Black Thought
Senior Member
- Feb 25, 2015
- 161
- 408
- Thread starter
-
- #41
Sawasa kuna mambo mengi ya kuzingatia.Uko sahihi sana lakini:
1. Hutokana na kutumia watu wasio wazoefu....
Kwani hakuna nyumba za kwaida zenye slab ya baraza?Kwa uzoefu wangu, hamna gharama inayopongua, una save kwenye kupaua, unaumia kwenye concrete gutters na slabs za vibaraza, shughuli ni pevu
Kuna mahali nimeandika hivyo?au unamaanisha nini?Kwani hakuna nyumba za kwaida zenye slab ya baraza?
Kuna wajinga wanachimba tu ukuta anachomeka bati anapiga cement sijui na waterproof. Nyumba lazima ivuje, na pia kutu kwenye bati itakuja mapema sana. Synroof(Bitumen) bei ya ndoo moja 20kg ni 225,000 naona watu wengi wanakimbia bei au hawaijuiUko sahihi sana lakini:
1. Hutokana na kutumia watu wasio wazoefu
2. Kutokujua aina ya matirio ya finishing
Mfano kwenye mfereji na maungio ya bati ukutani kunahitaji (1) butmen nyeupe hii hupatikana NABAKI AFRIKA
(2) Membrane cloth hivi hutumika kwa pamoja na hutaona kuvuja wala unyevu.
3. Maungio ya mabati yanatakiwa overlap migongo 3 tofauti na ujenzi wa kawaida
Hawajui watumie kitu gani mkuu, hii synroof ni nzuri sana na kwenye mifereji ukaweka na fabric (m cloth) kuvuja hutapaona tenaKuna wajinga wanachimba tu ukuta anachomeka bati anapiga cement sijui na waterproof. Nyumba lazima ivuje, na pia kutu kwenye bati itakuja mapema sana. Synroof(Bitumen) bei ya ndoo moja 20kg ni 225,000 naona watu wengi wanakimbia bei au hawaijui
Huyo fundi wako anajijua kuwa hana mbinu ya kudhibiti maji, angekushauri kuwa tafuta mtaalam wa nyumba hizo.Shida inaanzia mbali.... Boss mwenye mjengo ana opt kupaua hivyo ili ku save cost, fundi-mchundo anaekutana nae pia anamuaminisha kuwa hiyo ita save costs sana. Mimi kuna fundi alinishauri mapema kabisa kuwa kama lengo lako ni kusave costs, achana na upauaji wa aina hiyo kabisa. Ila kama unachagua style hiyo kwa kuwa unaipenda na unapenda vitu vizuri, na suala la gharama sio shida kwako, go for it.
Evelyn Salt
Hii nimeipendaSio lazima aliechora ndio ajenge, lakini angalau kunakua na uhakika wakufanya kwa ubora unaotakiwa kulingana na design.
Na issue ya kupenda cheap, sio tatizo ndio maana nikasema angalau uwe na uhakika na uwezo wa mtu anayefanya kazi. Sio tu kwakuwa mtu ananusu bei basi unamkabizi kazi, kisha baadae unakuja kulalamika umeharibiwa kazi, uliokoa laki tano na unapata hasara ya million tano au zaidi.
Njia nzuri inaweza kuwa kujilizisha na uwezo wa mtu unayempa kazi kupitia watu aliowafanyia kazi. Au unaweza kumpa fundi kazi kisha ukamtumia mchora ramani (architect/engineer) kuja kukagua kwenye hatua muhimu za ujenzi kisha yeye ukamlipa hela ya site visiting tu.
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo lipo kwa mafundi wenyewe! Mnatoa bei za kukomoana! Nani alikuambia ww kunijengea nyumba yangu ndio unaponea kutatua matatizo yako yote? Muwe reasonable bana mfyuuuuu [emoji35]!
