MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
- #81
Sio kweli, Chukwani na Mbweni kumejengeka na kupangiliwa angalauNickweli sehemu nyingi Zanzibar papo hovyo hakuna mipango miji yani ukichukua Kijitonyama na Sinza ndiyo Masaki ya Zanzibar, Zanzibar mitaa yao imejengeka kana ilivyo Magomeni, Manzese Mburahati, Vingunguti, kigogo, keko, Sema wao uswahilini
kwao hakuna watu wengi kumetulia lakini kupo hovyo.