Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh..shida hawazalishi wanaagiza kila kituZanzibar pa kijinga sana, niliuziwa ndizi moja buku 2 nikabaki mdomo wazi, tena hapo ni pale forodhani!
Ukija kwenye bei za lodge ndo utachoka, lodge ya 70k kwa dar ni 20k!
Njoo Nungwi/Kendwa brother, $50 unapata hotel yenye pool, terrace, king size bed plus breakfast.Mkuu Mimi Niko Paje uku Villa Moja nalipia 90$, soon narudi Bongo
na sasa hivi wametambulisha ujinga wa kulipa dola 44 kama inbound insurance kwa kila kichwa kimoja cha mtalii. wanasiasa hopeless..in long run utalii utajifia hapo zanzibar kutokana na upumbavu wa serikali na gharama zisizoendana na ubora/uhalisia ukilinganisha na sehemu zingine za visiwa.
ulifanyaje nguvu zikarudi?Leo nimeulizia zile kacha wanazouza masai zile za mkononi nikitaka nimchukulie shemeji nikaambiwa bei ni 20$, niliishiwa nguvu
Ndio utaruhusiwa, ila siku wakiamua kukunyang'anya wanaweza tena kisheria kabisa.Nataka kwenda kujenga lodge ya kawaida self contained safi sana kule Zanzibar. Je nitaruhusiwa?.
Una ruhusiwa ila inabidi ukajenge Mashambani ukijenga mjini huta pata wateja kwasababu wenyeji wa uko siyo watumiaji wa lodge wao mfumo wao utakuta kijana Kaoa au hajaoa bado anaishi nyumbani kwa wazazi ila wanapanga chumba kwaajili ya kukutana na wapezi wao au michepuko kwa upandr wa waume za watu.Nataka kwenda kujenga lodge ya kawaida self contained safi sana kule Zanzibar. Je nitaruhusiwa?.
Una ruhusiwa ila inabidi ukajenge Mashambani ukijenga mjini huta pata wateja kwasababu wenyeji wa uko siyo watumiaji wa lodge wao mfumo wao utakuta kijana Kaoa au hajaoa bado anaishi nyumbani kwa wazazi ila wanapanga chumba kwaajili ya kukutana na wapezi wao au michepuko kwa upandr wa waume za watu.Nataka kwenda kujenga lodge ya kawaida self contained safi sana kule Zanzibar. Je nitaruhusiwa?.
Una ruhusiwa ila inabidi ukajenge Mashambani ukijenga mjini huta pata wateja kwasababu wenyeji wa uko siyo watumiaji wa lodge wao mfumo wao utakuta kijana Kaoa au hajaoa bado anaishi nyumbani kwa wazazi ila wanapanga chumba kwaajili ya kukutana na wapezi wao au michepuko kwa upandr wa waume za watu.Nataka kwenda kujenga lodge ya kawaida self contained safi sana kule Zanzibar. Je nitaruhusiwa?.
Chai, kahawa mchuzi wa pweza ni kuanzia 1$Chai 1000 kahawa 1000?
Malaya huku bao moja 100$, akikuhurumia sana 50$ kwa vile rangi nyeusi😅Hapo Kendwa kuna malaya wa kizungu wengi sana, wengi wao kutoka Ukraine huko kwenye vita vya Putin
Vyote kwa pamoja au kila kimoja 2600? Chai na hio kahawa ni jagi au kikombe km kikombe?Chai, kahawa mchuzi wa pweza ni kuanzia 1$
Kimojakimoja mkuuVyote kwa pamoja au kila kimoja 2600?
Jagi au kikombe?Kimojakimoja mkuu
Guest house ya bei rahisi huku ni 15$Mkuu uko sahihi, halafu lodge za ajabuajabu, yaani nyumba ni ngumu Sana hasa za kupanga