Ghorofa lapolomoka watu 15 hawajulikani walipo

Ghorofa lapolomoka watu 15 hawajulikani walipo

Mola awajalie nguvu na Pole ziende kwa walio patwa na msiba...Poleni sana Wakenya
 
50 percentum of buildings in Nairobi are not fit for human habitation. They are condemned buildings but still people are dwelling in those buildings. The government need to intervien with this.
 
Majengo zaidi ya 3000 yanatakiwa kubomolewa. Yapo chini ya viwango.
Wamiliki wamekimbilia mahakamani kuzuia ubomoaji.
 
Kiswahili asili yake Tanzania usiwashangae jirani zetu. Poleeni sana
 
Ma-engineer wa Kenya vilaza wa kutupwa, inabidi Waziri wa ujenzi awa wajibishe ipasavyo
 
50 percentum of buildings in Nairobi are not fit for human habitation. They are condemned buildings but still people are dwelling in those buildings. The government need to intervien with this.
I heard even the State house of Kenyan president is in danger, any time it can collapse into dust
 
Sura ya watanzania utakutana nayo wakati ukipatwa na janga, utawaona wakijoa kojoa kila Mahali badala ya kuomboleza nawe...

Anyway, kwa wale watanzania wanaojifanya kama sijui Tanzania ina maengineer hio ni upuzi mtupu, majengo hayaporomoki kwasababu nje ya CBD ya Dar, ni nyumba za mabati zimejazana kila Mahali, yani zile nyumba za architecture ya kawaida hata mototo mdogo anaweza kuichora... Tofauti za Nairobi ambayo ni ndogo sana ki jiografia, utakuta kando ya slums next ni nyumba za orofa tano au saba, hizo gorofa hua zimekengwa kama apartments, hata kwa vitongoji duni hua utazipata some jazana kia mahali, mahali kama huruma, pale palikua slums za mabati zimejaa, lakini sikuhizi ni gorofa nyingi zimejengwa tu hivi hivi, wajenzi wa hizo nyumba huanza kujenga kama orofa tatu hivi, alafu baadae anaamua wacha niongeze orofa tatu zengine juu yake bila kuomba ruhusa kwa serikali au kununua shamba lengine... Hivyo ndo hua wanafanya kule vitongoji duni manake hata serikali hua si rahisi kutembelea...
Lakini ukirudi mahali kama dar au Kampala utakuta nyumba nyingi za wakaazi ni nyumba hazina gorofa, haswaa vitongoji duni, tena isitoshe ofisi za gorofa nyingi ndefu zinazojulikana hapo dar zilichorwa na ma engineer na architecture kutoka kenya
 
Sura ya watanzania utakutana nayo wakati ukipatwa na janga, utawaona wakijoa kojoa kila Mahali badala ya kuomboleza nawe...

Anyway, kwa wale watanzania wanaojifanya kama sijui Tanzania ina maengineer hio ni upuzi mtupu, majengo hayaporomoki kwasababu nje ya CBD ya Dar, ni nyumba za mabati zimejazana kila Mahali, yani zile nyumba za architecture ya kawaida hata mototo mdogo anaweza kuichora... Tofauti za Nairobi ambayo ni ndogo sana ki jiografia, utakuta kando ya slums next ni nyumba za orofa tano au saba, hizo gorofa hua zimekengwa kama apartments, hata kwa vitongoji duni hua utazipata some jazana kia mahali, mahali kama huruma, pale palikua slums za mabati zimejaa, lakini sikuhizi ni gorofa nyingi zimejengwa tu hivi hivi, wajenzi wa hizo nyumba huanza kujenga kama orofa tatu hivi, alafu baadae anaamua wacha niongeze orofa tatu zengine juu yake bila kuomba ruhusa kwa serikali au kununua shamba lengine... Hivyo ndo hua wanafanya kule vitongoji duni manake hata serikali hua si rahisi kutembelea...
Lakini ukirudi mahali kama dar au Kampala utakuta nyumba nyingi za wakaazi ni nyumba hazina gorofa, haswaa vitongoji duni, tena isitoshe ofisi za gorofa nyingi ndefu zinazojulikana hapo dar zilichorwa na ma engineer na architecture kutoka kenya

Wewe acha kuongea upumbavu. Badala ya kufikiria on how to effect the experts report on the state of buildings fabrics across Nairobi ili watu wasiendelee kufa. Unaanza kuongea nonsense sijui CBD ya DAR blah blah nyumba za bati. Do you know the radius of Dar CBD au unaongea tu.
Jana was watching BBC couldn't imagine what came to my eyes. Several neighbourhoods comprise condemned multistorey buildings. Those substandard buildings are full of tenants. One lady was crying after lossing her two children out of six. Very sad and pity. I'm worrying if there is a building quality control unit in place. What I saw yesterday is, such kind of carnage won't stop until those substandard delapilated buildings are pulled down.
 
