Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

Ghorofa laendelea kushuka, zoezi la uokoaji lasimama, mwananchi watawanywa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mamlaka zimesitisha kwa muda zoezi la uokoaji hapa Kariakoo kutokana na jengo kuzidi kutitia na kuongeza wasiwasi wa kuongezeka kwa maafa.

Bado inasadikika kuwa kuna idadi ya watu wengine chini ya kifusi japo baadhi wamekoma kuwasiliana na ndugu waliopo nje.
 

Attachments

  • g.mp4
    22.3 MB
Aisee, watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Ujenzi holela unaoendelea kufanyika Kariakoo kila kukicha hauruhusu hata vyombo vya usalama na uokozi kufanya kazi kwa uhuru, matokeo yake shughuli za uokozi zinakwama na watu wanapoteza maisha kizembe
 
alafu kila siku tunajinasib eti tuna intelligence ya maana ,au viongozi wamaaana hiyo task force ya kodi je usalama kariakoo ndo bisiness center ya taifa na mambo yanafanyika kiholela holela hivyo jee sehemu nyingine vp tunaonyenshwa sign loopholes zetu zilipo kila siku ila tumekuwa wagumu kuelewa na kutake action my fellow tanzanians were lost na nchi yetu imeoza ......watanzania wenzetu wanalala chini yakifusi usiku wa leo ujinga wetu unatugharimu mungu tusaidie saidia na watu walioko chini ya kifusi wape tumaini
 
Mamlaka zimesitisha kwa muda zoezi la uokoaji hapa Kariakoo kutokana na jengo kuzidi kutitia na kuongeza wasiwasi wa kuongezeka kwa maafa.

Bado inasadikika kuwa kuna idadi ya watu wengine chini ya kifusi japo baadhi wamekoma kuwasiliana na ndugu waliopo nje.

View attachment 3153856
Na CCM nao waendelee kushuka hivyo hivyo.
 
alafu kila siku tunajinasib eti tuna intelligence ya maana ,au viongozi wamaaana hiyo task force ya kodi je usalama kariakoo ndo bisiness center ya taifa na mambo yanafanyika kiholela holela hivyo jee sehemu nyingine vp tunaonyenshwa sign loopholes zetu zilipo kila siku ila tumekuwa wagumu kuelewa na kutake action my fellow tanzanians were lost na nchi yetu imeoza ......watanzania wenzetu wanalala chini yakifusi usiku wa leo ujinga wetu unatugharimu mungu tusaidie saidia na watu walioko chini ya kifusi wape tumaini
Hatuna Task Force ya Uokoaji bali Task Force ya Kuteka Watu hiyo ipo very effective.
 
alafu kila siku tunajinasib eti tuna intelligence ya maana ,au viongozi wamaaana hiyo task force ya kodi je usalama kariakoo ndo bisiness center ya taifa na mambo yanafanyika kiholela holela hivyo jee sehemu nyingine vp tunaonyenshwa sign loopholes zetu zilipo kila siku ila tumekuwa wagumu kuelewa na kutake action my fellow tanzanians were lost na nchi yetu imeoza ......watanzania wenzetu wanalala chini yakifusi usiku wa leo ujinga wetu unatugharimu mungu tusaidie saidia na watu walioko chini ya kifusi wape tumaini
HIVI HUU UJENZI WA KASI YA SGR,KWELI UNAVIWANGO? MAANA KUNA MAJENGO YANAJENGWA KWA KUCHIMBA CHIIIIN KUZIDI MAJENGO YALIYOPO JIRANI NA PROJECT USALAMA UPO?
 
Back
Top Bottom