Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

Zanzibar umri wa kuishi upo chini sana kwa utafiti niliyo ufanya wazee wachache saba, kwenye familia kumi ya watoto kuanzia Miaka 30 kukuta wana wazazi wapo Hai ni familia 2 tu familia 8 hazina wazazi wamefiwa na wazazi yani kukuta kijana mkubwa mwenye miaka 45 bado wazazi wake wapo hai ni ngumu, kingine nilicho ona Wazanzibar wanawahi kuzeeka mapema na kuchoka kwa Marathi hii inasababishwa na uraji wa vyakula kutoka nje, utakuta Mzanzibar mpaka ana Zeeland hajawai kula kuku wa kienyeji wao kuku wao ni kutoka Uturuki na nchi nyinginezo na Mchele hivyo hivyo wanapenda Michele ya nje haina ubora. Ukimchukua kuja wa Tanganyika mwenye miaka 20 na kijana Wa Zanzibar mwenye miaka 20 kijana wa Zanzibar anaoneka mkubwa ana karibia miaka 27 kimuonekano.
Kwa hiyo hao kina Ibrahim Bacca na Fei Toto wana miaka mingapi kimuonekano?
 
Utajua mwenyewe na ulilonalo rohoni

Wanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
mwe
 
Zanzibar umri wa kuishi upo chini sana kwa utafiti niliyo ufanya wazee wachache saba, kwenye familia kumi ya watoto kuanzia Miaka 30 kukuta wana wazazi wapo Hai ni familia 2 tu familia 8 hazina wazazi wamefiwa na wazazi yani kukuta kijana mkubwa mwenye miaka 45 bado wazazi wake wapo hai ni ngumu, kingine nilicho ona Wazanzibar wanawahi kuzeeka mapema na kuchoka kwa Marathi hii inasababishwa na uraji wa vyakula kutoka nje, utakuta Mzanzibar mpaka ana Zeeland hajawai kula kuku wa kienyeji wao kuku wao ni kutoka Uturuki na nchi nyinginezo na Mchele hivyo hivyo wanapenda Michele ya nje haina ubora. Ukimchukua kuja wa Tanganyika mwenye miaka 20 na kijana Wa Zanzibar mwenye miaka 20 kijana wa Zanzibar anaoneka mkubwa ana karibia miaka 27 kimuonekano.
uku Basmati Rice ndo upo kwa wingi, ivo vingine sijafanya utafiti ila nilichokuja kugundua mpaka sasa ni kuwa Wazanzibari wengi wanaishi Oman na Dubai, raia wengi wanaokaa Zanjibar kwa sasa ni kutoka Bara.
 
Back
Top Bottom