Majengo zaidi ya 3000 yanatakiwa kubomolewa. Yapo chini ya viwango.
Wamiliki wamekimbilia mahakamani kuzuia ubomoaji.
Huu ni ujinga kabisa
Wanaenda mahakamani kuzuia ili yaue watu!!
Na kwakuwa wanapesa watashinda huko
 
Sura ya watanzania utakutana nayo wakati ukipatwa na janga, utawaona wakijoa kojoa kila Mahali badala ya kuomboleza nawe...

Anyway, kwa wale watanzania wanaojifanya kama sijui Tanzania ina maengineer hio ni upuzi mtupu, majengo hayaporomoki kwasababu nje ya CBD ya Dar, ni nyumba za mabati zimejazana kila Mahali, yani zile nyumba za architecture ya kawaida hata mototo mdogo anaweza kuichora... Tofauti za Nairobi ambayo ni ndogo sana ki jiografia, utakuta kando ya slums next ni nyumba za orofa tano au saba, hizo gorofa hua zimekengwa kama apartments, hata kwa vitongoji duni hua utazipata some jazana kia mahali, mahali kama huruma, pale palikua slums za mabati zimejaa, lakini sikuhizi ni gorofa nyingi zimejengwa tu hivi hivi, wajenzi wa hizo nyumba huanza kujenga kama orofa tatu hivi, alafu baadae anaamua wacha niongeze orofa tatu zengine juu yake bila kuomba ruhusa kwa serikali au kununua shamba lengine... Hivyo ndo hua wanafanya kule vitongoji duni manake hata serikali hua si rahisi kutembelea...
Lakini ukirudi mahali kama dar au Kampala utakuta nyumba nyingi za wakaazi ni nyumba hazina gorofa, haswaa vitongoji duni, tena isitoshe ofisi za gorofa nyingi ndefu zinazojulikana hapo dar zilichorwa na ma engineer na architecture kutoka kenya
Unapanic
Hata ulicho kiandika hakieleweki kabisa!!
Wacha kujifurahisha
Kati ya Dar na Nairobi wapi kuna Mabanda!!
Usilete ushabiki wakitoto
 
Wewe acha kuongea upumbavu. Badala ya kufikiria on how to effect the experts report on the state of buildings fabrics across Nairobi ili watu wasiendelee kufa. Unaanza kuongea nonsense sijui CBD ya DAR blah blah nyumba za bati. Do you know the radius of Dar CBD au unaongea tu.
Jana was watching BBC couldn't imagine what came to my eyes. Several neighbourhoods comprise condemned multistorey buildings. Those substandard buildings are full of tenants. One lady was crying after lossing her two children out of six. Very sad and pity. I'm worrying if there is a building quality control unit in place. I saw yesterday is, such kind of carnage won't stop until those substandard delapilated buildings are pulled down.

Huyo jamaa Anachuki zake
Hapendi ukweli
 
Huyo jamaa Anachuki zake
Hapendi ukweli
Kanikera sana huyu jamaa.
Yaani jana nilivyoona zile neighborhoods na maghorofa yalivyohatarishi... nikasema Mungu wangu... nani ataokoa wale raia wanyonge ambao wamepangisha kwenye hayo majengo.
Hiyo settlement is dangerous.
_96459196_nairobisoy.jpg

Hilo jengo hapo mbele ni hatari




_89547978_89547977.jpg

Hili karibu na lililo karibu na lililoanguka ni shida.


_89601499_89601498.jpg

Angalia hayo hapo mbele. Yamejaa wapangaji



_89540203_f0fe3774-cce7-4702-948a-85a0e1cc59a4.jpg

Ona huu na huu kwenye haka kabarabara
Angalia www.bbc.com/news/world-africa-40257382

Hapa hamna namna lazima experts report itendewe haki kwa manufaa mapana ya wananchi wanyonge.
 
