Mloganzila Ni kufuru kule ndani nilikuta akina mama waliojifungua wana Daiwa Wengine Millioni tatu, tano na kuendelea wameshikiliwa wakae pale hadi fedha ipatikane.
Watu wanakuelewesha hatua za kupata rufaa wewe unabisha,kuna ngazi ilirukwa hapo.pia mimi sio mjinga mkuu.