Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

Gharama za Ujenzi kwa Nyumba za ‘Contemporary’ Vs ‘Traditional’ Roof

Uko sahihi sana lakini:
1. Hutokana na kutumia watu wasio wazoefu....
Sawasa kuna mambo mengi ya kuzingatia.

Ukitaka kuifanya nyumba ya namnahii uifurahie tafuta fundi wa uhakika na usiwe bahiri hasa kwenye ujenzi wa gutter na upauaji wenyewe.
 
Uko sahihi sana lakini:
1. Hutokana na kutumia watu wasio wazoefu
2. Kutokujua aina ya matirio ya finishing

Mfano kwenye mfereji na maungio ya bati ukutani kunahitaji (1) butmen nyeupe hii hupatikana NABAKI AFRIKA
(2) Membrane cloth hivi hutumika kwa pamoja na hutaona kuvuja wala unyevu.

3. Maungio ya mabati yanatakiwa overlap migongo 3 tofauti na ujenzi wa kawaida
Kuna wajinga wanachimba tu ukuta anachomeka bati anapiga cement sijui na waterproof. Nyumba lazima ivuje, na pia kutu kwenye bati itakuja mapema sana. Synroof(Bitumen) bei ya ndoo moja 20kg ni 225,000 naona watu wengi wanakimbia bei au hawaijui
 
Kuna wajinga wanachimba tu ukuta anachomeka bati anapiga cement sijui na waterproof. Nyumba lazima ivuje, na pia kutu kwenye bati itakuja mapema sana. Synroof(Bitumen) bei ya ndoo moja 20kg ni 225,000 naona watu wengi wanakimbia bei au hawaijui
Hawajui watumie kitu gani mkuu, hii synroof ni nzuri sana na kwenye mifereji ukaweka na fabric (m cloth) kuvuja hutapaona tena
 
Shida inaanzia mbali.... Boss mwenye mjengo ana opt kupaua hivyo ili ku save cost, fundi-mchundo anaekutana nae pia anamuaminisha kuwa hiyo ita save costs sana. Mimi kuna fundi alinishauri mapema kabisa kuwa kama lengo lako ni kusave costs, achana na upauaji wa aina hiyo kabisa. Ila kama unachagua style hiyo kwa kuwa unaipenda na unapenda vitu vizuri, na suala la gharama sio shida kwako, go for it.
Evelyn Salt
Huyo fundi wako anajijua kuwa hana mbinu ya kudhibiti maji, angekushauri kuwa tafuta mtaalam wa nyumba hizo.
Hii ni sawa na mafundi magari wanaposhindwa magari ya Nissan wanayasingizia ni mabovu
 
Sio lazima aliechora ndio ajenge, lakini angalau kunakua na uhakika wakufanya kwa ubora unaotakiwa kulingana na design.

Na issue ya kupenda cheap, sio tatizo ndio maana nikasema angalau uwe na uhakika na uwezo wa mtu anayefanya kazi. Sio tu kwakuwa mtu ananusu bei basi unamkabizi kazi, kisha baadae unakuja kulalamika umeharibiwa kazi, uliokoa laki tano na unapata hasara ya million tano au zaidi.

Njia nzuri inaweza kuwa kujilizisha na uwezo wa mtu unayempa kazi kupitia watu aliowafanyia kazi. Au unaweza kumpa fundi kazi kisha ukamtumia mchora ramani (architect/engineer) kuja kukagua kwenye hatua muhimu za ujenzi kisha yeye ukamlipa hela ya site visiting tu.
Hii nimeipenda
 
