Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Samaleko..

Kabla hujawaza kwenda Ulaya, America au Asia kula maisha jitaidi sana uanzie Zanzibar ujionee maajabu ya bei za vitu.
Kiufupi Huku Zanzibar ni sawa tu na Ughaibuni, ukiweza kumudu kula bata kwa muda wa mwezi mmoja maeneo kama Kendwa, Nungwi, Kiwengwa au Paje basi unaweza kumudu kukaa DXB ndani ya wiki mbili, Angalau Stone Town unaweza kusurvive.

Kwa experience yangu hapa Tanzania sijaona sehemu inaifikia Zanzibar kwa gharama za maisha.

All in all Karibuni Zanzibar, ni Kuzuri sana.
 
Zanzibar pa kijinga sana, niliuziwa ndizi moja buku 2 nikabaki mdomo wazi, tena hapo ni pale forodhani!
Ukija kwenye bei za lodge ndo utachoka, lodge ya 70k kwa dar ni 20k!
Leo nimeulizia zile kacha wanazouza masai zile za mkononi nikitaka nimchukulie shemeji nikaambiwa bei ni 20$, niliishiwa nguvu
 
Nadhani kwa kuwa Watalii wengi wanaenda huko ndiyo maana vitu vinakuwa expensive!
Mkuu huku wazungu ni kama nyumbani tu, kati ya watu 10 utaopishana nao kwenye maeneo nlotaja apo juu na mengine mengi ambayo sijataja basi 6 kati yao ni wazungu ila sifikiri kama ni sahihi sisi wazawa kuuziwa bidhaa bei sawa na wazungu
 
Samaleko..

Kabla hujawaza kwenda Ulaya, America au Asia kula maisha jitaidi sana uanzie Zanzibar ujionee maajabu ya bei za vitu.
Kiufupi Huku Zanzibar ni sawa tu na Ughaibuni, ukiweza kumudu kula bata kwa muda wa mwezi mmoja maeneo kama Kendwa, Nungwi, Kiwengwa au Paje basi unaweza kumudu kukaa DXB ndani ya wiki mbili, Angalau Stone Town unaweza kusurvive.

Kwa experience yangu hapa Tanzania sijaona sehemu inaifikia Zanzibar kwa gharama za maisha.

All in all Karibuni Zanzibar, ni Kuzuri sana.
Wanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
 
Wanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
Wamewahi kukuomba msaada?
 
target ya wateja wao sio waswahili ni wageni
Ndizi Buku Benga? Yaan ndizi 1 2000 km 2000

Ndio maana kuna mjerumani mmoja nilikutana nae huku bara akiwa kwenye hotel 1 ya nyota 3 akanunua Maji kwenye duka 1 Maji yale ya 700 mawili akapewa chenji 600 yaan mawili jumla 1400 alitoa 2000 yeye hakuelewa kingereza anajua si sana akaniomba nimuelekeze imekuaje amerudishiwa 600 sasa sikuelewa kwamba Jamaa aliona amezidishiwa Hela au amepunjwa

Ila km Zenji wanawapiga naona mjerumani yule aliona km amezidishiwa Hela ndio maana alipagawa kudadadeq leo ndio nimeelewa sasa kwanini yule mjerumani alikua amepagawa kuona ametoa Buku 2 kapewa Maji 2 ya kunywa na chenji ikarudi juu kapagawa ahamini macho yake imekuakuaje 2000 Maji makubwa 2 na chenji ikarudi mjerumani yule hakuamini naona huko Zenji alikutana na kitu kizito
 
Pesa ni ngumu sana kuipata kwa mkazi wa kawaida.
Yaani ule ni mji wa kwenda kutalii na kurudi, si mji wa kupiga kambi.
Kuna tabaka kubwa la walionazo na wenzangu na mimi.
Deal ni wale wanafamilia waliofanikiwa kutoka na kwenda ishi arabuni ndio msaada mkubwa, wanaokoteza mavitu ya mitumba na kuyatuma kisiwani. Thoo biashara imekua ngumu kwa sasa sababu target ni kuwauzia wabara.
Uwepo wa nyundo la Tra (wenyewe wanawaita kastam) umedororesha biashara hiyo. Wabara hawana mzuka tena na maelektroniki yao.
 
Back
Top Bottom