Wewe acha kuongea upumbavu. Badala ya kufikiria on how to effect the experts report on the state of buildings fabrics across Nairobi ili watu wasiendelee kufa. Unaanza kuongea nonsense sijui CBD ya DAR blah blah nyumba za bati. Do you know the radius of Dar CBD au unaongea tu.
Jana was watching BBC couldn't imagine what came to my eyes. Several neighbourhoods comprise condemned multistorey buildings. Those substandard buildings are full of tenants. One lady was crying after lossing her two children out of six. Very sad and pity. I'm worrying if there is a building quality control unit in place. What I saw yesterday is, such kind of carnage won't stop until those substandard delapilated buildings are pulled down.
I would happily discuss building standards all day with serious concerned people who are genuinely discussing about issues... But not with these blood suckers who "come alive" only after Kenyans die. Who would hate a person so much that they celebrate when tragedy happens. We are rivals in this forum but when tragedy happens to Tanzanians, Kenyans(99% of them) will put side their differences and genuinely comfort their neighbour. And get real in their discussions.

Lakini nikiangalia comment za Watanzania hapa, wengi wao wanasherehekea alafu wanajifanya kana kwamba they are good in engineering and archtecture... And thats why I am simply saying in the larger residential parts of Dar, most residential areas dont have storey buildings, they are just iron roof houses on the ground floor, this might be because Dar is big geographically, so lots of space, unlike Nairobi which is small, thus the need for multiple storey buildings, and this is where the challenge starts.You will notice that most of the condemned buildings in Nairobi are in poor neighborhood. So Dar not having collapsing buildings is not because of good engineers but because there are no residential buildings to fall in the first place... Thats why you will never hear of buildings collapsing In Mombasa, Kisumu, Nakuru, Eldoret, because also in these places, theyre are no buildings to fall, most residential buildings in low class neighbouhoods are just on the floor with no storeys. They are built using very basic architecture.


Comments za watanzania kama "MAnyang'au hawajui kujenga nyumba na wanajifanya wamesoma", "Wacha wafe wanapenda sifa","Nyie wakikuyu mje tuwafundishe kujenga",

pathetic kabisa, thats is what led me to say what i said..... In case you don't understandard what I am trying to say, let me give you another example,
Imagin Kenyans trying to suggest to South Africans and their electricians and engineers how to fix their frequent power outages in the Capital, just because Kenyans don't experience it as much as the SA'ns do. When in reality Kenya (With less than 3000MW) can't even begin to comprehend what managing South Africas (with 45, 000MW) power is... Just because we don't face as much lackouts as they do doesnt mean we are the experts at managing our own, We are just not yet at that level yet, if they were to hand over what they have to us, we would be soo overwhelmed we would probably end up blowing everything up





Angalia Githurai 45 in the background....
8428648595_6943524a6e_b.jpg


The government has designated Githu 45 as "Infomal settlement" or in short its slum.... You will never find an informal settlement that looks like that anywhere in East Africa, most of them will just be ground floor houses.

Githurai houses

btoi.jpg
oib589Zi2BfaTR4UTinTJx1kxluQkZTlCq6pQ521.jpg

1000482681_3_261x203_flat-for-sale-in-kibo-githurai-45-houses-apartments-for-sale_rev001.jpg

IMG_20160226_174014.jpg

land_for_sale_in_githurai_2680131488402745380.jpg

vacant_land_plot_for_sale_in_roysambu_4350128471204330366.jpg
 
Kanikera sana huyu jamaa.
Yaani jana nilivyoona zile neighborhoods na maghorofa yalivyohatarishi... nikasema Mungu wangu... nani ataokoa wale raia wanyonge ambao wamepangisha kwenye hayo majengo.
Angalia BBC reporter's clip
Hiyo settlement is dangerous.

Tatizo la kenya
Asilimia kubwa mjini majengo ni yawana siasa na Mabepari
Wananchi wakawaida wao ni mabanda tu
Ajabu Hao wanasiasa na mabepari wanakwenda mahakamani kupinga kubomolewa kwa majengo hayo mabovu!
 