Huyo fundi wako anajijua kuwa hana mbinu ya kudhibiti maji, angekushauri kuwa tafuta mtaalam wa nyumba hizo.
Hii ni sawa na mafundi magari wanaposhindwa magari ya Nissan wanayasingizia ni mabovu
Alinielezea kwa upana kabisa hizo mbinu za kudhibiti maji, na ukisoma vizuri nilichoandika sijasema kuwa fundi aliniambia hizo nyumba zinavuja, wala hakusema hivyo ila aliniambia kama nia ni kusave cost, niachane nazo kwa sababu unasave cost kwenye bati na mbao, ila unaingliwa kwenye kutengeneza mifereji ya drainage system ili nyumba isivuje; Na cost mwisho wa siku inakuja almost the same na upauaji wa kawaida.
Kwa hiyo ndio maana alinishauri kama nia yangu ni kusave cost nitaishia kuumia tu. Ila kama nia ni kupata nikipendacho hata kama cost itakua sawa au zaidi ya upauaji wa kawaida, then hapo ni sawa.
Ukiona fundi anasema kuwa upauaji wa hivyo unavujisha sana nyumba, ujue kuwa hana ujuzi na utaalam wa kupaua kwa hiyo style.
 
Kuna wajinga wanachimba tu ukuta anachomeka bati anapiga cement sijui na waterproof. Nyumba lazima ivuje, na pia kutu kwenye bati itakuja mapema sana. Synroof(Bitumen) bei ya ndoo moja 20kg ni 225,000 naona watu wengi wanakimbia bei au hawaijui
Hapa ndio kwenye shida

IMG_20210429_114649.jpg
IMG_20210429_114709.jpg
 

Attachments

  • IMG_20210429_114706.jpg
    IMG_20210429_114706.jpg
    36.4 KB · Views: 97
Uko sahihi sana lakini:
1. Hutokana na kutumia watu wasio wazoefu
2. Kutokujua aina ya matirio ya finishing

Mfano kwenye mfereji na maungio ya bati ukutani kunahitaji (1) butmen nyeupe hii hupatikana NABAKI AFRIKA
(2) Membrane cloth hivi hutumika kwa pamoja na hutaona kuvuja wala unyevu.

3. Maungio ya mabati yanatakiwa overlap migongo 3 tofauti na ujenzi wa kawaida
Kaka huu ndio ukweli, hizo nyumba zinahutaji water proofing materials,
Sika nao wana variety of waterproofing materials.
 
Sio lazima aliechora ndio ajenge, lakini angalau kunakua na uhakika wakufanya kwa ubora unaotakiwa kulingana na design.

Na issue ya kupenda cheap, sio tatizo ndio maana nikasema angalau uwe na uhakika na uwezo wa mtu anayefanya kazi. Sio tu kwakuwa mtu ananusu bei basi unamkabizi kazi, kisha baadae unakuja kulalamika umeharibiwa kazi, uliokoa laki tano na unapata hasara ya million tano au zaidi.

Njia nzuri inaweza kuwa kujilizisha na uwezo wa mtu unayempa kazi kupitia watu aliowafanyia kazi. Au unaweza kumpa fundi kazi kisha ukamtumia mchora ramani (architect/engineer) kuja kukagua kwenye hatua muhimu za ujenzi kisha yeye ukamlipa hela ya site visiting tu.
[emoji28]kuna client anakuambia yani mm nimpe hela,mtu anayekuja kunyoosha kidole tu hapana!Watanzania wengi hawaamini katika utaalamu wao wanataka mtu uchafuke au ubebe tofali ukiwa site ndo akupe hela
 
Hawajui watumie kitu gani mkuu, hii synroof ni nzuri sana na kwenye mifereji ukaweka na fabric (m cloth) kuvuja hutapaona tena
Ni wazi wengi tunakua hatujui na ni ngumu kujua huyu fundi ni sahihi au la kwa muda ambao wewe unajenga
Yangu naweza sema haivuji zaidi ya kwenye gutter kunakuwa na udondoshaji wa kiaina,je hiyo fabric(m cloth) inapakwa au inatandikwa kwa ndani ya mfereji au kwa nje ya mfereji
 
Ni wazi wengi tunakua hatujui na ni ngumu kujua huyu fundi ni sahihi au la kwa muda ambao wewe unajenga
Yangu naweza sema haivuji zaidi ya kwenye gutter kunakuwa na udondoshaji wa kiaina,je hiyo fabric(m cloth) inapakwa au inatandikwa kwa ndani ya mfereji au kwa nje ya mfereji
 
Back
Top Bottom