Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆😆Mjumbe wangu ananisumbua niwe na kadi ya "Tonic" (Electronic), hajui hata kusoma!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆Mjumbe wangu ananisumbua niwe na kadi ya "Tonic" (Electronic), hajui hata kusoma!
Hii bima itakuwa umekata baada ya ujauzito. Ukiwa nayo mfululizo hakuna shida na hata hivyo baadhi ya gharama inakuwa coveredHospitali za serikari wanasema mambo ya uzazi autumii bima
Mchawi pesa bima hupati uduma nzuri na rafiki lakin pia bima ni usumbufu baada ya kudeal na mgojwa unawaza kuzaja makaratasi na baadhi ya dawa watakwambia hazitolewi kwa bimaMchawi Bima
Wanaosepa ni wale waliopelekwa wakiwa final stage,Mloganzila Wana huduma nzuri mno jamani yaani hata hiyo bill unayopewa kweli ni kubwa lakini inaendana na huduma uliyopatiwa!Lakini mbona watu wengi waendao hawarudi alive?
Hujanishawishi bado. Hapo hapana!Wanaosepa ni wale waliopelekwa wakiwa final stage,Mloganzila Wana huduma nzuri mno jamani yaani hata hiyo bill unayopewa kweli ni kubwa lakini inaendana na huduma uliyopatiwa!
Hapo kajifungua kawaida,ukijipeleka bila rufaa au bima, kujifungua Kwa operation yaani kile kitendo cha kuingizwa theatre na kutolewa mil.na point inaondoka! Hapo bado mazaga mengine!!! Ila huduma zao ni next level!!safi Sana!Ndo iwe hela yote hiyo?sio sawa kwakweli
Mimi huniambii kitu kuhusu Mloganzila wale watu wanatibu bwana! Wana huduma nzuri mno jamani!Hujanishawishi bado. Hapo hapana
OkMimi huniambii kitu kuhusu Mloganzila wale watu wanatibu bwana! Wana huduma nzuri mno jamani!
Yeye ashakwambia hayupo sawa hata siku ya msiba anapiga mzigo muelewe tuWe naye umechanganyikiwa unalinganisha States na Tanzania?
Kwa Ubora tuwape MAUA yao.Hapo kajifungua kawaida,ukijipeleka bila rufaa au bima, kujifungua Kwa operation yaani kile kitendo cha kuingizwa theatre na kutolewa mil.na point inaondoka! Hapo bado mazaga mengine!!! Ila huduma zao ni next level!!safi Sana!
Waachie wabishe watu wanatoka hata nje ya nchiMimi huniambii kitu kuhusu Mloganzila wale watu wanatibu bwana! Wana huduma nzuri mno jamani!
Watanzania kwa kulazimisha vitu bila research hamjambo?Hujanishawishi bado. Hapo hapana!
Watanzania kwa kulazimisha vitu bila research hamjambo?
HahahaYeye ashakwambia hayupo sawa hata siku ya msiba anapiga mzigo muelewe tu
Bado bima ni muhimu Sana,inakupunguzia bill kwa kiasi kikubwa!Watu wanaongelea sana kuhusu bima...... ni kweli ni nzuri
Lakini hivi sasa bima wameanza kuondoa matibabu mengi sana kwenye bima kwasababu ya gharama za matibabu kuwa juu sana na kufanya hela zinazo lipwa ni nyingi kuliko zinazo changwa sababu ya matibabu kuwa juu
ni muhimu ila watu walio na bima wanateseka sana. Utaambiwa karibu dawa zote kanunue nje unaanza kuhangaika afadhali hataambao hawana bima wanakujazia tu huko unakuja kulipia kwenye BillBado bima ni muhimu Sana,inakupunguzia bill kwa kiasi kikubwa!
Kumbuka ugonjwa haungalii hali yako ya kiuchumi!
Lakini kwenye bill ndo unalialia kama weweni muhimu ila watu walio na bima wanateseka sana. Utaambiwa karibu dawa zote kanunue nje unaanza kuhangaika afadhali hataambao hawana bima wanakujazia tu huko unakuja kulipia kwenye Bill