KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mtoto wangu wa kwanza wa kike alijifungua nilitumia million 5, ilikuwa kama movie.

Hospital nilikupa 2 million private, mtoto alikuwa amekaa vibaya mno na pia kajifunga na umblical cord.

Madaktari waliangaika 4 hours kuweka sawa afya ya mama kabla hawajamfungulisha. Anesthesia alidai sijui presha imecanyaje akifanyi2a operation lazima mama aende

Nilitoka fasta baada ya kupewa akili, kumtafuta dokta bingwa gyno, naye alitaka 2.5 million ili atoke kwenye kazi yake. Analipwa kwa saa

Niliona bora nimpe tu hapo sijui kama mtoto ama mama atapona. Gyno na wenzake walifanya juhudi, operation ilikuja fanyika ndani kuna madaktari saba, gyno wawili, manesi na anesthesiologist, acha tu

Naambiwa mkeo kajifungua mtoto wa kike kwa kisu, nililia kama fala. Huwa silii na sijawahi lia hata msibani, siku anayokufa bibi kwanz usiku wake nilikul mzigo, yan kifup hata misib ikitokea nakula mzig. Inawezekana nina shida sehemu kwan hata majonzi haya yanaendelea nchin bado siku zote hizi nimekul mzigo, niombeen nina shida sehemu, thanks

Nisitoke nje ya mada, mtoto alizaliw, nilitumia gharama nyingine hapo kati. Sasa nina binti mtundu sana, mke wangu yuko salama mishono tu huwa inamuuma


Hii kulalamika ni kwa sababu hatuna hela. Gharama za kuzalisha tanzania ni nafuu compared to states. Serikaii ibireshe na indelee kupunguza jwa kulipia asilimia kubwa zaidi

Tutafute hela ndugu zangu, umaskini mbaya sana
Umenichekesha sana mbee...
 
Kama hii ni kweli hii taarifa kweli hii nchi imekuwa ya walafi na wakosa vipaumbele... Maswali ni haya
  • Je Gharama halisi (cost ni kiasi gani) ?
  • Je Kodi zetu zinakwenda wapi ?
  • Hata kama gharama ni kubwa na Kodi hazitoshi Je hizo pesa wanazofuja kwa kununua magoli na kufanya wanachofanya na safari zenye delegations za kumwaga zingesaidia wangapi ?
  • Kama wakunga majumbani wanaweza kufanya hii kazi cheaply basi na Muhimbili wajifunze kupunguza costs
 
Kama hii ni kweli hii taarifa kweli hii nchi imekuwa ya walafi na wakosa vipaumbele... Maswali ni haya
  • Je Gharama halisi (cost ni kiasi gani) ?
  • Je Kodi zetu zinakwenda wapi ?
  • Hata kama gharama ni kubwa na Kodi hazitoshi Je hizo pesa wanazofuja kwa kununua magoli na kufanya wanachofanya na safari zenye delegations za kumwaga zingesaidia wangapi ?
  • Kama wakunga majumbani wanaweza kufanya hii kazi cheaply basi na Muhimbili wajifunze kupunguza costs
maswali ni Mengi ila nikutoe wasiwasi hiyo ni kweli kabisa
 
Wakuu Kwema? Bila shaka muko salama.

Mwezi uliopita Nilikuwa Hospitali ya Taifa ya Mloganzila, Baada ya mke wangu Kuhamishiwa hapo baaada ya Kupewa Rufaa kutoka Kituo cha Afya ambapo alienda Kujifungua.

Kitu ambacho Nimeona Gharama za pale ni kubwa sana ni kama Hospitali za Watu Binafsi au Taasisi za Dini n.k

Wakati anapokelewa Pale Emergence nilitakiwa Kulipia Laki moja Fedha Taslimu ambayo wanaita ni ya Accomadation na haina maelezo mengine tena unapewa Control number ulipie ndio aanze Kuhudumiwa.

Baada ya Hapo alijifungua salama watoto wawili Mapacha alikaa siku ya Ijumaa hadi Jumatatu yaani Siku tatu Tu nikapewa Bill ya 1.35 yaani (Milioni moja laki tatu na elfu thelathini na tano) Nikasita kulipa nikaenda kwa wahasibu Kugombana nao Kidogo nikitaka Ufafanuzi japo Ilishindikana.

