Mtoa mada yupo sahihi...
Maisha ya Zanzibar ni ghali hasa kama alivyosema kuanzia chakula hadi malazi (hotel)
Nilikula ugali makange ya Samaki Kwa elfu 24 (Samaki alikuwa mdogo) tofauti na DSM (shilingi 18k makange ya Samaki sato )
Nililala hotel sea view (pale Mazizini) shilingi 120,000/day
Bei ya tax, Umbali wa kilomita 5 tu utalipa shilingi 20,000 wakati huku Bara ningelipia 10k tu 🙌
Kwakuwa ilikuwa ni safari yangu ya mapumziko, ambayo nilishaanda bajeti yake sikuona shida sana.
Nashauri kama unaenda kwaajili ya mapumziko vyema kuandaa bajeti ya kutosha.
View attachment 3072188