I would happily discuss building standards all day with serious concerned people who are genuinely discussing about issues... But not with these blood suckers who "come alive" only after Kenyans die. Who would hate a person so much that they celebrate when tragedy happens. We are rivals in this forum but when tragedy happens to Tanzanians, Kenyans(99% of them) will put side their differences and genuinely comfort their neighbour. And get real in their discussions.

Lakini nikiangalia comment za Watanzania hapa, wengi wao wanasherehekea alafu wanajifanya kana kwamba they are good in engineering and archtecture... And thats why I am simply saying in the larger residential parts of Dar, most residential areas dont have storey buildings, they are just iron roof houses on the ground floor, this might be because Dar is big geographically, so lots of space, unlike Nairobi which is small, thus the need for multiple storey buildings, and this is where the challenge starts.You will notice that most of the condemned buildings in Nairobi are in poor neighborhood. So Dar not having collapsing buildings is not because of good engineers but because there are no residential buildings to fall in the first place... Thats why you will never hear of buildings collapsing In Mombasa, Kisumu, Nakuru, Eldoret, because also in these places, theyre are no buildings to fall, most residential buildings in low class neighbouhoods are just on the floor with no storeys. They are built using very basic architecture.


Comments za watanzania kama "MAnyang'au hawajui kujenga nyumba na wanajifanya wamesoma", "Wacha wafe wanapenda sifa","Nyie wakikuyu mje tuwafundishe kujenga",

pathetic kabisa, thats is what led me to say what i said..... In case you don't understandard what I am trying to say, let me give you another example,
Imagin Kenyans trying to suggest to South Africans and their electricians and engineers how to fix their frequent power outages in the Capital, just because Kenyans don't experience it as much as the SA'ns do. When in reality Kenya (With less than 3000MW) can't even begin to comprehend what managing South Africas (with 45, 000MW) power is... Just because we don't face as much lackouts as they do doesnt mean we are the experts at managing our own, We are just not yet at that level yet, if they were to hand over what they have to us, we would be soo overwhelmed we would probably end up blowing everything up
Tatizo lako Povu povu kubwa
Punguza povu
 
I would happily discuss building standards all day with serious concerned people who are genuinely discussing about issues... But not with these blood suckers who "come alive" only after Kenyans die. Who would hate a person so much that they celebrate when tragedy happens. We are rivals in this forum but when tragedy happens to Tanzanians, Kenyans(99% of them) will put side their differences and genuinely comfort their neighbour. And get real in their discussions.

Lakini nikiangalia comment za Watanzania hapa, wengi wao wanasherehekea alafu wanajifanya kana kwamba they are good in engineering and archtecture... And thats why I am simply saying in the larger residential parts of Dar, most residential areas dont have storey buildings, they are just iron roof houses on the ground floor, this might be because Dar is big geographically, so lots of space, unlike Nairobi which is small, thus the need for multiple storey buildings, and this is where the challenge starts.You will notice that most of the condemned buildings in Nairobi are in poor neighborhood. So Dar not having collapsing buildings is not because of good engineers but because there are no residential buildings to fall in the first place... Thats why you will never hear of buildings collapsing In Mombasa, Kisumu, Nakuru, Eldoret, because also in these places, theyre are no buildings to fall, most residential buildings in low class neighbouhoods are just on the floor with no storeys. They are built using very basic architecture.


Comments za watanzania kama "MAnyang'au hawajui kujenga nyumba na wanajifanya wamesoma", "Wacha wafe wanapenda sifa","Nyie wakikuyu mje tuwafundishe kujenga",

pathetic kabisa, thats is what led me to say what i said..... In case you don't understandard what I am trying to say, let me give you another example,
Imagin Kenyans trying to suggest to South Africans and their electricians and engineers how to fix their frequent power outages in the Capital, just because Kenyans don't experience it as much as the SA'ns do. When in reality Kenya (With less than 3000MW) can't even begin to comprehend what managing South Africas (with 45, 000MW) power is... Just because we don't face as much lackouts as they do doesnt mean we are the experts at managing our own, We are just not yet at that level yet, if they were to hand over what they have to us, we would be soo overwhelmed we would probably end up blowing everything up

Nimekuelewa kila kitu unachoongea... kufurahi wakati binadamu mwenzako anapata shida ni uchawi in Afrikan culture.
Naomba tujikite on building codes and planning issues because some of policy and decision makers and implementer and building inspectors are in here.
 
Back
Top Bottom