Nyumba ya vyumba vingapi?Nimepiga chini Fundi juzi kati. Anataka kupaua kwa milioni nne [emoji848]
Alinielezea kwa upana kabisa hizo mbinu za kudhibiti maji, na ukisoma vizuri nilichoandika sijasema kuwa fundi aliniambia hizo nyumba zinavuja, wala hakusema hivyo ila aliniambia kama nia ni kusave cost, niachane nazo kwa sababu unasave cost kwenye bati na mbao, ila unaingliwa kwenye kutengeneza mifereji ya drainage system ili nyumba isivuje; Na cost mwisho wa siku inakuja almost the same na upauaji wa kawaida.Huyo fundi wako anajijua kuwa hana mbinu ya kudhibiti maji, angekushauri kuwa tafuta mtaalam wa nyumba hizo.
Hii ni sawa na mafundi magari wanaposhindwa magari ya Nissan wanayasingizia ni mabovu
Hapa ndio kwenye shidaKuna wajinga wanachimba tu ukuta anachomeka bati anapiga cement sijui na waterproof. Nyumba lazima ivuje, na pia kutu kwenye bati itakuja mapema sana. Synroof(Bitumen) bei ya ndoo moja 20kg ni 225,000 naona watu wengi wanakimbia bei au hawaijui
Kaka huu ndio ukweli, hizo nyumba zinahutaji water proofing materials,Uko sahihi sana lakini:
1. Hutokana na kutumia watu wasio wazoefu
2. Kutokujua aina ya matirio ya finishing
Mfano kwenye mfereji na maungio ya bati ukutani kunahitaji (1) butmen nyeupe hii hupatikana NABAKI AFRIKA
(2) Membrane cloth hivi hutumika kwa pamoja na hutaona kuvuja wala unyevu.
3. Maungio ya mabati yanatakiwa overlap migongo 3 tofauti na ujenzi wa kawaida
Yes mkuu, ninayo haya
SIKA wako wapi na bei zikoje mkuuKaka huu ndio ukweli, hizo nyumba zinahutaji water proofing materials,
Sika nao wana variety of waterproofing materials.
SIKA wako wapi na bei zikoje mkuu
[emoji28]kuna client anakuambia yani mm nimpe hela,mtu anayekuja kunyoosha kidole tu hapana!Watanzania wengi hawaamini katika utaalamu wao wanataka mtu uchafuke au ubebe tofali ukiwa site ndo akupe helaSio lazima aliechora ndio ajenge, lakini angalau kunakua na uhakika wakufanya kwa ubora unaotakiwa kulingana na design.
Na issue ya kupenda cheap, sio tatizo ndio maana nikasema angalau uwe na uhakika na uwezo wa mtu anayefanya kazi. Sio tu kwakuwa mtu ananusu bei basi unamkabizi kazi, kisha baadae unakuja kulalamika umeharibiwa kazi, uliokoa laki tano na unapata hasara ya million tano au zaidi.
Njia nzuri inaweza kuwa kujilizisha na uwezo wa mtu unayempa kazi kupitia watu aliowafanyia kazi. Au unaweza kumpa fundi kazi kisha ukamtumia mchora ramani (architect/engineer) kuja kukagua kwenye hatua muhimu za ujenzi kisha yeye ukamlipa hela ya site visiting tu.
Ni wazi wengi tunakua hatujui na ni ngumu kujua huyu fundi ni sahihi au la kwa muda ambao wewe unajengaHawajui watumie kitu gani mkuu, hii synroof ni nzuri sana na kwenye mifereji ukaweka na fabric (m cloth) kuvuja hutapaona tena
Ni wazi wengi tunakua hatujui na ni ngumu kujua huyu fundi ni sahihi au la kwa muda ambao wewe unajenga
Yangu naweza sema haivuji zaidi ya kwenye gutter kunakuwa na udondoshaji wa kiaina,je hiyo fabric(m cloth) inapakwa au inatandikwa kwa ndani ya mfereji au kwa nje ya mfereji