KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hiyo gharama n kubwa almost ume spend 1.5M nazin within 3/5 yamatibabu tuu , huyu mtanzania wakaida analipwa Tshs 150,000 hadi 400000 per months itakuwaje ku afford million per once
 
Mtoto wangu wa kwanza wa kike alijifungua nilitumia million 5, ilikuwa kama movie.

Hospital nilikupa 2 million private, mtoto alikuwa amekaa vibaya mno na pia kajifunga na umblical cord.

Madaktari waliangaika 4 hours kuweka sawa afya ya mama kabla hawajamfungulisha. Anesthesia alidai sijui presha imecanyaje akifanyi2a operation lazima mama aende

Nilitoka fasta baada ya kupewa akili, kumtafuta dokta bingwa gyno, naye alitaka 2.5 million ili atoke kwenye kazi yake. Analipwa kwa saa

Niliona bora nimpe tu hapo sijui kama mtoto ama mama atapona. Gyno na wenzake walifanya juhudi, operation ilikuja fanyika ndani kuna madaktari saba, gyno wawili, manesi na anesthesiologist, acha tu

Naambiwa mkeo kajifungua mtoto wa kike kwa kisu, nililia kama fala. Huwa silii na sijawahi lia hata msibani, siku anayokufa bibi kwanz usiku wake nilikul mzigo, yan kifup hata misib ikitokea nakula mzig. Inawezekana nina shida sehemu kwan hata majonzi haya yanaendelea nchin bado siku zote hizi nimekul mzigo, niombeen nina shida sehemu, thanks

Nisitoke nje ya mada, mtoto alizaliw, nilitumia gharama nyingine hapo kati. Sasa nina binti mtundu sana, mke wangu yuko salama mishono tu huwa inamuuma


Hii kulalamika ni kwa sababu hatuna hela. Gharama za kuzalisha tanzania ni nafuu compared to states. Serikaii ibireshe na indelee kupunguza jwa kulipia asilimia kubwa zaidi

Tutafute hela ndugu zangu, umaskini mbaya sana
Ila wew kweli una shida sehemu, hasa kwenye ubongo, waweza kuta una undugu na Bashite
 
Hongera sana, ila muhimbili ukienda kwa refferal ni nafuu mpenzi, sasa sijui ww uliendaje hapo, refferal kutokea dc hospital mfano amana, mwananyamala, temeke na kigamboni unaenda moja kwa moja muhimbili km public petient, ukienda kama private hela ni nyingi sana unless uwe na Bima mpenzi
Nadhani hapo ndipo wengi walipaswa kuhoji, alienda kama mgonjwa wa private au public?.

Maana kama ni public, mbona watu wanatibiwa na hizo bima tu?, kama kuna dawa iko nje ya mpango wa bima utaambiwa, utapewa control number na utalipia au uandikiwa kisha ukanunue nje.
 
Wakuu Kwema? Bila shaka muko salama.

Mwezi uliopita Nilikuwa Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Baada ya mke wangu Kuhamishiwa hapo baaada ya Kupewa Rufaa kutoka Kituo cha Afya ambapo alienda Kujifungua.

Kitu ambacho Nimeona Gharama za pale ni kubwa sana ni kama Hospitali za Watu Binafsi au Taasisi za Dini n.k

Wakati anapokelewa Pale Emergence nilitakiwa Kulipia Laki moja Fedha Taslimu ambayo wanaita ni ya Accomadation na haina maelezo mengine tena unapewa Control number ulipie ndio aanze Kuhudumiwa.

Baada ya Hapo alijifungua salama watoto wawili Mapacha alikaa siku ya Ijumaa hadi Jumatatu yaani Siku tatu Tu nikapewa Bill ya 1.35 yaani (Milioni moja laki tatu na elfu thelathini na tano) Nikasita kulipa nikaenda kwa wahasibu Kugombana nao Kidogo nikitaka Ufafanuzi japo Ilishindikana.

Baadae niliuliza Nikaambiwa Ghrama ya Kulala kwa Siku ni 50,000 lakini gharama ya Kujifungua ni 750,000. Niliambiwa Hiyo ssera ya mama wajawazito wanajifungua Bure haipo ni Siasa na Propaganda Tu.

Nilipambana nikalipia kiasi nikatoka.

Lakini kwa Kifupi Gharama Za Hospitali ya Mloganzila Ni kufuru kule ndani nilikuta akina mama waliojifungua wana Daiwa Wengine Millioni tatu, tano na kuendelea wameshikiliwa wake pale hadi fedha ipatikane.

Kwa kweli jambo hili linaumiza sana watanzania wa hali ya Chini ambao Kimsingi wanaamini Hospitali za Umma zinazoendeshwa naKupata Ruzuku kutoka serikalini ambayo ni kodi za wananchi gharama zake ziwe rafiki ili kila mwananchi aweze Kumudu ila imekuwa ni Tofauti.

Soma Pia:Gharama zinazotozwa Muhimbili Hospital kuwahudumia “Watoto njiti” zinatuumiza tunaouguza

WIZARA YA Afya Aid Inatakiwa ilitazame hili na wawaweke wananchi wazi kwamba ile ni Hospitali ya Kulipia .

Ushahidi wa Nyaraka zote nianzo Mods musifute mukitaka ushahidi wa Receipt na Bill nitawapa
ENdeleeni kushabikia CCM tu, endeeleni
 
Dah, hatari sana
Na hiyo ndiyo kazi wanayofanya ma CHAWA kudanganya wadau humu daily kuwa wanyonge wamefiikiwa, na blah blah nyingi...
Tlaatlaah Lucas Mwashambwa
inatafakarisha sana,
watu wengi wanaweka kipaumbele kwenye maisha yao ni kumiliki iphone au simu nyingine ya gharama, huku afya wakiona si jambo muhimu kabisa 🤣

ankiugua sasa,
anakwenda hospital anasmarphone 3 mkononi, akiambiwa lipia elfu3 hapa halafu nenda maambara, utaskia ngoja kwanza nikatoe pesa, na ndiyo anatokomea kusikojulikana. Atarudi tena maradhi yatakapokua yamemuathiri zaidi.

Tuipe afya uzito na umuhimu unao stahili nadhani kuliko kitu kingine chochote. Kula bata mpaka asubuh sio gharama, ila afya ndiyo gharama.🤣

hili si tatizo la Afya ya akili sasa?🐒
 
Mh? Mbona wanawawe choka mbaya mitaani kutoka familia tiamajitiamaji naona wanajifungulia hospitali za serikali? Wanawezaje kumudu hizo gharama au kuna jinsi nyingine?

Elewa muktadha mzee. Mtoa mada kasema hospitali ya Mlonganzila kama inavyojieleza katika kichwa cha habari. Na kumbuka kuwa mkewe alipewa rufaa labda kwa sababu ya complications flani au uwezo mdogo wa kituo walichokuwa wanahudumiwa awali.
So yes watu wanajifungulia katika vituo vingine kwa gharama rafiki lakini sio kwa kesi ya Mloganzila
 
Back
Top Bottom