Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Mkuu huna nondo umtandike ya kichwa tujue moja?
 
Mleta mada acha kujilizaliza wewe.
Unataka usaidiwe kumtibu baba yako?
Tafuta mume akusaidie,mtoto wa kiume unalialia ooh pesa zinaisha ooh tunakuwa masikini kwani wewe ulizaliwa na pesa?
Acha roho mbaya na ya kingese hiyo!!
Pambana na baba yako hadi dakika ya mwisho otherwise mpe sumu afe chap upumzike na kutuliza kijambio.))
 
Do

Do your best and God will do the rest. Uthamani wa mzazi utauona akishaondoka duniani. Unatamani angalau usikiye sauti yake tu inatosha.

Pesa si kila kitu pambana mpaka mwisho wake. Unaweza kutoa pesa zote kwa ajili yake. Lakini utashangaa akishaondoka duniani unapata pesa nyingi kuliko hizo ulizotoa.

Pesa ni upepo tu leo zipo kesho hazipo. Tafadhali mtunze baba yako mpaka dakika yake ya mwisho hapa duniani. Mzee akifikisha 90+ brain yake ya kufikiri inashuka hivyo kuwa na hasira na vitu vidogo ni kawaida. Muwe naye karibu tu.
Sawasawa mkuu...Mzazi hana mbadala.
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
ah huyu nyie msepesheni tuu. miaka 90 anataka kuishi ili iweje wakati afya tia maji?
watu inabidi tukubali kuwa ukishafika 80 uridhike bwana mambo ya kuwaacha mzigo watoto wakati wewe upo six feet under sio poa kabisa. pole sana ndugu hakika huo ni mzigo mkubwa sana.
 
Huo msala ulimkutaga brother kipindi anamuuguza maza mi nlikuwa skonga bado

Nilikuwa namuonea huruma anahudumia maiti tarajiwa
Hii iliwah mkuta baba angu,ila madaktar walikuwa wanampa nguvu kwa kumwambia,hongera bhana kwa kuwa na mama bado, jitahidi afikishe hata miaka mia

Hiyo kauli ndo ilikuwa inampa nguvu ila mwishoni wa siku bibi aligua tukampeleka hospital wakamtibu kama kwa wiki mbili hadi madaktar walichoka walijua sasa haiwezekani wakamwambia mrudishe nyumbani,akarudishwa nyumban lakin waliokuwa wanamuona na maneno wanayoyasema kuwa huyu bado hajapona ikabid baba amrudishe kwenye hospital nyingine

Bibi yetu alifariki kwa kushindwa kula tu lakini kama angekuwa na uwezo wa kula angeishi zaidi
 
Kama unewahi kuuguza wala huwezi kushangaa maneno ya huyu jamaa, unajua kuna ile kumpeleka mtu hospitali, anapata vipimo, anaganyiwa procedure zote, analazwa a few days na kutoka.

Njoo scenario nyinhine, amelala tu, ni vipimo tu, majibu hayaeleweki, Doctor anatoa kipimo kimoja tu ndugu mnaambiwa hiki ni 1,200,000 mchange kama ndugu, keshokutwa kuna kipimo kingine, costs za hospitali zinaongezeka, baada ya mwezi mnapewa gharama mnashika kichwa, ukute sasa familia ndio hizi za kwetu...aaagr.

Tumtie moyo, tusimlaani hata kidogo. Anayeumwa na anayeuguza wote wanahitaji kutiwa moyo.
Nimewahi kuuguza kwa miaka 13 lakini sijakufuru mkuu.
NI KUTOJUA THAMANI YA MZAZI TU
 
ah huyu nyie msepesheni tuu. miaka 90 anataka kuishi ili iweje wakati afya tia maji?
watu inabidi tukubali kuwa ukishafika 80 uridhike bwana mambo ya kuwaacha mzigo watoto wakati wewe upo six feet under sio poa kabisa. pole sana ndugu hakika huo ni mzigo mkubwa sana.
Duuuuh[emoji848]

We una wazazi?
 
Wewe mwenye baraka sizion baraka zako kabisa... au hazijakufikia bado?
Mtoa mada, kwanza pole kwa changamoto ya kuuguza mzazi. Nami nakubali kwamba ni mtihani mgumu, hasa ikichukua muda mrefu na gharama kubwa kama ulivyoeleza.
Ushauri wangu:
1. Usipambane peke yako, shirikisha watu wako wa karibu - Kazini, Kanisani, kwenye jamii n.k . Utapata support (Moral or Financial) itakayokuwezesha kulibeba jambo hili kwa saburi zaidi.
2. Vitabu vya dini vinatuhimiza kila jambo kwa kiasi. Fanya yaliyo ndani ya uwezo wako. Usikope usichomudu kukilipa! Bali kama walivyoshauri baadhi ya wadau hapa, hatuna budi kuwatendea wazazi wetu kwa upendo na upole SANA.

Mwenyezi Mungu akujalie uvumilivu na mbinu nyepesi za kutatua yanayokukabili. Aamin🤲.
 
Duuuuh[emoji848]

We una wazazi?
ndio. ntulikaa chini na kuelezana ukweli wa mambo. kwanza niliwaambia hapao story za kukaa kama lump of pudding sitaki. 4 days out of 7 lazima wafanya mazoezi ya angalau 60 minutes ya kutembea. nashukuru waliona umuhimu wa hilo na wanafanya na wameona matunda ya hayo mazoezi. wamepunguza uzito mwigi na kufurah kuwa hai.

pili tumeelezana kuwa u are above 70 now, ukweli ni kwamba huko mnapo kwenda ni kufupi kuliko mlipo toka. hivyo basi tusiwe na unrealistic expectations pamoja na jitihada za makusudi za kulinda uhai lazima tukukubali kutokuweka kifo mbali sana.

tatu ni kwamba if so ikitokea case ya cancer there are no negotiations hapo tunajiandaa kissaikolojia kuwa mnayeya. tutakachofanya ni kuongea na doctor njia za kupunguza maumivu but that business of sijui enda india south africa halipo.

nne, if it so happens kwamba upo kwenye life support, ikipita one week na bado ngoma ngumu tunavuta plug. haman point yakukuweka hai kwa mashine wakatu u r already dead wood.

tano, utakapo kufa ndipo tutakapo zika. kama wataka kuzikwa kwenu vijijini waambie ndugu zako watagharamikia au kama vipi acha fungu la hela kabisa. no expensive coffin will be bought for u nor will we spend money kujenga kaburi. ur dead there is no need to speed money recklesly. kama upendo tutakuonyesha mkiwa hai not when u dead.

nashukuru wazee ni waelewa na all that is known hadi kwa ndugu so maisha ni mwake kabisa no presha kila kitu kinajulikana if they so pass away.
 
Back
Top Bottom