Baadae niliuliza Nikaambiwa Ghrama ya Kulala kwa Siku ni 50,000 lakini gharama ya Kujifungua ni 750,000. Niliambiwa Hiyo ssera ya mama wajawazito wanajifungua Bure haipo ni Siasa na Propaganda Tu.

Nilipambana nikalipia kiasi nikatoka.

Lakini kwa Kifupi Gharama Za Hospitali ya Mloganzila Ni kufuru kule ndani nilikuta akina mama waliojifungua wana Daiwa Wengine Millioni tatu, tano na kuendelea wameshikiliwa wake pale hadi fedha ipatikane.

Kwa kweli jambo hili linaumiza sana watanzania wa hali ya Chini ambao Kimsingi wanaamini Hospitali za Umma zinazoendeshwa naKupata Ruzuku kutoka serikalini ambayo ni kodi za wananchi gharama zake ziwe rafiki ili kila mwananchi aweze Kumudu ila imekuwa ni Tofauti.

Soma Pia:Gharama zinazotozwa Muhimbili Hospital kuwahudumia “Watoto njiti” zinatuumiza tunaouguza

WIZARA YA Afya Aid Inatakiwa ilitazame hili na wawaweke wananchi wazi kwamba ile ni Hospitali ya Kulipia .

Ushahidi wa Nyaraka zote nianzo Mods musifute mukitaka ushahidi wa Receipt na Bill nitawapa

Ulienda bila kufanya utafiti. Unapokuwa na mjamzito fanya utafiti wa gharama za kujifungua uende hospitali unayoimudu. Zipo hospitali bei chee kifupi wanatoa msaada. Nenda mfano hospitali ya mbweni misheni hao watu kweli wanafanya huduma sio biashara ya kujifungua.
 
Ulienda bila kufanya utafiti. Unapokuwa na mjamzito fanya utafiti wa gharama za kujifungua uende hospitali unayoimudu. Zipo hospitali bei chee kifupi wanatoa msaada. Nenda mfano hospitali ya mbweni misheni hao watu kweli wanafanya huduma sio biashara ya kujifungua.
Mkuu hili ni Tatizo pia la Kusoma kichwa cha habari na Kuhitimisha. Mimi nilimpeleka hospitali ya Chini ambayo ninajua gharama zake ninazimudu.

lakini baadae nikaambiwa nilipie Ambulance anapelekwa Mloganzila na Hapo mim nilikuwa nje napewa taarifa na mlinzi tu, baadae ikaja ambulance wakaondoka Mimi ningewazuia?

Mimi sina utaalam wa masuala ya afya Jukumu langu nililipia Ambulance nikapanda usafiri mwingine nikaenda Mloganzila
 
Harusi mnafanya za milioni ishirini. Kumleta kiumbe salama duniani mnataka msaidiwe na serikali.
samahan kwa kukukera tajiri, vipi hao wanaofanya hizo sherehe ndio wamelalamika? Kila mtu anaeleza kero yake Mkuu. ila kama unamjua aliyefanya harusi ya 20m amelalamika gharama hizo ni kubwa Please mtag hapa
 
Mkuu hili ni Tatizo pia la Kusoma kichwa cha habari na Kuhitimisha. Mimi nilimpeleka hospitali ya Chini ambayo ninajua gharama zake ninazimudu.

lakini baadae nikaambiwa nilipie Ambulance anapelekwa Mloganzila na Hapo mim nilikuwa nje napewa taarifa na mlinzi tu, baadae ikaja ambulance wakaondoka Mimi ningewazuia?

Mimi sina utaalam wa masuala ya afya Jukumu langu nililipia Ambulance nikapanda usafiri mwingine nikaenda Mloganzila
Kweli mkuu, nilisoma ila nikaghafirika. Basi huo ushauri wangu uende kwa wale ambao wanatarajia kujifungua katika mazingira ya kawaida, pasipo dharura kama yako uliyoelezea.
 
Back
Top Bottom