Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Halafu eti anajitapa ni mjukuu wa Mufti. Mjukuu wa Mufti kasahau au hajui kuwa Abu Lahab, ambaye kabashiriwa moto akiwa hai tena katika Qur'an, alikuwa Baba yake mdogo Mtume ﷺ. Baba yake Nabii Ibrahim ('Alayhis Salaam) atakwenda motoni. Ikrima (Radhwiya Allahu 'Anhu) Swahaba Mtukufu huyu baba yake ni Abu Jahl adui mkubwa wa Uislam. Mjukuu wa Mufti kasahau hili. Yeye kuwa Mjukuu wa Sheikh basi kashakuwa Muislam mjuzi na haiwezekani akawa mjinga.mtoto wa Nabii Nuhu ataingia motoni ije kua yy chizi maarifa
Kumewafaa nini akina Utba bin Rabi'a na akina Abu Jahl kuzaliwa kwao Makkah na wakaishi karibu na al-Ka'aba ilhali walimkataa Mtume ﷺ na wakafa wakiwa ni Washirikina?
Allah atuongoze sisi na yeye mleta uzi katika njia iliyonyooka.