Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Unatumia IDs nyingi. ila nimeepuka tu mjadala wa kidini hapa maana kuna mambo sisi wenye hekma tunayaacha hatujazi watu ambao si sehemu yao hapo. hakuna kitu ambacho huwa najaribu kwanza kuepuka kama kuanza mchambulia mtu dini hasa ya uislamu. naifahamu sijakariri. naifahamu kwa ukaribu sana...sisi ni baadhi ya watu ambao marhamu sheikh yahya alikuwa anakuja mpaka nyumbani kukaa kuongea na mzee habari za dini ya kiislamu. nami nimesoma tena kwa kusoma Mombasa na Lamu... ila mwishowe nimebaki na akili zangu timamu.
Ww ni Sufi mtu wa bid'aa huko uliposoma ndo umepotea zaidi kwenda kusoma kwa Masufi
 
Binadamu unafikia hatua ya kuchoka kumuuguza Baba mzazi? Kweli? Kwangu bora nikose hela mfukoni lakini Baba na Mama yangu wale chakula...Wasipate shida ili hali mtoto wao wa kwanza nipo...akiumwa tu nitagharimika kwa namna yoyote alejee afyani.
 
Ni baba yako huyo, pambana mshua apone kijana.
Kama ni over 90, hawezi kupona akawa 100% healthy. Maana atakapopona hili, lingine laanza hapo hapo. Ataendelea kuishi kwa maumivu na kuongezea ugumu wa maisha kwa wanawe na wajukuu zake. Ya nini yote hayo? Ingekuwa chini ya 90 hapo saewa. Lakini over 90, okay kumwambia daktari wake aandike DNR kwa mgonjwa.
 
Ikija suala la michango unawajibu tu sina kitu mkuu, simple and clear. Ukitoa Ina maanisha unacho cha ziada sababu Kama unayo madeni Bora ufocus kuclear madeni yako.
 
wewe utakuwa unawaza urithi kama ndugu yangu flani
Wazo langu msi complicate maisha mnampeleka India sababu ya matatizo ya uzee.
Uzee hauna dawa endeleeni kumuuguza hapa hapa Tanzania nina baba zangu walipelekwa India na watoto wao shauri ya kiburi ya pesa lakini wote wamefariki.
Kama baba yako gharama alizotumia kukuza wewe ungeweza zirudisha ungefanya hivyo fasta
Geuza kibao assume ni wewe wanao wanatamani ufe
shame on you
 
Si mumkabe azime biashara imeisha.
Kuna mzee kijijini kwetu kama mgonjwa amewasumbua sana na daktari kasema kupona ni ngumu mkimwita anamaliza shughuli.
Akija mnatoka nje anaenda kumsalimia mgonjwa. Ile anatoka tu mkachukue mkaifunike maiti yenu.
Wamama wakimwona tu anakuja kumwona mgonjwa walikuwa wanaanza kulia
Kijiji gani mkuu?[emoji23][emoji23]
 
Ni WAJIBU wa wazazi kuhudumia watoto waliowaleta duniani, ni HISANI watoto kuwahudumia wazazi wao.
Pole kwa kuuguza kaka, hamna jinsi kama yeye aliwajibika ipasavyo wakati mnakua pengine mlikuwa hata zaidi ya watoto watatu!! Uwajibikaji umehamia kwenu hamna jinsi pambaneni mkishirikiana na madaktari wawaeleze hali halisi!!! Ingekuwa kwa wenzetu kuna "Mercy killing"
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Sasa muwe mnampa dawa za maumivu tu.Yaani Palliative huduma tu. Ili amalize safari yake kwa amani. Curative haina maana kwa mzee kama huyo.
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Kwanza naweza sema ndugu yangu huna chako kwenye fadhila juu ya mzazi wako yooote uliyofanya umefuta na hizi kauli zako!!

Yaani watoto hamna shukurani kabisa juu ya wazazi wenu.. si unaongea, unasema ulikuwa na magari na pesa ungefukaje hapo bila yy!

Kama amefikia mazingira hayo ni vyema mrudishe nyumbani muwe mnamuhudumia nyumbn kama utampata mhudum akawa anakuja nyumbn itakuwa vyema saana. Pia kama anakula muwe mnajaribu kumtafutia chakula anachokipenda zaidiiii,

Yaan nakushangaa saana, maana nawaona wazazi wanavoangaika na watoto wao jua lao mvua yao alafu leo we mtoto unasema bora mzee wako afe?? Shubaaamitiii kshishitiiii khissskavkNsvsb yaani weee?!!!!
 
Mercy killing inahitajika hapo

Parapanda ilie tu
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Hii dunia inawatu makatili sana ....da you so mzee wako.lakin ukumbuke sisi ni binadamu pengine tutafikia kia kwenye hatua hiyo....tafakar na wee watoto wakutende hivyo.....?anyways
 
Juz. Nilikuwa Happ seliani hospital kumuona mam ake na jamaa angu ambaye aamelzwa hapo aisee had nikawaonea huruma mnk walimtoa pale na kumpeleka ktk kipimo Cha CT scan ya hospital ya nsk huku nikiona kbsa kuwa mgonjwa huyu awezi kukatisha usiku hajaondoka nilitaka niwaambie kuwa watulie tu mnk sioni dalili ya mam huyu kusurvive kwa jins alivyo kuwa mnk alishindwa had kula kwa takribani week nzima.

Ajabu ilipoa fika saa nane usku yule mgonjwa akafariki nikakumbua ule usumbufu wa kumuamisha amisha na kuanagika nae aisee kuuguza sikia kwa mwinginee tu bi pesa zinatoka jamani.
Hatukatai kuuguza ni kazi kweli kweli ila si kama anavyokuja kumtangazia hapa kwa maneno ya kejeli mzazi wake
 
Back
Top Bottom