ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tuseme una duka lako mahali pengine mjini na una kijana mzuri tu mwaminifu anakuuzia ila cheki utitiri wa gharama za uendeshaji.
1. Assume mnakaa mbali na duka na kijana anatakiwa alipe Hela ya usafiri mfano 1000 ya bajaji au boda kwenda na kurudi Kwa siku ni 2000 Kwa mwezi ni 60000/=
2. Kijana anatakiwa ale Kwa siku tufanye 2000 Kwa mwezi ni 60000/=
3. Maji ya kunywa akisema anywe ya 1000 kila siku Kwa mwezi ni 30000/=
4. Kijana kama ana simu atahitaji aunge GB 1 Aburudike na video za tiktok za ku twerk makalio na MB zinazobaki azimalizie usiku kupigia nyeto (hahahaha was nyeto necessary?) 🤣 kila siku 2000 ya vocha Kwa mwezi ni 60000/=
5. Kodi hapo ya fremu kila mwezi tuseme 50000/=
6. Kijana muuzaji hawezi kukaa kilofa hakuna fala mjini hapa Mara kapita muuza modo kijana kaipenda atatoa 7000 mule mule dukani kijana lazima amfurahishe Jamaa Zake anaweza kumtumia 5000.assume katumia zaidi ya 30000/= kwenye mambo yake binafsi..
Jumla Kuu ni Tsh. 290,000/=
Haya hapo Kwa mazingira hayo kuna kazi kweli hata kama duka likiwa na mtaji wa million Lazima ufilisike maana matumizi ya uendeshaji yanazidi faida.
1. Assume mnakaa mbali na duka na kijana anatakiwa alipe Hela ya usafiri mfano 1000 ya bajaji au boda kwenda na kurudi Kwa siku ni 2000 Kwa mwezi ni 60000/=
2. Kijana anatakiwa ale Kwa siku tufanye 2000 Kwa mwezi ni 60000/=
3. Maji ya kunywa akisema anywe ya 1000 kila siku Kwa mwezi ni 30000/=
4. Kijana kama ana simu atahitaji aunge GB 1 Aburudike na video za tiktok za ku twerk makalio na MB zinazobaki azimalizie usiku kupigia nyeto (hahahaha was nyeto necessary?) 🤣 kila siku 2000 ya vocha Kwa mwezi ni 60000/=
5. Kodi hapo ya fremu kila mwezi tuseme 50000/=
6. Kijana muuzaji hawezi kukaa kilofa hakuna fala mjini hapa Mara kapita muuza modo kijana kaipenda atatoa 7000 mule mule dukani kijana lazima amfurahishe Jamaa Zake anaweza kumtumia 5000.assume katumia zaidi ya 30000/= kwenye mambo yake binafsi..
Jumla Kuu ni Tsh. 290,000/=
Haya hapo Kwa mazingira hayo kuna kazi kweli hata kama duka likiwa na mtaji wa million Lazima ufilisike maana matumizi ya uendeshaji yanazidi faida.